Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha-ya-Kiroho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha-ya-Kiroho. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 17 Machi 2018
Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu
Machi 17, 2018Maisha-ya-Kiroho, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VITABUNo comments
Kwa miaka mingi Roho wa Mungu Amekuwa Akifanya kazi kwa kutafuta duniani. Kwa enzi nyingi Mungu Ametumia wanadamu wengi kufanya kazi Yake. Hata hivyo Roho wa Mungu bado hana mahali pazuri pa kupumzika.