Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo NYIMBO. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo NYIMBO. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 24 Machi 2019

Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo za injili

Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

I
Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu wanaomwabudu na kumtii Yeye. Ingawa wamepotoshwa na Shetani, hawamwiti baba tena. Wanajua ubaya wa Shetani, hivyo wanamkataa. Wanakuja mbele ya Mungu, wanakubali adabu na hukumu. Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
II
Katika usimamizi wa Mungu wa wakati huu, mwanadamu ni lengo la upotovu wa Shetani, yeye ni kasidi cha wokovu wa Mungu na kile ambacho Mungu na Shetani wanapigania. Wakati wa kazi ya Mungu, Anampata tena mwanadamu hatua kwa hatua kutoka Shetani. Kisha mwanadamu anakuwa karibu zaidi na Mungu ... Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumatano, 23 Januari 2019

Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

 bhvViumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

I
Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake. Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote vije chini ya amri Yake. Vitu angani na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake. Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote. Hii ni amri ya Mungu na mamlaka Yake.
II
Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Kila kitu kinaamuriwa na Mungu. Anaamuru na kuvipanga vitu vyote, kila kuainishwa kulingana na aina na kwa mapenzi ya Mungu kupewa nafasi yake. Vitu angani na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake. Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote. Hii ni amri ya Mungu na mamlaka Yake.
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumamosi, 8 Desemba 2018

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hekima ya Mungu

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

I
Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu, lazima tutafute mapenzi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake. Kwani palipo na maneno mapya ya Mungu, pana sauti ya Mungu, sauti Yake; palipo na nyayo za Mungu, pana matendo ya Mungu, matendo ya Mungu. Palipo na maonyesho ya Mungu, pana sura, sura ya Mungu, na palipo na sura ya Mungu, pana ukweli, njia, na uzima.
II
Mkitafuta nyayo za Mungu, mlipuuza maneno kuwa, "Mungu ni ukweli, njia, na uzima." Hivyo watu wengi wapokeapo ukweli, hawaamini kuwa wamepata nyayo za Mungu na hata kukosa kutambua kuonekana kwa Mungu. Ni kosa kubwa sana! Ni kosa kubwa sana! Kuonekana kwa Mungu hakuwezi kulingana na dhana za mwanadamu, sembuse Mungu kuonekana kwa ombi la mwanadamu. Anapofanya kazi Yake, Anafanya chaguo Lake, Anafanya chaguo Lake, anayo mipango Yake. Zaidi ya hayo, ana malengo Yake mwenyewe, na mbinu Zake, mbinu Zake mwenyewe. Anapofanya kazi Yake, hahitaji kujadili kazi Yake na mtu, kutafuta ushauri wa mtu, sembuse kumuarifu kila mtu. Hii ni tabia ya Mungu, inafaa kujulikana na wote.
III
Ukiwa na hamu kushuhudia kuonekana kwa Mungu, ukiwa tayari kutafuta nyayo za Mungu, basi kwanza lazima uvuke dhana zako mwenyewe. Sharti usimfanyie Mungu madai ya kufanya hili ama lile, wala hufai kumzuia, katika mipaka yako mwenyewe na kumwekea mipaka katika dhana zako mwenyewe. Badala yake, wafaa kuuliza jinsi ya kutafuta nyayo za Mungu, kukubali kuonekana kwa Mungu, na jinsi unavyopaswa kutii kazi mpya ya Mungu; ndilo linapaswa kufanywa na mtu, kufanywa na mwanadamu. Kwa kuwa hakuna, mwingine aliye ukweli, na hakuna aliye na, aliye na ukweli, mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii. Kwa kuwa hakuna aliye ukweli, hakuna aliye ukweli, na hakuna aliye na, aliye na ukweli, mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii. Mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii.
kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 28 Novemba 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Kifuasi cha Dhati

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo za injili

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Kifuasi cha Dhati

I
Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, Uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe. Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu. Nampenda, najihisi mtamu, teseka kwa ajili Yake. Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
II
Moyo wangu, Alioupewa, nahisi furaha. Nafsi yangu nzima kuishi kwa ajili Yake, haya ni maisha yangu. Kumpenda, kumtumikia, heshima kubwa kwangu. Moyo wangu hautaki kingine chochote, nimetosheka. Yajali mapenzi Yake, fikra zake, na mahangaiko Yake. Ni mapenzi yangu kumpendeza na kumtosheleza Mungu. Mimi huhudumu katika nyumba ya Mungu, nikitimiza wajibu. Humtii, kuwa mwaminifu kwake, na kujitolea. Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe. Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu. Nampenda, najihisi mtamu, nateseka kwa ajili Yake. Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Soma Zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatatu, 26 Novemba 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia Yote Pamoja na Wewe

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za Sifa

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia Yote Pamoja na Wewe

I
Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini. Ninapoasi, Unauficha uso Wako, giza likinifunika. Ninaporudi Kwako, Unaonyesha neema, Unatabasamu ili kukumbatia. Shetani anaponipiga, Unatibu vidonda vyangu, Unaupa joto moyo wangu. Shetani anaponiumiza, Uko nami kuanzia mwanzo hadi mwisho wa majaribu. Alfajiri itafika karibuni, na anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami.
II
Wewe ni uhai wangu, Wewe ni Bwana wangu. Mwenzi wa kila siku, kivuli cha karibu kando yangu. Ukinifunza jinsi ya kuwa binadamu na kunipa ukweli na uhai. Pamoja na Wewe maisha yangu yanasonga mbele kwa utukufu. Bila chaguo langu, natii amri Yako. Kuwa kiumbe wa kweli, narudi upande Wako. Kuishi katika uwepo Wako, nazungumza na Wewe na kusikia sauti Yako. Hutangoja tena katika umbali mpweke. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari au matatizo, naweza kuvikabili. Pamoja na Wewe, safari hazitakuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba tena. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari na matatizo, naweza kuvikumba. Pamoja na Wewe, safari haziwezi kuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali. Niko pamoja na Wewe.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Uimbe Nyimbo Mpya

Soma Zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Ijumaa, 31 Agosti 2018

wimbo wa Kikristo | Upendo wa Kweli wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, upendo wa Mungu

wimbo wa Kikristo | Upendo wa Kweli wa Mungu

I
Nasimama mbele ya Mungu wangu tena leo. Moyo wangu una mengi ya kusema ninapoona uso Wake wa kupendeza. Nimeacha siku zangu za zamani za kuzurura nyuma yangu. Neno Lake linanijaza na raha na furaha kutoka kwa neema Yake. Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia na kunistawisha ili nikuwe. Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena. Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako. Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua. Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda! Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!
II
Nataka kuwa na shauku ya neno Lako katika siku zangu zote. Nakutazamia, Mungu wangu, kwa mwanga katika kila njia. Unawanyunyizia na kuwastawisha watu Wako kwa upendo. Unatuongoza mbali na ushawishi wa ibilisi wa kupotosha. Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia na kunistawisha ili nikuwe. Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena. Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako. Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua. Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda! Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!
III
Ndugu! Tuinukeni na tusifu! Tuutunze wakati huu tunaoshirikiana pamoja. Tukiwa huru kutokana na minyororo ya mizigo ya mwili, hebu tuonyeshe upendo wetu kwa Mungu katika matendo halisi, tutimize wajibu wetu kwa moyo na nuvu. Tunakupenda, Mwenyezi Mungu! Hatutawahi kukuacha! Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia na kunistawisha ili nikuwe. Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena. Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako. Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua. Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia na kunistawisha ili nikuwe. Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena. Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako. Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua. Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda! Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda! Kwa sababu Umetuinua. Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda! Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: Umeme wa Mashariki Nyimbo

Ijumaa, 17 Agosti 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu Nyimbo | Maisha Yetu Sio Bure

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kusogea karibu na Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu Nyimbo | Maisha Yetu Sio Bure

I
Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake. Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika. Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu. Kila siku ya maisha yetu sio bure. Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na uzima! Kufahamu na kukumbatia fumbo hili. Nyayo zetu ziko katika njia ng’avu zaidi ya hadi katika uzima. Hatutafuti tena, yote yako wazi kwetu. Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto. Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata. Maisha yetu sio bure, sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
II
Maisha ya kumpenda Mungu, yenye maana, sio matupu. Tutimize wajibu wetu ili kushuhudia kwa ajili Yake. Tunapata sifa ya Mungu, tunapokea wokovu Wake. Hatuishi bure; maisha yetu, yenye utajiri na yaliyojaa. Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto. Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata. Maisha yetu sio bure, sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
III
Ni nani angewez kuwa amebarikiwa kuliko tulivyobarikiwa? Je, bahati nzuri ingeweza kutabasamu kwa utajiri na wingi mno? Kwa kuwa Mungu ametupa sisi mengi zaidi kuliko chochote kile Alichotoa katika enzi zilizopita. Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, Aliyetuinua mimi na wewe. Tunapaswa kurudisha upendo wote uliomwagwa kwetu. Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto. Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata. Maisha yetu sio bure, sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
kutoka kwa Fuata Mwanakondoo na Uimbe Nyimbo Mpya

Soma Zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumapili, 8 Julai 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za Neno la Mungu

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza; kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa; kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi. Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia, ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu. Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba. Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu, mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
II
Kwa sababu ni Mungu anayemfanyia mwanadamu kazi, mwanadamu ana hatima na hatima yake hivyo inahakikishwa, hatima yake inahakikishwa. Yale ambayo mwanadamu hufuatilia na kutamani ni matarajio aliyo nayo anapofuata tamaa badhirifu za kimwili, badala ya hatima, hatima inayotazamiwa na mwanadamu. Yale ambayo Mungu amemwandalia mwanadamu, kwa upande mwingine, ni baraka na ahadi zinazomngoja mwanadamu atakapotakaswa, ambayo Mungu alimwandalia baada ya kuiumba dunia. Hizo baraka na ahadi hazichafuliwi na fikira
ya mwanadamu na mawazo, au chaguo lake au mwili. Hii hatima haijaandaliwa kwa mtu mahsusi, mtu mahsusi, lakini ni mahali pa mapumziko kwa kila mwanadamu. Hii ndiyo hatima inayofaa, hatima inayofaa kwa mwanadamu.
III
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu. Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba. Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu, mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia. Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu. Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba. Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu, mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumatatu, 21 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia Yote Pamoja na Wewe

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, wimbo wa ibada,

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia Yote Pamoja na Wewe

I Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini. Ninapoasi, Unauficha uso Wako, giza likinifunika. Ninaporudi Kwako, Unaonyesha neema, Unatabasamu ili kukumbatia. Shetani anaponipiga, Unatibu vidonda vyangu, Unaupa joto moyo wangu. Shetani anaponiumiza, Uko nami kuanzia mwanzo hadi mwisho wa majaribu. Alfajiri itafika karibuni, na anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami.
II Wewe ni uhai wangu, Wewe ni Bwana wangu. Mwenzi wa kila siku, kivuli cha karibu kando yangu. Ukinifunza jinsi ya kuwa binadamu na kunipa ukweli na uhai. Pamoja na Wewe maisha yangu yanasonga mbele kwa utukufu. Bila chaguo langu, natii amri Yako. Kuwa kiumbe wa kweli, narudi upande Wako. Kuishi katika uwepo Wako, nazungumza na Wewe na kusikia sauti Yako. Hutangoja tena katika umbali mpweke. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari au matatizo, naweza kuvikabili. Pamoja na Wewe, safari hazitakuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba tena. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari na matatizo, naweza kuvikumba. Pamoja na Wewe, safari haziwezi kuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali. Niko pamoja na Wewe.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Uimbe Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana./

Jumatatu, 26 Februari 2018

Hymn of Christian Experience Swahili "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hymn of Christian Experience Swahili "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha. Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka. Mimi niko bila uhasi wowote, sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa. Ninauunga mkono wajibu wangu kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo. Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini, nina moyo wa uaminifu. Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu. Ninatenda ukweli, namtii Mungu, na kujaribu kuwa mtu mwaminifu. Mimi ni wazi na mnyoofu, bila uongo, nikiishi kwenye mwanga. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha. Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka. Mimi niko bila uhasi wowote, sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa. Ninauunga mkono wajibu wangu kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo. Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini, nina moyo wa uaminifu. Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu. Ninatenda ukweli, namtii Mungu, na kujaribu kuwa mtu mwaminifu. Mimi ni wazi na mnyoofu, bila uongo, nikiishi kwenye mwanga. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Kutoka kwa Fuata Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Sifa na Ibada
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Alhamisi, 8 Februari 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

I Kwa mamlaka ya Muumba, miujiza yaonekana, ikiwa na mvuto kwa mwanadamu, Mwanadamu hutazama kwa butwaa. Nguvu Zake huleta furaha; mwanadamu hustabishwa, kwa furaha tele. Kwa kupendezwa na kushangaa, Yeye hushangilia. Mwanadamu huguswa waziwazi; na kunyenyekea kwa hofu. Heshima utolewa naye unganishwa na Mungu. Matendo ya Muumba huathiri moyo wa mwanadamu, husafisha nafsi yake, nakukidhi roho ya mwanadamu. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote.
II Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Viumbe majini au wa angani, kwa amri ya Muumba viwepo kwa kila aina ya uhai. Kwa amri ya Muumba, viumbe hawa huishi kwa aina. Hii amri, hii kanuni, hakuna kiumbe chaweza kubadili Kwa kukosa ujasiri na uwezo wa kuvuka mipaka iliyowekwa na Mungu, waliishi na kuongezeka kwa idadi kwa mpango wa Muumba. Kwa madhubuti, wanashikilia sheria za Mungu; kwa uangalifu, wanashika amri za Mungu zisizonenwa hadi leo. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea.
III Inayostahili kuelewa kwa mwanadamu, hii ni kazi kuu mno. Inayostahili ujuzi wa mwanadamu, hii ni kazi kuu mno. Mamlaka Yake ya kipekee yanaonyesha nguvu Yake kuumba na kuamuru vyote vije katika uwepo, kuwa na mamlaka juu ya uumbaji wote, kuweka uhai juu ya vitu vyote. Yaonyeshwa katika uwezo Wake kufanya kuwepo mara ya kwanza na milele, vitu vyote vionekane duniani, viwepo na maumbo kamili, uhai na majukumu. Kwa kutozuiliwa na muda, kutokuwepo chini ya vizuizi, mawazo ya Muumba hayazuiliwi na nafasi. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 1 Februari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Mapenzi Matamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Mapenzi Matamu

I Kinani mwa moyo wangu, ni mapenzi Yako. Ni matamu sana, nakaa karibu yako. Kukutunza hukoleza moyo wangu; kukutumikia na mawazo yangu yote. Kuongoza moyo wangu, ni mapenzi Yako; mimi hufuata nyayo zako za mapenzi. Mimi hujisogeza kulingana na macho Yako; mapenzi yanaonyesha furaha ya moyo wangu. Mapenzi yanaonyesha furaha ya moyo wangu. Sasa mimi huishi katika ulimwengu mwingine, hakuna yeyote isipokuwa wewe uko nami. Unanipenda, ninakupenda; hakuna huzuni wala sikitiko hutusumbua. Hakuna huzuni wala sikitiko hutusumbua. Kumbukumbu chungu hutokomea. Kumbukumbu chungu hutokomea.
II Kukufuata katika mapenzi, niko karibu Yako; furaha hutujaa Wewe na mimi. Kuelewa mapenzi Yako, mimi hukutii tu, bila kutaka kutokukutii Wewe. Nitaishi mbele Yako kuliko wakati wowote, siwezi kuwa mbali na Wewe tena. Nikiyawaza na kuyaonja maneno Yako, napenda Ulicho nacho, kile Ulicho. Napenda Ulicho nacho, kile Ulicho. Nataka Uwe maisha yangu. Nitakuruhusu Uchukue moyo wangu. Ah! Nakupenda, nakupenda. Mapenzi Yako yamenishinda, kwa hivyo nina bahati kukamilishwa ili niutosheleze moyo Wako. Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe! Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe! Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe! Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe!
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumatatu, 29 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu

I Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara. Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza. Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri! Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa, nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo. Halafu natambua ni Mwenyezi ambaye nilipigana naye. Najichukia mwenyewe, kwa majuto makubwa, fikiria niliyoyafanya. Nimepotoka kwa kina, hakuna wanadamu, sasa nauona ukweli. Pamoja na mwanzo mpya, kujiingiza katika maisha halisi, kutimiza wajibu wangu. Kwa hali, kushindana na Mungu, mimi siheshimiki. Mungu bado Mungu, mtu ni mtu—mimi ni mjinga sana. Mjinga na mwenye kiburi kiasi cha kutoijua nafsi yangu halisi. Nilikosa aibu na kutahayarika; moyo wangu umejaa majuto. Najichukia mwenyewe, bila kujua kile ninachoishia. Shetani alinikanyaga kwa miaka mingi sana, nikawa mdharauliwa. Wakishapewa sumu na yule Mwovu, wanadamu wamepotea. Kama sitabadilishwa na kuzaliwa upya, sina maisha ya kweli.
II Tabia yangu potovu hunisumbua, huduma yangu bado i bure. Ni mjinga wa kumjua Mungu, na kujawa na dhana; jinsi gani mimi singepinga? Mungu hunihukumu, kwa uasi wangu, na ukosefu wa uadilifu. Nimeuona upendo wa kweli wa kuadibu na kuhukumu. Mungu ni mwenye haki, mimi nina hakika kabisa. Niko ana kwa ana naye. Wokovu wa vitendo wa Mungu umenisaidia kufika umbali huu. Uhalisi wa Mungu na uweza wake, vimefichuliwa kikamilifu kwa mtu. Kwa kuishi katika mwanga, namjua Mungu na kuuona uzuri wake. Nikiwa na nia ya kutimiza wajibu, Nitamtosheleza Mungu na kumpenda.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumapili, 28 Januari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

I Juu ya miti, nikiukwea mwezi wa amani. Kama mpendwa wangu, wa haki na mzuri. Ee mpendwa wangu, Uko wapi? Sasa mimi nina machozi. Je, Wanisikia nikilia? Wewe Ndiwe hunipa upendo. Wewe Ndiwe Unayenitunza. Wewe Ndiwe unayeniwaza daima, Wewe Ndiwe unayeyatunza maisha yangu. Mwezi, nyuma ya upande wa pili wa anga. Usimfanye mpendwa wangu asubiri muda mrefu sana. Tafadhali mwambie Yeye ninamkosa sana. Usisahau kuubeba pamoja nawe upendo wangu, pamoja nawe upendo wangu.
II Bata bukini pori katika jozi, wapuruka mbali sana. Je, watarudi na neno kutoka kwa mpendwa wangu? O tafadhali, tafadhali niazime mbawa yako. Naweza kupuruka kurudi kwa mji wangu vuguvugu. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Jinsi ninavyopenda ninaweza kuwa mzima karibuni, kuwa huru kutoka maisha machungu, ya kutangatanga. O mpendwa wangu, tafadhali nisubiri. Nitaruka mbali na anasa za dunia hii. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumamosi, 27 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,muziki-kwa-maisha

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

I Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo. Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu. Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi. Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa, sina ukweli au uhalisi. Mila na sheria, zikifungia imani yangu; sikubaki na kitu ila utupu. Kushindwa kuishi kama binadamu, sistahili upendo wa Mungu kwa ajili yangu.
II Moyo wangu umeamshwa sasa, ukiniambia ni lazima nilipe upendo wa Mungu. Najichukia kwa kuwa sikuwa na dhamira, kutomtii Mungu na kuvunja moyo wake. Kamwe sijawahi kuutunza moyo wa Mungu; kamwe sikuwahi kujishughulisha na maneno Yake. Bila dhamiri, kutokuwa na hisi, ni jinsi gani naweza kuorodheshwa kama mtu? Hukumu ya Mungu hunifanya nione, nilikuwa nimepotoshwa na Shetani kabisa. Maovu, dunia hii, iliyojaa mitego, Ukweli ndio muumini lazima achague. Ee Mungu mpenzi, Unanipenda sana, kufanya kila Unaloweza kunifanya niokolewe. Kile Ulichonifanyia, nitakiweka kwa kumbukumbu! Kamwe sitasahau milele. Utunzaji wa moyo wa Mungu, hayo ni mapenzi yangu yote. Nina kusudio la kufuata ukweli. Najishughulisha kugharimia rasilmali kwa ajili ya Mungu, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumatano, 24 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,wimbo wa Kikristo

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

I Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah … Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu. Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu. Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu. Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja. Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …
II Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni. Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja. Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo. Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro. Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
III Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana. Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu. Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana. Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho. Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza. Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumanne, 23 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kama Nisingeokolewa na Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kama Nisingeokolewa na Mungu

I Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu, nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani, kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje. Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
II Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumanne, 16 Januari 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Zingatia Majaliwa ya Binadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Zingatia Majaliwa ya Binadamu

Mungu awahimiza makabila yote, mataifa na nyanja zote: Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake; mzingatie hatima ya wanadamu; mfanye Mungu Mtakatifu na Mheshimiwa, Mkuu na wa pekee wakuabudiwa, ulimwengu wote, na wanadamu, waishi chini ya baraka Yake Mungu, kama vizazi vya Ibrahimu, walivyoishi na ahadi ya Yehova, kama viumbe vya Mungu, Adamu na Hawa, walivyoishi bustani Edeni. Kazi ya Mungu ni kama mawimbi yavumayo hakuna wa kumzuia au kumsimamisha. Ni tu kwa kusikiza neno Lake na kumuandama, ndio nyayo Zake zinaweza kufuatwa na ahadi pokewa. Wengine wote watapata angamizwa, na kupokea adhabu wanayostahili. Mungu awahimiza makabila yote mataifa na nyanja zote: Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake; mzingatie hatima ya wanadamu. Zingatia hatima ya wanadamu wote u-u-u-u-uh!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumanne, 26 Desemba 2017

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Nitampenda Mungu Milele

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Nitampenda Mungu Milele

I Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kurudi Kwako. Nakubali mafunzo katika ufalme Wako mchana na usiku. Majaribio mengi na maumivu, mateso mengi sana. Mara nyingi nilimwaga machozi na kuhisi huzuni, na mara nyingi nimeanguka katika mtego wa Shetani. Lakini Hujawahi kuniacha. Uliniongoza kupitia matatizo mengi, Umeniweka kupitia hatari nyingi. Sasa najua ya kuwa Wewe Umenipenda.
II Ee Mungu! Waniongoza kwa maisha mapya. Nikifurahia Maneno yako, Nimeelewa mapenzi yako. Maneno yako hunihukumu na kuniadibu, na kutakasa upotovu wangu. Kupitia majaribio nimejifunza kukutii Wewe. Kukua katika neno la Mungu, nimekuja kumjua Mungu. Niko tayari kufanya wajibu wangu kwa shahidi Wako na utukufu. Nitakupenda Wewe kwa muda wote. Kama kubarikiwa au kulaaniwa, mimi nitafurahi kuwa katika huruma Yako. Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki , Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.