Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mamlaka-ya-Muumba. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mamlaka-ya-Muumba. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 8 Februari 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

I Kwa mamlaka ya Muumba, miujiza yaonekana, ikiwa na mvuto kwa mwanadamu, Mwanadamu hutazama kwa butwaa. Nguvu Zake huleta furaha; mwanadamu hustabishwa, kwa furaha tele. Kwa kupendezwa na kushangaa, Yeye hushangilia. Mwanadamu huguswa waziwazi; na kunyenyekea kwa hofu. Heshima utolewa naye unganishwa na Mungu. Matendo ya Muumba huathiri moyo wa mwanadamu, husafisha nafsi yake, nakukidhi roho ya mwanadamu. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote.
II Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Viumbe majini au wa angani, kwa amri ya Muumba viwepo kwa kila aina ya uhai. Kwa amri ya Muumba, viumbe hawa huishi kwa aina. Hii amri, hii kanuni, hakuna kiumbe chaweza kubadili Kwa kukosa ujasiri na uwezo wa kuvuka mipaka iliyowekwa na Mungu, waliishi na kuongezeka kwa idadi kwa mpango wa Muumba. Kwa madhubuti, wanashikilia sheria za Mungu; kwa uangalifu, wanashika amri za Mungu zisizonenwa hadi leo. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea.
III Inayostahili kuelewa kwa mwanadamu, hii ni kazi kuu mno. Inayostahili ujuzi wa mwanadamu, hii ni kazi kuu mno. Mamlaka Yake ya kipekee yanaonyesha nguvu Yake kuumba na kuamuru vyote vije katika uwepo, kuwa na mamlaka juu ya uumbaji wote, kuweka uhai juu ya vitu vyote. Yaonyeshwa katika uwezo Wake kufanya kuwepo mara ya kwanza na milele, vitu vyote vionekane duniani, viwepo na maumbo kamili, uhai na majukumu. Kwa kutozuiliwa na muda, kutokuwepo chini ya vizuizi, mawazo ya Muumba hayazuiliwi na nafasi. Matamshi Yake yote, kila wazo Analowaza, kila ufunuo wa mamlaka Yake, kazi bora kwa vitu vyote. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea. Kwa nguvu za mamlaka Yake, matendo ya ajabu hutokea.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.