Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu-alisema. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu-alisema. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 21 Desemba 2018
Maonyesho ya Mungu | "Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu"
Desemba 21, 2018Mwenyezi-Mungu-alisema, Tabia-ya-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mungu, VIDEONo comments
Mwenyezi Mungu anasema, "Mwanadamu hana ufahamu wa umuhimu wa Mungu kumwokoa na umuhimu wa kazi ya usimamizi wa Mungu, na hafahamu jinsi Mungu Anavyotamani zaidi wanadamu wawe. Je, ni wanadamu mfano wa Adamu na Hawa, wasiopotoshwa na Shetani? Hapana!