Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nguvu-za-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nguvu-za-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 5 Januari 2019

Wimbo wa Kuabudu "Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu" | Manifestation of Power of God

Wimbo wa Kuabudu "Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu" | Manifestation of Power of God

Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Kila kitu kinaamuriwa na Mungu. Anaamuru na kuvipanga vitu vyote, kila kuainishwa kulingana na aina na kwa mapenzi ya Mungu kupewa nafasi yake. Vitu angani na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake. Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote. Hii ni amri ya Mungu na mamlaka Yake.
Haijalishi kitu ni kikubwa vipi, hakitaweza kamwe kumzidi Mungu. Vyote vinamtumikia Mungu-hakuna binadamu wanaothubutu kupinga au kufanya madai kwa Mungu. Mwanadamu, kiumbe wa Mungu, lazima pia aendeleze wajibu wake. Awe bwana au mtawala wa vitu vyote, hata hadhi yake iwe ya juu vipi, mtu mdogo chini ya utawala wa Mungu atabaki kuwa. Mwanadamu asiye na maana, kiumbe wa Mungu, kamwe hatakuwa juu ya Mungu.
kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu Nyimbo video