Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-kanisa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-kanisa. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 1 Julai 2019
Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
ndipo watakuwa marafiki Zake wa karibu.
Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
Wakati Mungu ni wa Roho, metukuka na mgumu kumwelewa?
Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
mwanadamu ataweza mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
Mungu hunena na kufanya kazi katika mwili,
Akishiriki furaha, huzuni na dhiki ya mwanadamu,
Akiishi katika dunia yao, Akiwalinda na kuwaongoza,
hivyo Akiwatakasa wapate baraka Yake na wokovu.
Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
Wakati Mungu ni wa Roho, metukuka na mgumu kumwelewa?
Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
Kupitia haya, mwanadamu anaweza kuelewa mapenzi ya Mungu
na kuwa mwandani Wake; hili tu ndo la utendaji.
Kama Mungu angekuwa asiyeonekana na asiyeguswa na mwanadamu,
mwanadamu angekuwaje mwandani Wake? Je, fundisho hili ni bure?
Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
Wakati Mungu ni wa Roho, metukuka na mgumu kumwelewa?
Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
Ni Wakati tu Mungu anapokuwa mwili, ndipo mwanadamu takuwa msiri Wake.
kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Chanzo: Kanisa la Mwenyezi Mungu
Jumapili, 24 Machi 2019
Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu
Machi 24, 2019muziki kwa maisha, NYIMBO, Nyimbo-za-kanisa, Wimbo-wa-Maneno-ya-Mungu, Wokovu-wa-MunguNo comments
Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu
I
Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu wanaomwabudu na kumtii Yeye. Ingawa wamepotoshwa na Shetani, hawamwiti baba tena. Wanajua ubaya wa Shetani, hivyo wanamkataa. Wanakuja mbele ya Mungu, wanakubali adabu na hukumu. Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
II
Katika usimamizi wa Mungu wa wakati huu, mwanadamu ni lengo la upotovu wa Shetani, yeye ni kasidi cha wokovu wa Mungu na kile ambacho Mungu na Shetani wanapigania. Wakati wa kazi ya Mungu, Anampata tena mwanadamu hatua kwa hatua kutoka Shetani. Kisha mwanadamu anakuwa karibu zaidi na Mungu ... Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu. Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani. Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena. Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu. Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.
kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu