Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fuata-Mwanakondoo-na-Imba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fuata-Mwanakondoo-na-Imba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 26 Februari 2018

Hymn of Christian Experience Swahili "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hymn of Christian Experience Swahili "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha. Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka. Mimi niko bila uhasi wowote, sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa. Ninauunga mkono wajibu wangu kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo. Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini, nina moyo wa uaminifu. Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu. Ninatenda ukweli, namtii Mungu, na kujaribu kuwa mtu mwaminifu. Mimi ni wazi na mnyoofu, bila uongo, nikiishi kwenye mwanga. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha. Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka. Mimi niko bila uhasi wowote, sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa. Ninauunga mkono wajibu wangu kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo. Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini, nina moyo wa uaminifu. Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu. Ninatenda ukweli, namtii Mungu, na kujaribu kuwa mtu mwaminifu. Mimi ni wazi na mnyoofu, bila uongo, nikiishi kwenye mwanga. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu. Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati. Watu wote wampendao Mungu, njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri. Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu. Ee watu wenye furaha, njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Kutoka kwa Fuata Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Sifa na Ibada
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.