Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 7 Aprili 2019

Ni Tofauti Gani Iliyopo Kati Ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu?

Ni Tofauti Gani Iliyopo Kati Ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu?

Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu huamini katika Mungu huyo huyo. Watu wanaoelewa historia ya dini wanajua kwamba Uyahudi wa Israeli ulizaliwa na kazi ambayo Yehova Mungu alifanya wakati wa Enzi ya Sheria. Ukristo, Ukatoliki, na Othodoksi ya Mashariki yote yalikuwa makanisa yaliyoibuka baada ya Bwana Yesu mwenye mwili kufanya kazi ya ukombozi. Kanisa la Mwenyezi Mungu lilikuja kuwepo wakati Mungu alipopata mwili wakati wa siku za mwisho kufanya kazi ya hukumu. Wakristo katika Enzi ya Neema walisoma Agano la Kale na Jipya la Biblia, na Wakristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu katika Enzi ya Ufalme sasa wanasoma Neno Laonekana Katika Mwili, ambalo lilikuwa likizungumzwa na Mungu binafsi katika siku za mwisho. Ukristo huzingatia kazi ya ukombozi ambayo Bwana Yesu alifanya wakati wa Enzi ya Neema, na Kanisa la Mwenyezi Mungu huikubali kazi ya hukumu ya siku za mwisho za Bwana Yesu aliyerudi, Mwenyezi Mungu. Tofauti kati ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu ni kwamba Ukristo huzingatia kazi ambayo Mungu alifanya wakati wa Agano la Kale na Enzi ya Neema, wakati Kanisa la Mwenyezi Mungu huzingatia kazi ya hukumu ikianzia na nyumba ya Mungu ambayo Mungu ametekeleza wakati wa siku za mwisho. Tofauti kati ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu ni sawa na tofauti kati ya Ukristo na Uyahudi: Wakati wa Enzi ya Neema, Bwana Yesu alitekeleza kazi ya ukombozi wa watu juu ya msingi wa kazi ya Enzi ya Sheria ya Agano la Kale. Lakini makuhani wakuu, walimu wa sheria na Mafarisayo wa Kiyahudi hawakujua kwamba Bwana Yesu alikuwa ni Yehova aliyepata mwili, kwamba Alikuwa Masihi waliyekuwa wakimsubiri. Kwa ukaidi walishikilia sheria na amri za Agano la Kale zilizotangazwa na Yehova Mungu. Pia walimsulubisha Bwana Yesu wa huruma, ambaye alikuwa amewaokoa wanadamu, hivyo wakiikosea tabia ya Mungu. Kisha Mungu akauacha Uyahudi mzima, ambao ulishikilia sheria za Agano la Kale, na kuuelekeza wokovu Wake kwa Watu wa mataifa–ambao, baada ya kumkubali na kumfuata Bwana Yesu, waliunda makanisa ya Agano Jipya, ambayo pia yaliitwa Ukristo. Wakati huo huo, Wayahudi, ambao walishikilia tu kazi ya Bwana Mungu wa Enzi ya Sheria ya Agano la Kale na kukataa kazi ya ukombozi wa Bwana Yesu, waliunda kile kinachojulikana kuwa Uyahudi. Kutokana na haya inaweza kuonekana kuwa Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu huamini katika Mungu yule yule—Bwana aliyeziumba mbingu na ardhi na vitu vyote. Ni kwamba tu jina na kazi ya Mungu ambazo watu hushikilia ni tofauti: Kanisa la Mwenyezi Mungu huzingatia jina jipya la Mungu wakati wa Enzi ya Ufalme, na hukubali kazi mpya inayofanywa na Mungu katika siku za mwisho, wakati Ukristo hushikilia jina la Mungu wakati wa Enzi ya Neema, na hukubali kazi ya zamani ambayo Mungu alifanya wakati wa enzi za zamani. Hii ndiyo tofauti muhimu zaidi kati ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Mungu ambaye wote wawili huamini, hata hivyo, ni mmoja: Mungu pekee wa kweli aliyeumba mbingu na dunia na vitu vyote. Huu ni ukweli ambao hakuna yeyote anayeweza kuugeuza au kuukana!
Wakristo wengi wanaamini kwamba wao wanahitaji tu kuikubali kazi ya Bwana Yesu ya ukombozi ili kuingia katika ufalme wa mbinguni, na hawahitaji pia kuikubali kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho. Dhana kama hizo si sahihi kabisa. Katika Enzi ya Neema, Bwana Yesu alifanya kazi ya ukombozi. Watu waliokolewa kwa sababu ya imani yao, na hawakuhukumiwa tena na sheria na kuuawa kwa sababu ya makosa yao. Lakini Bwana Yesu alizisamehe dhambi za mwanadamu tu, na hakuisamehe au kutatua asili ya mtu ya dhambi. Tabia za kishetani miongoni mwa watu–kiburi na hali ya majivuno, ubinafsi na ulafi, ukora na udanganyifu, na uasi na upinzani dhidi ya Mungu - bado ulikuwepo. Watu walikuwa bado hawajatakaswa kabisa, kuokolewa, na kuchumwa na Mungu. Hivyo, Bwana Yesu alisema mara nyingi kwamba ni lazima Arudi. Katika sehemu nyingi katika Biblia inatabiriwa kwamba Mungu sharti arudi na kufanya hukumu, kuwaleta watakatifu katika ufalme wa mbinguni. Mwenyezi Mungu mwenye mwili wa siku za mwisho ameonyesha ukweli wote kwa ajili ya utakaso na wokovu wa wanadamu, na Ametekeleza kazi mpya ya hukumu kuanzia nyumba ya Mungu juu ya msingi wa kazi ya ukombozi wa Bwana Yesu. Ni ili kutatua asili ya dhambi ya wanadamu, na kumruhusu mwanadamu kujikomboa kabisa kutoka kwa utumwa na vikwazo vya dhambi, kuishi kwa kudhihirisha sura ya mwanadamu halisi na kuchumwa na Mungu, na kuingia hatima nzuri iliyotayarishwa na Mungu kwa ajili ya wanadamu. Inaweza kusemwa kuwa kazi ya ukombozi iliyotekelezwa na Bwana Yesu ni msingi wa kazi ya wokovu wa Mungu ya siku za mwisho, wakati kazi ya hukumu ya siku za mwisho ni kiini na lengo la kazi ya wokovu ya Mungu. Hii ndiyo hatua ya kazi ambayo ni ya maana sana na muhimu kwa wokovu wa wanadamu. Ni wale tu ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya hukumu ya siku za mwisho watakaokuwa na fursa ya kuokolewa na kuingia katika ufalme wa mbinguni na kuwa wale wanaojipata mbele ya Mungu. Leo, watu wengine katika makundi na madhehebu mbalimbali ya ulimwengu wa kidini wameona kwamba Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu wakati wa siku za mwisho, na hivyo wamekubali na kuanza kumfuata Mwenyezi Mungu. Baadhi ya wasioamini pia wamemkubali Mwenyezi Mungu kwa sababu ya ukweli ulioonyeshwa na Mwenyezi Mungu. Watu hawa ambao huamini katika Mwenyezi Mungu hukamilisha Kanisa la Mwenyezi Mungu. Chini ya uongozi na uchungaji wa Kristo wa siku za mwisho, Mwenyezi Mungu, Wakristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu, kupitia kupata uzoefu na kuweka katika matendo maneno ya Mwenyezi Mungu, hatua kwa hatua huja kuelewa ukweli mwingi, na wameona kwa dhahiri chanzo na kiini cha upotovu wa wanadamu. Chini ya hukumu na kuadibu kwa maneno ya Mungu, watu hakika na kwa kweli wameonja tabia ya Mungu ya haki na isiyoweza kukosewa. Kwa sababu wanamjua Mungu, hatua kwa hatua wamepata kumwogopa Mungu na kujiepusha na uovu, na kuishi kwa mujibu wa maneno ya Mungu. Pamoja na ufahamu wao wa ukweli, maarifa ya watu ya Mungu imeongezeka hatua kwa hatua, utii wao kwa Mungu umekuwa mkubwa zaidi kuliko wakati wowote, na wameweka ukweli zaidi na zaidi katika vitendo. Bila kutambua, watu hawa watakuwa wamejikomboa kikamilifu kutoka kwa dhambi na kupata utakatifu. Wakristo ambao hawakubali kazi mpya ya Mwenyezi Mungu, wakati huo huo, bado huamini Ukristo. Wao hushikilia jina la Bwana Yesu, kutii mafundisho ya Biblia, na kwa muda mrefu tayari wametupwa katika giza na Mungu, wakipoteza utunzaji na ulinzi wa Mungu. Huu ni ukweli unaotambuliwa. Kama watu wakisisitiza kutotubu, na kwa upofu kumshutumu na kumpinga Bwana Yesu aliyerudi katika siku ya mwisho, Mwenyezi Mungu, na kukataa kuikubali kazi ya Mwenyezi ya Mungu ya hukumu ya siku za mwisho, basi mwishowe, wote wataondolewa na kazi ya Mungu.

Jumanne, 6 Novemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Utangulizi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Utangulizi

Mnamo Februari 11, mwaka wa 1991, Mungu alitoa tamko Lake la kwanza katika kanisa ambalo lilikuwa na athari isiyo ya kawaida kwa kila mmoja wa watu walioishi katika mkondo wa Roho Mtakatifu wakati huo. Tamko hili lilitaja yafuatayo: “Makazi ya Mungu yameonekana” na “Mkuu wa ulimwengu, Kristo wa siku za mwisho—Yeye ni Jua linalong’aa.” Kwa maneno haya ya maana sana, watu hawa wote waliletwa katika ulimwengu mpya. Wale wote waliosoma tamko hili walihisi maelezo ya kazi mpya, kazi kuu ambayo Mungu alikuwa karibu kuanzisha. Lilikuwa ni tamko hili zuri, laini, na lenye habari nyingi katika maelezo machache lililoleta binadamu wote katika kazi mpya ya Mungu na katika enzi mpya, na ambalo liliweka msingi na kuanzisha kazi ya Mungu katika kupata mwili huku. Mtu anaweza kusema kwamba tamko ambalo Mungu alitoa wakati huu ni lile ambalo linaunganisha enzi; kwamba ni wakati wa kwanza tangu mwanzo wa Enzi ya Neema ambapo Mungu amezungumza wazi kwa jamii ya binadamu; zaidi, kwamba ni wakati wa kwanza Amezungumza baada ya kujificha kwa miaka elfu mbili; na, zaidi ya hayo, kwamba ni utangulizi, sehemu muhimu ya kuanzia, kwa kazi ambayo Mungu yuko karibu kufanya katika Enzi ya Ufalme.
Wakati wa kwanza Mungu alitoa tamko, Alifanya hivyo kwa jinsi ya sifa kutoka kwa mtazamo wa nafsi ya tatu, kwa lugha ambayo wakati mmoja ilikuwa ya sanaa na ya ustaarabu na wazi na ya nyumbani, na vile vile ruzuku ya maisha ambayo ingeeleweka kwa urahisi na bila shida. Akiwa na hili, Alichukua kundi hili dogo la watu, waliojua tu jinsi ya kufurahia neema Yake wakingoja kurudi kwa Bwana Yesu kwa hamu, na kuwaleta kwa kimya katika hatua nyingine ya kazi katika mpango wa Mungu wa usimamizi. Katika hali hizi, binadamu hawakujua, sembuse kuthubutu kufikiri, ni aina gani ya kazi Mungu angefanya hatimaye, ama kilichokuwa njiani mbele. Baadaye, Mungu aliendelea kutoa matamko zaidi kuwaleta binadamu katika enzi mpya hatua kwa hatua. La kushangaza, kila tamko la Mungu ni tofauti katika maudhui na aidha hutumia aina tofauti za sifa na njia za maonyesho. Matamko haya, yaliyo sawa kwa sauti lakini ya namna mbalimbali katika maudhui, yamejazwa kila wakati na hisia za Mungu za utunzaji na kujali, na karibu kila moja lina ruzuku za maisha na maudhui tofauti na vile vile maneno ya kukumbusha, kushawishi, na kufariji kutoka kwa Mungu hadi kwa mwanadamu. Katika matamko haya, mafungu kama hili yanaonekana mara kwa mara: “Mungu mmoja wa kweli Amekuwa mwili, Yeye ndiye Mkuu wa ulimwengu Ambaye hutawala vitu vyote”; “Mfalme wa ushindi hukaa juu ya kiti Chake cha enzi cha utukufu”; “Yeye hushikilia ulimwengu mikononi Mwake”; na mengineo. Ujumbe unapitishwa katika mafungu haya, ama mtu anaweza kusema kwamba mafungu haya yanapitisha ujumbe kwa jamii ya binadamu: Mungu tayari amekuja katika dunia ya binadamu, Mungu ataanzisha kazi kubwa hata zaidi, ufalme wa Mungu tayari umeshuka katika kundi fulani la watu, na Mungu tayari amepata utukufu na kushinda maadui Wake wengi. Kila tamko la Mungu linaushika moyo wa kila binadamu. Wanadamu wote wanamsubiri Mungu ayape sauti hata maneno mengi zaidi, kwa sababu kila wakati Mungu huzungumza, Anatikisa moyo wa binadamu hadi kwa kina chake, na zaidi Anaongoza na kuweka sawa kila mwendo na kila hisia ya mwanadamu, ili kwamba binadamu waanze kuyategemea na hata zaidi kuyaheshimu maneno ya Mungu…. Kwa njia hii, pasipo kujua, watu wengi sana walikuwa wameisahau Biblia kimsingi, na kuyasikiliza shingo upande mahubiri ya kale na maandishi ya watu wa kiroho, kwa sababu hawakuweza kupata katika maandishi ya zamani msingi wowote wa maneno haya ya Mungu, wala hawakuweza kugundua mahali popote makusudi ya Mungu katika kutoa matamko haya. Kwa sababu hiyo, ilimpasa kwa kiasi gani binadamu kukiri kwamba matamko haya ni sauti ya Mungu ambayo hayajaonwa wala kusikika tangu mwanzo wa wakati, kwamba yako mbali ya uwezo wa mtu yeyote anayemwamini Mungu, na kwamba yanapita matamko yote yaliyotolewa na mtu yeyote wa roho anayeishi katika enzi za zamani au na Mungu zamani. Wakihimizwa na kila moja ya matamko haya, binadamu waliingia bila kujua katika hali ya kuashiria wema wa kazi ya Roho Mtakatifu, kuingia katika maisha kwa safu ya mbele ya enzi mpya. Wakihimizwa na maneno ya Mungu, binadamu, wakiwa wamejawa na matarajio, walionja utamu wa kuongozwa binafsi na maneno ya Mungu. Naamini muda huu mfupi kuwa wakati ambapo kila binadamu ataangalia nyuma kwa kumbukumbu ya kuvumilia, wakati ambapo kwa kweli kile ambacho binadamu walifurahia wakati huu hakikuwa zaidi ya hali ya kuashiria wema wa kazi ya Roho Mtakatifu, au mtu anaweza kukiita ladha tamu ya kudanganya. Hii ni kwa sababu, kutoka hatua hii kuendelea, bado chini ya mwongozo wa maneno ya Mungu, bado katika hali ya kuashiria wema wa kazi mpya ya Roho Mtakatifu, binadamu waliongozwa katika awamu nyingine ya maneno ya Mungu pasipo kujua, ambayo ilikuwa hatua ya kwanza iliyohemshwa na tamko la Mungu katika Enzi ya Ufalme—jaribio la watendaji huduma.
Maneno yaliyotamkwa kabla ya jaribio la watendaji huduma yalikuwa hasa kwa jinsi ya maagizo, ushawishi, lawama, na kufundisha nidhamu, na katika sehemu nyingine yalitumia jinsi nzee ya utambulisho iliyotumiwa katika Enzi ya Neema—kutumia “Wanangu” kwa wale waliomfuata Mungu ili kufanya iwe rahisi kwa binadamu kumkaribia Mungu, au ili binadamu waweze kuchukulia uhusiano wao na Mungu kuwa wa karibu. Kwa njia hii, bila kujali hukumu ambayo Mungu alitoa kwa kujiona, majivuno na tabia nyingine potovu za binadamu, mwanadamu angeweza kushughulikia na kulikubali katika utambulisho wake wa “mwana,” bila kuwa na uhasama kwa matamko ya “Mungu Baba,” ambayo kwa kuongezea ahadi ambayo “Mungu Baba” alitoa kwa “wana” Wake haikuwa ya shaka kamwe. Katika kipindi hiki, binadamu wote walifurahia uwepo ulio huru kutokana na taabu kama wa mtoto mchanga, na hili lilitimiza makusudi ya Mungu, ambayo ni, walipoingia katika utu uzima, Angeanza kutekeleza hukumu kwao. Hili pia liliweka msingi wa kazi ya kuhukumu jamii ya binadamu ambayo Mungu anaanzisha rasmi katika Enzi ya Ufalme. Kwa sababu kazi ya Mungu katika kupata mwili huku hasa ni kuhukumu na kushinda jamii nzima ya binadamu, punde tu mwanadamu alipoweka miguu yake chini kwa uthabiti, Mungu aliingia katika mtindo wa kazi Yake mara moja—katika kazi ambamo kwayo Anamhukumu mwanadamu na kumwadibu. Kwa uwazi, matamko yote kabla ya jaribio la watendaji huduma yalitolewa kwa ajili ya kupitia mageuzi, lengo la kweli likiwa tofauti na lile lilioonekana kuwa. Nia ya hamu ya Mungu ilikuwa kwamba Aweze kuzindua rasmi kazi Yake katika Enzi ya Ufalme punde iwezekanavyo. Hakutaka kwa vyovyote vile kuendelea kumbembeleza binadamu mbele kwa kumpa maneno madogo madanganyifu; badala yake, Alikuwa na hamu kuona uso wa kweli wa kila mwanadamu kabla ya kiti Chake cha hukumu, na hata kwa hamu zaidi Alitaka kuona mtazamo wa kweli ambao binadamu wote wangekuwa nao kuelekea Kwake baada ya kupoteza neema Yake. Alitaka tu kuona matokeo, sio mchakato. Lakini wakati huo hakukuwa na mtu aliyeelewa nia ya Mungu yenye hamu, kwa sababu moyo wa binadamu ulishughulika tu na hatima yake na matarajio yake ya baadaye. Sio ajabu kwamba hukumu ya Mungu ilikuwa imeelekezwa, mara kwa mara, kwa jamii nzima ya binadamu. Ilikuwa tu wakati binadamu, chini ya mwongozo wa Mungu, walianza kuishi maisha ya kawaida ya binadamu ambapo mtazamo wa Mungu kwa binadamu ulibadilika.
Mwaka wa 1991 haukuwa wa kawaida: hebu tuuite mwaka huu “mwaka wa ustawi.” Mungu alianzisha kazi mpya ya Enzi ya Ufalme na kuelekeza matamko Yake kwa jamii yote ya binadamu. Wakati huo huo, binadamu walifurahia wema wa pekee na, hata zaidi, kupitia uchungu unaofuata hukumu ya Mungu ya pekee kwa mwanadamu. Jamii ya binadamu ilionja utamu usiojulikana mpaka sasa na kuhisi pia hukumu na hali ya kutupwa isiyojulikana mpaka sasa kana kwamba ilikuwa imempata Mungu na tena kana kwamba ilikuwa imempoteza Mungu. Kuteseka katika umiliki na kuteseka katika ufukara—hisia hizi zinajulikana tu na wale wanaozipitia wao wenyewe; ni kitu ambacho mwanadamu hana uwezo wala njia ya kueleza. Majeraha ya aina hii ni yale Mungu alimpa kila mtu kama aina ya uzoefu usioshikika na mali. Maudhui ya matamko yaliyotolewa na Mungu katika mwaka huu kweli yamo katika sehemu mbili kuu: Ya kwanza ni sehemu ambapo Mungu alishuka katika dunia ya wanadamu kuwaalika binadamu kuja mbele ya kiti Chake cha enzi kama wageni; ya pili, sehemu ambapo binadamu, baada ya kula na kunywa hadi kushiba, walitumiwa na Mungu kama watendaji huduma. Bila shaka ni dhahiri kwamba sehemu ya kwanza ni matakwa ya binadamu ya thamani nyingi na ari zaidi, hasa kwa kuwa wanadamu wamezoea tangu zamani kufanya kufurahia kila kitu cha Mungu kuwa lengo la imani yao Kwake. Hii ndiyo maana, punde Mungu alipoanza kuyapa matamko Yake sauti, binadamu wote walikuwa tayari kuingia katika ufalme na walisubiri hapo ili Mungu awape thawabu tofauti. Watu katika hali hizi hawakulipa gharama ya kufaa kabisa kwa kubadilisha tabia zao, kutafuta kumridhisha Mungu, kufikiria mapenzi ya Mungu na kadhalika. Kwa mtazamo wa haraka wa juu juu, wanadamu walionekana kushughulika huku na kule siku zote huku wakijitumia na kufanya kazi kwa ajili ya Mungu, wakati kwa kweli walikuwa wakifanya hesabu, katika mahala pa siri zaidi pa vina vya mioyo yao, hatua ifuatayo wanayopaswa kuchukua kupata baraka au kutawala kama wafalme. Mtu anaweza kusema kwamba, wakati moyo wa mwanadamu ulipokuwa ukimfurahia Mungu, ulikuwa ukifanya hila dhidi ya Mungu wakati huo huo. Wanadamu katika hali hii hukutana na chuki ya kina zaidi ya Mungu na karaha; tabia ya Mungu haivumilii binadamu yeyote kumdanganya au kumtumia. Lakini hekima ya Mungu haifikiki kwa mwanadamu yeyote. Ilikuwa katikati ya kuvumilia mateso haya yote ambapo Alisema sehemu ya kwanza ya matamko Yake. Kiasi cha mateso ambayo Mungu alivumilia, na ni kiasi gani cha kujali na fikira Alitumia wakati huu, hakuna mwanadamu anayeweza kuwaza. Lengo la sehemu ya kwanza ya haya matamko ni kufichua aina tofauti za ubaya ambazo mwanadamu huonyesha anapokabiliwa na cheo na faida, na kufichua ulafi na kustahili dharau kwa mwanadamu. Hata ingawa, katika kuzungumza, Mungu huyafuma maneno Yake kwa sauti ya kweli na ya moyo ya mama anayependa, ghadhabu katika kina zaidi ya moyo Wake huwaka kama jua la mchana ambalo Anaelekeza dhidi ya adui Zake. Mungu hataki katika hali yoyote kuzungumza kwa kundi la watu wasio na usawa wa kawaida wa jamii ya binadamu, na hivyo, wakati wowote Anapozungumza, Anazuia ghadhabu iliyo ndani ya moyo Wake ilhali wakati huo huo Akijizuia ili kuonyesha tamko Lake. Zaidi ya hayo Anazungumza kwa jamii ya binadamu isiyo na ubinadamu wa kawaida, isiyo na mantiki, potovu kabisa, na ulafi kugeuka kuwa asili ya pili, na isiyotii na inayomwasi Mungu hadi mwisho kabisa. Vina ambavyo jamii ya mwanadamu imeanguka vinaweza kufikiriwa kwa urahisi, na hata zaidi chuki na karaha ya Mungu kwa jamii ya mwanadamu inaweza kufikiriwa kwa urahisi, lakini jamii ya binadamu ina ugumu kufikiri kwamba maumivu waliyompa Mungu hayawezi kuelezwa na maneno. Lakini ilikuwa hasa katika usuli huu—ambapo hakuna mtu aliweza kugundua jinsi moyo wa Mungu unavyoteseka, na aidha hakuna mtu aliyegundua jinsi jamii ya binadamu isivyo ya akili na isiyorekebishika—kwamba kila mtu, bila aibu yoyote au haya hata kidogo, aliona kuwa jambo la kawaida kwamba alikuwa na haki kama wana wa Mungu kupokea thawabu zote ambazo Alikuwa amemtayarishia mwanadamu, hata kwa kiwango cha kugombana, kusiwe na mtu aliyetaka kubaki nyuma na wote wakiogopa sana kupoteza. Kufikia sasa unapaswa kujua ni nafasi ya aina gani ambayo watu wakati huo walimiliki machoni pa Mungu. Jamii ya wanadamu kama hii inawezaje kupata thawabu za Mungu? Lakini kile ambacho mwanadamu hupokea kutoka kwa Mungu ni hazina ya thamani sana nyakati zote, na kinyume chake kile ambacho Mungu hupokea kutoka kwa mwanadamu ni uchungu mkubwa kabisa. Tangu mwanzoni mwa uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu, hiki ndicho mwanadamu amepokea daima kutoka kwa Mungu na kile ambacho amempa Mungu daima kama malipo.
Hata ingawa Mungu alijaa wasiwasi, Alipoona jamii hii ya binadamu, iliyo potovu kwa kina sana, Hakuwa na chaguo ila kuitupa ndani ya jahanamu ili iweze kusafishwa. Hii ni sehemu ya pili ya tamko la Mungu, ambapo Mungu aliwatumia binadamu kama watendaji huduma Wake. Katika sehemu hii, Mungu alitoka kuwa mpole hadi kuwa mkali, na kutoka machache hadi mengi, kuhusu mbinu na urefu, akitumia nafasi ya “nafsi ya Mungu” kama ubembe kufichua asili potovu ya mwanadamu ilhali wakati huo huo kuweka mbele vikundi tofauti vya[a] watendaji huduma, watu, na wana kwa watu kuchagua kutoka hapo. Bila shaka, kama vile Mungu alivyokuwa ametabiri, hakuna mtu aliyechagua kuwa mtendaji huduma kwa ajili ya Mungu, na badala yake wote walijitahidi kuwa nafsi ya Mungu. Hata ingawa, katika kipindi hiki, ukali ambao kwao Mungu alizungumza kilikuwa kitu ambacho binadamu hawakuwahi kutarajia na sembuse kusikia, hata hivyo, kujali sana kuhusu hadhi, na juu ya hili, kushughulika kwa msisimko mkubwa na kupata baraka, hawakuwa na wakati wa kuunda fikira kuhusu sauti ya Mungu ya kuzungumza na njia Yake ya kuzungumza, badala yake wakinuia kutenda bila hadhari hadhi zao na kile kilichowangoja baadaye. Kwa njia hii, binadamu waliletwa, bila kujua, na tamko la Mungu ndani ya matata mengi Aliyokuwa amewawekea. Wakiwa wameshawishiwa, bila hiari, na mvuto wa siku za mbele na kudura yao, binadamu walijijua hawafai kuwa nafsi ya Mungu, na bado walikuwa wakisita kutenda kama watendaji huduma Wake. Wakiwa wamechanganyikiwa kati ya fikira hizi zinazopingana, bila kujijua walikubali hukumu ya pekee na kuadibu ambako Mungu alikuwa amewapa binadamu. Kwa kawaida, aina hii ya hukumu na usafishaji kilikuwa kitu ambacho binadamu hawakuwa tayari kukubali hata kidogo. Hata hivyo, Mungu tu ndiye aliye na hekima, na ni Yeye tu aliye na uwezo, kutoza unyenyekevu mpole kutoka kwa jamii hii potovu ya wanadamu, ili kwamba, watake au wasitake, wote walikubali mwishowe. Binadamu hawakuwa na mbadala kuchagua kutoka. Ni Mungu tu aliye na uamuzi wa mwisho, na ni Mungu tu anaweza kutumia mbinu kama hii kumpa mwanadamu ukweli na uhai na kumwonyesha mwelekeo. Mbinu hii ni kutoepukika kwa kazi ya Mungu kwa mwanadamu, na pia, bila shaka au ugomvi, ni haja ya lazima ya mwanadamu. Mungu hutumia mbinu kama hii kwa ajili ya kunena na kufanya kazi kupitisha ukweli huu kwa binadamu: Katika kumwokoa binadamu, Mungu hufanya hivyo kutokana na upendo na huruma Yake na kwa ajili ya usimamizi Wake; katika kupokea wokovu wa Mungu, jamii ya binadamu inafanya hivyo kwa sababu imeanguka hadi kwa hatua ambapo Mungu huzungumza Yeye binafsi tu. Mwanadamu anapopokea wokovu wa Mungu, hii ndiyo neema ya juu zaidi, na pia ni fadhila ya pekee, yaani, isingekuwa Mungu kulipa tamko Lake sauti Yeye binafsi, majaliwa ya jamii ya binadamu ingekuwa kutoweka. Wakati huo huo ambapo Anakirihi jamii ya binadamu, Mungu bado yuko tayari na mwenye radhi kulipa gharama yoyote kwa ajili ya wokovu wa mwanadamu. Wakati huo, mwanadamu huzungumza kwa kurudiarudia juu ya upendo wake kwa Mungu na jinsi anavyoweka yote wakfu kwa Mungu, anaasi dhidi ya Mungu na kupokonya kila aina ya neema kutoka kwa Mungu, na hata, wakati huo huo, akimwumiza Mungu na kuumiza moyo Wake kwa uchungu mbaya. Hivyo ndivyo ilivyo tofauti dhahiri kati ya asiye na ubinafsi na aliye na ubinafsi katika uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu!
Katika kufanya kazi na kuzungumza, Mungu halazimiki kufuata mbinu yoyote maalum, ila hufanya kufikia matokeo katika upande Wake. Kwa sababu hii, katika “maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa,” Amehakikisha kutoonyesha utambulisho Wake kwa dhahiri, ila tu kufichua maneno machache kama “Kristo wa siku za mwisho,” “Mkuu wa ulimwengu,” na mengineyo. Hili haliathiri hata kidogo huduma ya Kristo au ufahamu wa binadamu wa Mungu, hasa kwa kuwa binadamu katika siku hizo za awali walikuwa wajinga kabisa kuhusu dhana ya “Kristo” na “kupata mwili,” kiasi kwamba Mungu alilazimika kujinyenyekeza Mwenyewe kuwa mtu na “kazi maalum” kuonyesha tamko Lake. Huu ni mfano wa nia ya juhudi ya Mungu, kwa sababu watu wakati huo wangeweza tu kukubali aina hii ya utambulisho. Bila kujali aina ya utambulisho ambao Mungu hutumia, matokeo ya kazi Yake hayaathiriwi, kwa sababu katika yote Anayofanya Mungu hunuia kumwezesha mwanadamu kubadilika, kumwezesha mwanadamu kupata wokovu wa Mungu. Bila kujali Anachokifanya, Mungu daima hufikiria mahitaji ya mwanadamu. Hii ndiyo nia ya Mungu kufanya kazi na kuzungumza. Hata ingawa Mungu yuko mwangalifu kikamilifu katika kufikiria vipengele vyote vya binadamu, na ni mwenye busara kikamilifu katika yote Anayofanya, Naweza kusema hili: Kama Mungu hangejishuhudia Yeye Mwenyewe, hakungekuwa na mmoja miongoni mwa jamii ya binadamu walioumbwa ambaye anayeweza kumtambua Mungu Mwenyewe au kusimama kumshuhudia Mungu Mwenyewe. Kama Mungu angeendelea kutumia “mtu na kazi maalum” kama aina ya utambulisho katika kazi Yake, hakungekuwa na binadamu hata mmoja ambaye angemchukulia Mungu kama Mungu—huu ni huzuni wa binadamu. Yaani, miongoni mwa jamii ya binadamu walioumbwa hakuna mtu anayeweza kumjua Mungu, hakuna wa kumpenda Mungu, kumjali Mungu na kumkaribia Mungu. Imani ya mwanadamu ni kwa ajili ya kupata baraka pekee. Utambulisho wa Mungu kama mtu aliye na kazi maalum imetoa dokezo kwa kila binadamu: Binadamu anaona ikiwa rahisi kumchukulia Mungu kama mmoja miongoni mwa jamii ya wanadamu walioumbwa; uchungu na fedheha ya juu kabisa ambayo binadamu anamwumiza nayo Mungu ni hiyo hasa, Anapoonekana na kufanya kazi kwa wazi, Mungu bado anakataliwa na mwanadamu na hata kusahaulika na yeye. Mungu huvumilia fedheha ya juu zaidi ili kuiokoa jamii ya binadamu; katika kutoa kila kitu, lengo Lake ni kumwokoa binadamu, kupata utambuzi wa binadamu. Gharama ambayo Mungu amelipa kwa ajili ya haya yote ni kitu ambacho kila mtu aliye na dhamiri anapaswa kuweza kuthamini. Jamii ya binadamu imepata kuzungumza na kufanya kazi kwa Mungu, na kupata wokovu wa Mungu. Wakati uo huo, hakuna mtu ambaye amefikiria kuuliza hili: Na ni nini ambacho Mungu amepata kutoka kwa binadamu? Kutoka katika kila tamko la Mungu, binadamu wamepata ukweli, wamefanikiwa kubadilika, wamepata mwelekeo katika maisha; lakini kile ambacho Mungu amekipata si zaidi ya maneno Anayowia na minong’ono dhaifu za sifa. Hakika hii siyo fidia ambayo Mungu anadai kutoka kwa mwanadamu?
Ingawa matamko mengi ya Mungu sasa yameonyeshwa, watu wengi bado wamepumzika kidogo katika hatua inayowakilishwa na “maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa” katika ufahamu na maarifa yao ya Mungu, ambapo kwayo hawajaendelea mbele—hii kweli ni mada chungu. Sehemu hii ya “maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa” ni ufunguo tu wa kufungua moyo wa binadamu; kupumzika kidogo hapa ni kutotimiza nia ya Mungu kabisa. Lengo la Mungu katika kuzungumza sehemu hii ya matamko Yake ni kumleta binadamu kutoka kwa Enzi ya Neema tu hadi katika Enzi ya Ufalme; Hataki hata kidogo binadamu wabaki wakisimama katika sehemu hii ya matamko Yake au hata kuchukua sehemu hii ya matamko Yake kama mwongozo, vinginevyo matamko ya baadaye ya Mungu hayatakuwa muhimu au ya maana. Iwapo kuna yeyote ambaye bado hawezi kuingia katika kile ambacho Mungu anadai kwamba mwanadamu apate katika sehemu hii ya matamko Yake, basi kuingia kwa mtu huyo kunabaki kusikojulikana. Sehemu hii ya matamko ya Mungu inajumuisha mahitaji ya msingi kabisa ambayo Mungu hutaka kutoka kwa mwanadamu katika Enzi ya Ufalme, na ndiyo njia ya pekee ambayo kwayo binadamu ataingia katika njia sahihi. Iwapo wewe ni mtu asiyeelewa chochote, basi ni bora uanze kwa kusoma maneno katika sehemu hii!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Alhamisi, 14 Juni 2018

"Kubisha Hodi Mlangoni" (5) - Bwana Anabisha Mlangoni: Unaweza Kuitambua Sauti ya Bwana (2)

"Kubisha Hodi Mlangoni" (5) - Bwana Anabisha Mlangoni: Unaweza Kuitambua Sauti ya Bwana (2)

Bwana Yesu alisema, "Kondoo wangu huisikia sauti yangu" (Yohana 10:27). Kwa dhahiri, Bwana ananena ili kuwatafuta kondoo Wake wakati wa kurudi Kwake. Jambo la muhimu zaidi kwa Wakristo kufanya wanaposubiri kuja kwa Bwana ni kutafuta kusikia sauti ya Bwana. Mtu anawezaje kuitambua sauti ya Bwana, hata hivyo? Kuna tofauti gani kati ya sauti ya Mungu na sauti ya wanadamu?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, sauti ya Mungu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumapili, 10 Juni 2018

"Kubisha Hodi Mlangoni" (1) - Ni Desturi Gani Muhimu Zaidi ya Kuukaribisha Ujio wa Bwana

"Kubisha Hodi Mlangoni" (1) - Ni Desturi Gani Muhimu Zaidi ya Kuukaribisha Ujio wa Bwana

Bwana Yesu alisema, "Kondoo wangu huisikia sauti yangu, na mimi Ninawajua, nao hunifuata" (Yohana 10:27). Pia imetabiriwa mara nyingi katika Ufunuo, "Yeye aliye na sikio, na asikie lile Roho anayaambia makanisa." Sauti na maneno ya Roho ni sauti ya Bwana, na ni kondoo wa Mungu mbao watatambua sauti ya Mungu. Ni tendo gani, basi, lililo muhimu kwa Wakristo wanapoukaribisha ujio wa Bwana?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ujio wa pili wa Yesu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumapili, 3 Juni 2018

New Swahili Gospel Worship Song "Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri" | Kukaa katika Upendo wa Bwana

New Swahili Gospel Worship Song "Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri" | Kukaa katika Upendo wa Bwana

Ee Bwana, kanisa limekuwa la ukiwa. Siwezi kuhisi kuwepo Kwako. Uko Wapi?
I
Juu ya miti, ukipanda mwezi mtulivu. Kama mpenzi wangu, mwenye haki na mzuri. Ee mpenzi wangu, uko wapi Wewe? Sasa ninalia. Je unanisikia nikilia? Wewe ndiye Unayenipa upendo. Wewe ndiye Unayenijali. Wewe ndiye Unayefikiri kunihusu kila wakati. Wewe ndiye Unayehifadhi maisha yangu. Mwezi, rudi upande ule mwingine wa anga. "Usimfanye mpenzi wangu angoje sana. Tafadhali mwambie nimemkosa Yeye sana." Usisahau kwenda na upendo wangu.
II
Bata bukini wa mwituni wawili wawili, wakipaa mbali zaidi. Je, watarudi na ujumbe kutoka kwa mpenzi wangu? Ee tafadhali, tafadhali nisaidie mabawa yako. Naweza kupaa kurudi nyumbani mji wangu wa nyumbani wenye joto. Nitalipa hangaiko la mpenzi wangu. Nataka kumwambia Yeye: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu linalokufurahisha. Kwa hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa bure. Jinsi ninavyotamani ningekuwa mtu mzima haraka, kuwa huru kutoka kwa maisha ya uzururaji, ya uchungu. Ee mpenzi wangu, tafadhali nisubiri. Nitapaa mbali na raha ya hii dunia. Nitalipa hangaiko la mpenzi wangu. Nataka kumwambia Yeye: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu linalokufurahisha. Kwa hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa bure. Kwa hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa bure.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumamosi, 12 Mei 2018

Swahili Christian Video "Mtoto, Rudi Nyumbani" | Hakuna Wokovu Ila Kupitia Kwa Bwan

Swahili Christian Video "Mtoto, Rudi Nyumbani" | Hakuna Wokovu Ila Kupitia Kwa Bwan

Li Xinguang ni mwanafunzi wa shule ya upili ya ngazi ya juu. Alikuwa mvulana mwenye busara na mwenye tabia nzuri tangu alipokuwa mdogo. Wazazi wake na walimu wake walimpenda sana. Alipokuwa akienda katika shule ya kati, alipumbazwa na michezo ya kompyuta ya mtandaoni. Angekosa kwenda darasani mara kwa mara ili aende kwenye chumba cha mtandao. Wazazi wake walifanya kila juhudi kumsaidia kuyaondoa mazoea yake ya michezo. Kwa bahati mbaya, uzoefu wa Li Xinguang ulizidi kuwa mbaya zaidi na zaidi. Alikuwa mwenye kuvunjika moyo na polepole akabadilika na mvulana msumbufu. … Wazazi wa Li Xinguang walipohisi kuwa hawakujua la kufanya, walisikia kwamba Mungu ana uwezo wa kuwaokoa watu, Akiwasaidia kuwaondolea mazoea ya michezo na kujinasua kutokana na upotoshaji wa Shetani. Kama matokeo, waliamua kumwamini Mungu na wakangoja kwa hamu Mungu amwokoe mwana wao. Kutoka kwa maneno ya Mungu, walielewa chanzo cha upotovu na mkengeuko wa mwanadamu. Waliona ukweli wa giza la mwanadamu na uovu na wakaelewa kwamba ni Mungu tu Anayeweza kuwaokoa watu na kuwaweka huru kutokana na upotoshaji wa Shetani na mateso. Kila alichohitaji kufanya Xinguang kilikuwa ni kumwamini Mungu na kuuelewa ukweli, na angeweza kuvunja mazoea yake ya michezo. Kama matokeo yake, walieneza injili kwa Xinguang na kumwongoza Xinguang kusoma maneno ya Mungu. Walimwomba Mungu na kumsihi amwokoe mwana wao na kumsaidia avunje mazoea yake ya michezo. … Baada ya pambano, Xinguang alianza kumwomba Mungu na kumtegemea Mungu. Chini ya uongozi wa maneno ya Mungu, hatimaye aliondokana na mazoea yake ya michezo na kujinasua toka kwa upotovu wa Shetani na mateso. Huyu mwana aliyekuwa amepotoea bila matumaini katika michezo ya mtandaoni na vyumba vya mtandao mwishowe alikuja nyumbani!

Jumanne, 8 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (4) - Je, Kuamini katika Biblia ni Sawa na Kuamini katika Bwana?

"Imani katika Mungu" (4) - Je, Kuamini katika Biblia ni Sawa na Kuamini katika Bwana?

Watu wengi zaidi katika ulimwengu wa dini huamini kwamba Biblia ni kanuni ya Ukristo, kwamba mtu lazima ashikilie Biblia na kuweka msingi wa imani yake katika Bwana kwenye Biblia kabisa, na kwamba mtu hawezi kuitwa muumini akipotoka kutoka kwenye Biblia. Hivyo imani katika Bwana na imani katika Biblia ni sawa? Uhusiano kati ya Biblia na Bwana ni upi hasa? Bwana Yesu aliwakaripia Mafarisayo wakati fulani kwa maneno haya, "Tafuta katika maandiko; kwa kuwa ndani yake mnadhani kuwa mna uzima wa milele: na hayo ndiyo yananishuhudia. Nanyi hamtakuja Kwangu, kwamba mpate uhai." (Yohana 5:39-40). Biblia ni ushuhuda wa Mungu tu, lakini haina uzima wa milele. Mungu pekee ndiye ukweli, njia na uzima. Kwa hivyo, tuiangalie Biblia vipi kwa njia ambayo inakubaliana na mapenzi ya Bwana?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 7 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (3) - Je, Kazi ya Mungu na Kuonekana kwa Mungu Kunaleta Nini katika Jamii ya Dini?

"Imani katika Mungu" (3) - Je, Kazi ya Mungu na Kuonekana kwa Mungu Kunaleta Nini katika Jamii ya Dini?

Kila wakati ambapo Mungu anakuwa mwili na kuonekana ili kufanya kazi Yake, nguvu za uovu za Shetani hupinga na kulaani njia ya kweli kwa ghadhabu. Kwa njia hii, vita vinatokea ndani ya dunia ya kiroho ambavyo hugawanya na kufunua ulimwengu wa dini. Bwana Yesu alisema, “Msifikiri kwamba nimekuja kuleta amani duniani: sikuja kuleta amani, bali upanga”(Mathayo 10:34). Wakati ambapo Bwana Yesu alionekana na kufanya kazi katika Enzi ya Neema, dini ya Kiyahudi iligawanyika katika vikundi vingi. Sasa kwa kuonekana kwa Mwenyezi Mungu na kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, ulimwengu wa dini unapatwa na mfichuo mkubwa; ngano na magugu mwitu, kondoo na mbuzi, wanawali wenye busara na wanawali wapumbavu, na watumishi wazuri na watumishi wabaya —wote wanafunuliwa, kila mmoja na aina yake. Hekima ya Mungu na maajabu kweli ni ya kina sana!
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumamosi, 5 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?

"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?

Katika Biblia, Paulo alisema, "Acha kila nafsi itii mamlaka ya juu zaidi. Kwani hakuna mamlaka isipokuwa ya Mungu: mamlaka yaliyoko yameamriwa na Mungu. Yeyote yule anayepinga nguvu, anapinga amri ya Mungu: na yule anayepinga atapokea laana” (Warumi 13:1-2). Sisi waumini tunapaswa kuwatendea vipi wale walio madarakani? Je, utiifu kwa wale walio madarakani ni sawa na utiifu kwa Mungu kweli?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, siku za mwisho,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Ijumaa, 4 Mei 2018

Christian Video Swahili "Bahati na Bahati Mbaya" | Mshukuru Mungu kwa Neema Yake ya Ajabu


Christian Video Swahili "Bahati na Bahati Mbaya" | Mshukuru Mungu kwa Neema Yake ya Ajabu

Kwa sababu yeye alitoka katika familia iliyo masikini, tangu akiwa na umri mdogo Du Juan alikusudia kutengeneza pesa nyingi sana apate kuishi maisha mazuri. Ili kufikia lengo hili, aliacha shule mapema zaidi kwenda kufanya kazi ya mikono, chochote angeweza kufanya ili apate pesa. Yeye hakulalamika wakati kazi ilikuwa ngumu na ya kuchokesha. Hata hivyo, yeye hakupata matokeo aliyotaka. Bila kujali jinsi alivyofanya kazi kwa bidii, hakuweza kupata yale maisha aliyojitakia mwenyewe. Mwaka wa 2008, bado akiwa na ndoto ya kutengeneza pesa nyingi, yeye na mumewe walikwenda Japan kufanya kazi. Baada ya miaka michache, shinikozo la kazi nzito na saa nyingi za kazi zilimsababisha kuanguka kutokana na uchovu mwingi. Matokeo ya uchunguzi wa hospitali yalifanya hisia zake kushuka chini zaidi kuliko wakati mwengine ule, lakini ili aweze kufikia njozi yake, Du Juan hakuwa tayari kukata tamaa. Aliendelea kufanya kazi, akiubeba ugonjwa wake, akili yake ikiwa imelenga kuendelea kujitahidi. Hatimaye, mateso ya hali yake yalisababisha kusimamisha juhudi zake za kutafuta pesa. Katikati ya uchungu wake, alianza kutafakari: Kwa nini baada ya yote mtu anaishi maisha haya? Je, ina thamani gani kuhatarisha maisha yako mwenyewe kwa sababu ya pesa? Je, ni ukweli kwamba maisha ya pesa ni maisha ya furaha? Mashaka haya siku zote yalizunguka akili yake. Muda mfupi baadaye, wokuvu wa Mwenyezi Mungu wa zile siku za mwisho ukaja kwake. Kutokana na maneno ya Mwenyezi Mungu, yeye alikuja kujua chanzo cha maisha ya mwanadamu ya uchungu, na pia alielewa kile ambacho mwanadamu alipaswa kuishi kwa ajili yake, na jinsi ya kuishi kabla aweze kupata maisha yenye maana kwa binadamu....Wakati wowote alipofikiria kuhusu tukio hilo, Du Juan alishusha pumzi kwa hisia: Hili pigo la ugonjwa kwa kweli lilimfanya apate baraka kutoka kwa majonzi!
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Filamu za Kikristo
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatano, 2 Mei 2018

Gospel Movie Clip "Siri ya Utauwa" (5) - Namna ya Kujua Kwamba Kristo ni Ukweli, Njia na Uzima

Gospel Movie Clip "Siri ya Utauwa" (5) - Namna ya Kujua Kwamba Kristo ni Ukweli, Njia na Uzima

Kupata mwili kwa Mungu wote wawili wanashuhudia kwamba "Kristo ni ukweli, njia na uzima." Kwa inasemwa kwamba Kristo ni ukweli, njia na uzima? Na wale mitume na watu wakuu wa kiroho waliomfuata Bwana Yesu pia walisema mambo mengi, mambo ambayo ni ya manufaa makubwa kwa mwanadamu, kwa hiyo mbona wao si ukweli, njia na uzima? Tunapaswa kuelewa vipi tofauti kati ya vipengele hivi viwili?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 30 Aprili 2018

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (3) - Siri ya Kupata Mwili kwa Mungu

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (3) - Siri ya Kupata Mwili kwa Mungu

Katika Enzi ya Neema, Mungu alipata mwili na akawa Bwana Yesu aliyekuja kuwakomboa wanadamu, na Mafarisayo wa Kiyahudi wakasema kwamba Bwana Yesu alikuwa mwanadamu tu. Katika siku za mwisho, Mungu amepata mwili na amekuwa Mwenyezi Mungu ambaye Amekuja kufanya kazi Yake ya hukumu, wachungaji na wazee wa kanisa wa ulimwengu wa kidini pia wanasema kwamba Mwenyezi Mungu ni mwanadamu tu, kwa hiyo tatizo ni lipi hapa? Kwa upande wa nje, Mungu mwenye mwili Anaonekana kuwa mtu wa kawaida. Lakini ndani Roho wa Mungu anaishi ndani Yake; Anaweza kuonyesha ukweli, kuonyesha sauti ya Mungu na kufanya kazi ya Mungu, kwa hiyo Mungu mwenye mwili ni mwanadamu, au ni Mungu?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumamosi, 28 Aprili 2018

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (2) - Je, Bwana Atampa Mwanadamu Ufunuo Wakati Atarudi?

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (2) - Je, Bwana Atampa Mwanadamu Ufunuo Wakati Atarudi?

Wachungaji na wazee wengi wa kanisa, kwa kuwa wamemwamini Mungu kwa miaka mingi, wamemfanyia Bwana kazi kwa bidii sana na wamekesha kila mara, wakingoja kurudi kwa Bwana, wanaamini kwamba wakati Bwana atakuja Atawapa ufunuo bila shaka. Je, maoni haya yanapatana na ukweli wa kazi ya Mungu? Je, Mungu atampa mwanadamu ufunuo haswa wakati Atapata mwili? Mwenyezi Mungu asema, "Mwanadamu haitafiti kazi mpya ya Mungu kwa utunzaji wala haikubali na unyenyekevu; badala yake, mwanadamu anachukua mtazamo wa dharau, kusubiri ufunuo na mwongozo wa Mungu. Hii siyo tabia ya mwanadamu anayeasi dhidi ya na kumpinga Mungu? Ni jinsi gani wanadamu kama hawa wanaweza kupata idhini ya Mungu?" (Neno Laonekana katika Mwili).
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Ijumaa, 27 Aprili 2018

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (1) - Siri ya Kuja kwa Mwana wa Adamu

Gospel Movie clip "Siri ya Utauwa" (1) - Siri ya Kuja kwa Mwana wa Adamu

Akizungumza kuhusu kurudi kwa Bwana, Bwana Yesu alisema, “Kuweni tayari pia: kwani Mwana wa Adamu atakuja wakati ambapo hamfikiri” (Luka 12:40). "Kwani kama umeme, umulikao kutoka sehemu moja chini ya mbingu, huangaza hadi sehemu nyingine chini ya mbingu; vivyo hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika siku yake. Lakini kwanza lazima apitie mambo mengi, na akataliwe na kizazi hiki” (Luka 17:24-25). Unabii huu unataja "Mwana wa Adamu atakuja" au "kuja kwa Mwana wa Adamu," kwa hiyo ni nini hasa kinamaanishwa na "kuja kwa Mwana wa Adamu"? Bwana Yesu atarudi kwa njia gani? Filamu hii fupi itakufichulia ukweli.
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumanne, 24 Aprili 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kwa nini tunaishi? Na kwa nini inatulazimu kufa?"

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Sinema za Injili

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kwa nini tunaishi? Na kwa nini inatulazimu kufa?"

Mungu asema, "Ni viumbe wangapi wanaoishi na kuzaana katika ulimwengu mpana, wakifuata sheria ya maisha tena na tena, wakifuata sheria isiyobadilika. Wanaokufa huenda na hadithi za walio hai, na walio hai hurudia historia hii yenye huzuni ya wale waliokufa. Na kwa hivyo wanadamu hawawezi kujizuia ila kujiuliza wenyewe; Kwa nini tunaishi? Na kwa nini inatulazimu kufa? Nani anayeitawala dunia hii? Na ni nani muumbaji wa mwanadamu? Je, kweli wanadamu waliumbwa na mazingira asilia? Je, kweli wanadamu wana uamuzi juu ya hatima yao?" kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kotekote katika enzi nyingi, watu wengi wametumia maisha yao yote kuchunguza maswali haya, lakini hakuna yeyote kwa hakika aliyepata majibu. Leo, Muumba ametuongelesha hadharani sisi wanadamu na kuyafichua mafumbo haya yote yeye mwenyewe, yote ambayo yamejumuishwa katika filamu ijayo ya hali halisi Yule Ashikiliaye Ukuu Juu ya Kila kitu. Hebu tuutambue ukuu wa Mungu juu ya vitu vyote na matendo Yake ya ajabu kwa njia ya karamu hii ya ajabu ya macho!
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 23 Aprili 2018

Upendo wa Mungu Huushinda Moyo wa Mwanadamu | "Wimbo wa Kifuasi cha Dhati" (Video Rasmi ya Muziki)

Upendo wa Mungu Huushinda Moyo wa Mwanadamu | "Wimbo wa Kifuasi cha Dhati" (Video Rasmi ya Muziki)

Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, Uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe. Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu. Nampenda, najihisi mtamu, teseka kwa ajili Yake. Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
Moyo wangu, Alioupewa, nahisi furaha. Nafsi yangu nzima kuishi kwa ajili Yake, haya ni maisha yangu. Kumpenda, kumtumikia, heshima kubwa kwangu. Moyo wangu hautaki kingine chochote, nimetosheka. Yajali mapenzi Yake, fikra zake, na mahangaiko Yake. Ni mapenzi yangu kumpendeza na kumtosheleza Mungu. Mimi huhudumu katika nyumba ya Mungu, nikitimiza wajibu. Humtii, kuwa mwaminifu kwake, na kujitolea. Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe. Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu. Nampenda, najihisi mtamu, nateseka kwa ajili Yake. Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, upendo kwa Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumapili, 22 Aprili 2018

Nitampenda Mungu Maisha Yangu Yote | "Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri" (Video Rasmi ya Muziki)

Nitampenda Mungu Maisha Yangu Yote | "Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri" (Video Rasmi ya Muziki)

Juu ya miti, nikiukwea mwezi wa amani. Kama mpendwa wangu, wa haki na mzuri. Ee mpendwa wangu, Uko wapi? Sasa mimi nina machozi. Je, Wanisikia nikilia? Wewe Ndiwe hunipa upendo. Wewe Ndiwe Unayenitunza. Wewe Ndiwe unayeniwaza daima, Wewe Ndiwe unayeyatunza maisha yangu. Mwezi, nyuma ya upande wa pili wa anga. Usimfanye mpendwa wangu asubiri muda mrefu sana. Tafadhali mwambie Yeye ninamkosa sana. Usisahau kuubeba pamoja nawe upendo wangu, pamoja nawe upendo wangu.
Bata bukini pori katika jozi, wapuruka mbali sana. Je, watarudi na neno kutoka kwa mpendwa wangu? O tafadhali, tafadhali niazime mbawa yako. Naweza kupuruka kurudi kwa mji wangu vuguvugu. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Jinsi ninavyopenda ninaweza kuwa mzima karibuni, kuwa huru kutoka maisha machungu, ya kutangatanga. O mpendwa wangu, tafadhali nisubiri. Nitaruka mbali na anasa za dunia hii. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, wimbo wa ibada,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatano, 18 Aprili 2018

"Mji Utaangushwa" (5) - Mji mkuu wa dini wa Babeli Umekusudiwa Kuangamia Chini ya Ghadhabu ya Mungu!

"Mji Utaangushwa" (5) - Mji mkuu wa dini wa Babeli Umekusudiwa Kuangamia Chini ya Ghadhabu ya Mungu!

Ulimwengu wa dini humkaidi na kumlaani Mwenyezi Mungu, ukitenda matendo maovu yasiyohesabika, na wamekuwa kambi ya Shetani ambayo humpinga Mungu vikali. Mji mkuu wa dini wa Babeli umekusudiwa kuangamia chini ya ghadhabu ya Mungu! Ufunuo unatabiri, "Ole, ole ule mji mkuu Babeli, ule mji ulio na uwezo! kwani hukumu yako imekuja katika saa moja" (Ufunuo 18:10). Mwenyezi Mungu asema, "Tunaamini hakuna nchi ama nguvu inayoweza kuzuia yale anayotaka kutimiza Mungu. Wale wanaozuia kazi ya Mungu, wanaopinga neno la Mungu, kuvuruga na kudhoofisha mpango wa Mungu hatimaye wataadhibiwa na Mungu. Anayeasi kazi ya Mungu atatumwa kuzimu; nchi yoyote inayoasi kazi ya Mungu itaangamizwa; taifa lolote linaloinuka kupinga kazi ya Mungu litafutwa kutoka dunia hii, na litakoma kuwepo" (Neno Laonekana katika Mwili).
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumanne, 17 Aprili 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Mbili

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Mbili

Watu wanapokusanyika pamoja na Mimi, moyo Wangu unajawa na furaha. Mara moja, Ninatoa baraka zilizo mkononi Mwangu miongoni mwa binadamu, ili watu waweze kukusanyika kwa mkutano na Mimi, na kutokuwa maadui wanaoniasi lakini marafiki wanaotangamana na Mimi.