Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi ya Kristo wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi ya Kristo wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 30 Desemba 2017
Kuonekana kwa Mungu Kumeleta Enzi Mpya
Desemba 30, 2017mapenzi-ya-Mungu, Matamshi ya Kristo wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mwenyezi-Mungu, Neno-la-Mungu, VITABUNo comments
Mwenyezi Mungu alisema , Mpango wa Mungu wa miaka elfu sita ya usimamizi unaelekea kikomo, na lango la ufalme limefunguliwa kwa wale ambao wanatafuta kuonekana kwa Mungu. Ndugu wapendwa, mnasubiri nini? Mnatafuta nini? Mnausubiri kuonekana kwa Mungu? Mnazitafuta nyayo za Mungu? Kuonekana kwa Mungu kunatamaniwa sana!