Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 5 Oktoba 2019

Kwaya | “Wimbo wa Ufalme: Ufalme Washuka Duniani” Onyesho la Awali: Dansi ya kugongagonga mguu chini

Kwaya | “Wimbo wa Ufalme: Ufalme Washuka Duniani” Onyesho la Awali: Dansi ya kugongagonga mguu chini

Dansi ya kustaajabisha ya kugongagonga miguu chini ya kukaribisha ufalme! Enzi mpya iadhimishwayo na wote hatimaye imefika! Uigizaji mkubwa wa waimbaji wa Kikristo, “Wimbo wa Ufalme: Ufalme Washuka Duniani,” waja hivi karibuni!
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumamosi, 8 Desemba 2018

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hekima ya Mungu

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

I
Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu, lazima tutafute mapenzi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake. Kwani palipo na maneno mapya ya Mungu, pana sauti ya Mungu, sauti Yake; palipo na nyayo za Mungu, pana matendo ya Mungu, matendo ya Mungu. Palipo na maonyesho ya Mungu, pana sura, sura ya Mungu, na palipo na sura ya Mungu, pana ukweli, njia, na uzima.
II
Mkitafuta nyayo za Mungu, mlipuuza maneno kuwa, "Mungu ni ukweli, njia, na uzima." Hivyo watu wengi wapokeapo ukweli, hawaamini kuwa wamepata nyayo za Mungu na hata kukosa kutambua kuonekana kwa Mungu. Ni kosa kubwa sana! Ni kosa kubwa sana! Kuonekana kwa Mungu hakuwezi kulingana na dhana za mwanadamu, sembuse Mungu kuonekana kwa ombi la mwanadamu. Anapofanya kazi Yake, Anafanya chaguo Lake, Anafanya chaguo Lake, anayo mipango Yake. Zaidi ya hayo, ana malengo Yake mwenyewe, na mbinu Zake, mbinu Zake mwenyewe. Anapofanya kazi Yake, hahitaji kujadili kazi Yake na mtu, kutafuta ushauri wa mtu, sembuse kumuarifu kila mtu. Hii ni tabia ya Mungu, inafaa kujulikana na wote.
III
Ukiwa na hamu kushuhudia kuonekana kwa Mungu, ukiwa tayari kutafuta nyayo za Mungu, basi kwanza lazima uvuke dhana zako mwenyewe. Sharti usimfanyie Mungu madai ya kufanya hili ama lile, wala hufai kumzuia, katika mipaka yako mwenyewe na kumwekea mipaka katika dhana zako mwenyewe. Badala yake, wafaa kuuliza jinsi ya kutafuta nyayo za Mungu, kukubali kuonekana kwa Mungu, na jinsi unavyopaswa kutii kazi mpya ya Mungu; ndilo linapaswa kufanywa na mtu, kufanywa na mwanadamu. Kwa kuwa hakuna, mwingine aliye ukweli, na hakuna aliye na, aliye na ukweli, mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii. Kwa kuwa hakuna aliye ukweli, hakuna aliye ukweli, na hakuna aliye na, aliye na ukweli, mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii. Mwanadamu anapaswa kutafuta, kukubali na kutii.
kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?