Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo injili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo injili. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 20 Januari 2018
2. Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China
China ni nchi ambamo joka kubwa jekundu hukaa, na ni mahali ambapo pamempinga na kumshutumu Mungu zaidi sana katika historia. China ni kama ngome ya mapepo na gereza linalodhibitiwa na shetani, lisilopenyeka na lisiloingilika.
Alhamisi, 21 Desemba 2017
4. Kueneza kwa Injili ya Ufalme wa Mwenyezi Mungu Nchini China
Desemba 21, 2017injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, KUHUSU-SISI, Mwenyezi-Mungu, ujio-wa-pili-wa-YesuNo comments

4. Kueneza kwa Injili ya Ufalme wa Mwenyezi Mungu Nchini China
Mwaka wa 1995, kazi ya kushuhudia kwa injili ya ufalme ya Mwenyezi Mungu ilianza rasmi China Bara. Kwa njia ya shukrani kwa Mungu na kwa upendo ambao ulikuwa wa kweli, tulishuhudia kwa kuoenekana na kazi ya Mwenyezi Mungu kwa ndugu wa kiume na kike katika madhehebu mbalimbali na makundi ya kidini.