Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vitendo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vitendo. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 13 Februari 2018
Umeme wa Mashariki | Kubagua dhidi ya Watu wa Nje ni Uovu Sana!
Februari 13, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VITABU, VitendoNo comments

Xiaojin Kaunti ya Pan’an , Mkoa wa Zhejiang
Katika mwezi wa Februari mwaka wa 2007, kanisa lilipokea mpango wa kazi uitwao "Nyunyizia na Uwape Waumini Wapya ili Kuwasaidia Kukita Mizizi Haraka Iwezekanavyo." Ulisisitiza kuwa "Ni muhimu kuwatumia wale wote wanaofaa na walio na tajriba katika kuwanyunyizia waumini wapya ili kukamilisha kazi hii.