Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ukombozi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ukombozi. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 18 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Tano

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Tano

Kwa sababu ya kanuni za maneno Yangu, kwa sababu ya utaratibu wa kazi Yangu, watu hunikana; hili ndilo kusudi Langu la kuzungumza kwa muda mrefu (imezungumzwa kuhusu wazao wote wa joka kubwa jekundu).

Jumatano, 4 Julai 2018

Swahili Christian Video 2018 | "Ni Vizuri Sana Kutupa Mbali Pingu za Hadhi" | Wokovu wa Mungu

Swahili Christian Video 2018 | "Ni Vizuri Sana Kutupa Mbali Pingu za Hadhi" | Wokovu wa Mungu

Baada ya Liang Zhi kumwamini Mungu, bila kukoma alitafuta kwa shauku, na kujitosa katika kutimiza wajibu wake. Baada ya miaka kadhaa, alichaguliwa kama kiongozi wa kanisa. Wakati alipokuwa akitekeleza wajibu wake kama kiongozi wa kanisa, aligundua kwamba baadhi ya ndugu walikuwa na uwezo zaidi kumliko, ambayo ilimfanya asiwe na furaha kwa kiasi kwamba alikuwa na wivu kwao. Ili kuokoa uso na kulinda hali yake, alishindana nao kwa siri ili kuona ni nani aliyekuwa bora, na alikimbilia umaarufu na hadhi. Umaarufu na hadhi vilionekana kama pingu zisizoonekana zilizomfunga sana, kumnyima uhuru, kumsababisha afanye mambo kinyume na ukweli na kupinga Mungu. Kwa sababu kutekeleza wajibu wake kulikuwa tu kwa ajili ya umaarufu na hadhi, na si kwa kufuatilia ukweli, matokeo yake ni kwamba alipoteza kazi ya Roho Mtakatifu. Hakuweza kufanya kazi ya vitendo, na aliondolewa kwenye kazi zake za uongozi na kubadilishwa. Aliteseka sana kama matokeo, na akaja mbele ya Mungu kutafakari juu yake mwenyewe. Baada ya kupitia hukumu na kuadibu kwa maneno ya Mungu, alikuja kutambua kwamba ufuatiliaji wa umaarufu na hadhi uliletwa kabisa na tabia yake ya kishetani ya kiburi na majivuno, na kuabudu mamlaka na ushawishi na hadhi. Alifahamu kuwa kiini cha kutafuta umaarufu na hadhi kilikuwa kufuata njia ya mpinga Kristo. Kama hangetubu na kurekebisha njia zake kote, matokeo ya mwisho yalikuwa kwamba alikusudiwa kuzama ndani ya utupu. Wakati huo huo aliona wazi kwamba imani katika Mungu ilihitaji kutembea kwenye njia ya ufuatiliaji wa ukweli na kutekeleza wajibu wake kwa kujitolea. Baada ya hapo, katika kutekeleza wajibu wake aliambatanisha umuhimu katika ufuatiliaji wa ukweli na kutenda ukweli. Kila wakati ambapo tabia potovu ya kukimbilia umaarufu na hadhi ilitokea, hapo basi alimwomba Mungu akitafuta ukweli na, akikubali hukumu na adabu ya maneno ya Mungu, kulingana na neno la Mungu alifanya mazoezi ya kuutelekeza mwili, na kuweka kwa mpangilio nia yake kutimiza wajibu wake mwenyewe. Bila kujali kama alikuwa na hadhi au la, aliweza kabisa kutekeleza majukumu yake. Pole pole alitupa mbali pingu za hadhi ambazo zilimfunga na hakufuatilia tena umaarufu na hadhi, baada ya kutembea kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu ya kutafuta ukweli na kupokea wokovu.

Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, wafuasi wa Kristo