Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumanne, 3 Julai 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Bila Ya Wokovu wa Mungu, Singeweza Kuwa Hapa Leo

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Bila Ya Wokovu wa Mungu, Singeweza Kuwa Hapa Leo

Zhang Jin, Beijing
Agosti 16, 2012
Mimi ni dada mzee mwenye miguu miwili yenye kasoro. Hata wakati hali ya hewa ni nzuri nje, nina shida kutembea, lakini wakati maji ya mafuriko yalipokuwa karibu kunimeza, Mungu aliniruhusu kutoroka hatari kimiujiza.
Ilikuwa Julai 21, mwaka wa 2012. Siku hiyo mvua ya mfoko ilinyesha, na nilikuwa tu nje nikitimiza wajibu wangu. Baada ya saa 10:00 mchana, mvua ilikuwa bado haijaisha. Wakati mkutano wetu ulipomalizika, niliikabili mvua bila woga na kupanda basi kwelekea nyumbani. Wakati nikisafiri, mvua ikawa nzito zaidi na zaidi, na wakati basi lilipofika kituo cha basi kabla ya changu, dereva alituambia sisi sote abiria, "Basi hili haliwezi kwendelea zaidi; barabara imeporomoka huko mbele." Hakukuwa na kitu ambacho kingeweza kufanywa, kwa hivyo sikukuwa na chaguo ila kushuka kutoka kwenye basi na kutembea njia yote. Bila kudhubutu kumwacha Mungu, nilikuwa ninaendelea kuomba moyoni mwangu. Kutokana na nguvu ya gharika, maji yalikuwa yamemeza barabara kabisa. Nilijaribu kuendelea kwa kushikilia nguzo za saruji zilizosimama kwa safu kando ya barabara, nikisonga mbele hatua kwa hatua. Wakati huo, nikasikia mtu akipiga ukelele nyuma yangu, "Acha kusonga mbele! Haraka; geuka na kurudi! Huwezi kupita; maji hayo yana uketo na mkondo una kasi sana. Ukikusomba, sitaweza kukuokoa!" Wakati huo, hata hivyo, singesonga mbele wala kurudi nyuma, kwa sababu maji yalikuwa tayari yamefika kifuani mwangu. Sikudhubutu kutembea zaidi, hivyo yote niliyoweza kufanya ni kumwomba Mungu na kumsihi Yeye afungue njia yangu kupitia: "Mungu! Umeyaruhusu mazingira haya kunifika, na ikiwa nitaishi au kufa iko mikononi Mwako sasa. Kama kiwango cha maji kingeshuka kwa nusu futi tu, ningeendelea kutembea mbele. Mungu, fanya Unavyotaka; Niko tayari kuaminisha maisha yangu Kwako!" Baada ya kufanya sala hii, nilijihisi mnyamavu na mtulivu. Nilikumbuka mojawapo ya maneno ya Mungu: "Mbingu na ardhi na vitu vyote vimeasisiwa na kukamilishwa na maneno ya kinywa Changu na na Mimi chochote kinaweza kufanikishwa" (Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni). Maneno ya Mungu yalinipa imani na ujasiri. Kwa kuwa mbingu na ardhi na vitu vyote viko mikononi mwa Mungu, nilijua kwamba bila kujali jinsi gharika hiyo ilivyokuwa katili, haingeepuka mpango wa Mungu. Hakuna yeyote ambaye angetegemewa tena; mwanangu wa kiume, binti yangu … hakuna yeyote ambaye angeweza kumtunza mwenzake. Niliamini kuwa mradi nilimtegemea Mungu, hakukuwa na shida ambayo singeweza kuipita. Wakati ule ule, muujiza ukafanyika. Mkondo ukapungua zaidi na zaidi mpaka haukuwa tena mkali kama ilivyokuwa wakati mfupi awali, na nguzo za saruji zilizosimama kwa safu kando ya barabara zimefichuliwa hatua kwa hatua. Kwa hakika, kiwango cha maji kilishuka kwa nusu futi kutoka kiwango cha kifua changu. Na hivyo tu, niliondoka mahali hapo, hatua kwa hatua, chini ya uongozi wa Mungu. Isingekuwa kwa sababu ya huruma na ulinzi wa Mungu, sijui ambako gharika ingenipeleka. Kutoka kwa kina cha moyo wangu, nilionyesha shukrani yangu na sifa, nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa fursa ya pili katika maisha.
Baadaye, nikasikia maelezo ya mtoto wangu kuhusu mvua hiyo: Siku hiyo, baada ya kurudi nyumbani kutoka kutimiza wajibu wake, alikwenda msalani kwanza. Mara tu alipotoka chooni na kurudi kwenye chumba chake alisikia sauti kubwa nje. Alipotoka nje kwenda kuangalia, aliona kwamba jengo zima la choo lilikuwa limeanguka kabisa chini ya maji. Isingekuwa kwa ulinzi wa Mungu, angekufa. Ilikuwa hasa kama Mungu alivyosema katika mojawapo ya maneno Yake: "vitu vyote, vilivyo hai au vilivyokufa, vitahamishwa, vitabadilika, vitafanywa vipya, na kutoweka kulingana na mawazo ya Mungu" ("Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu" katika Neno Laonekana katika Mwili). Msisimko wa kuzidi kiasi niliouhisi ndani ya moyo wangu hakika hauwezi kuelezwa kwa maneno.
Kupitia matukio haya mawili, imani yangu imekuwa imara hata zaidi. Siku hiyo, Mungu alikuwa ameniruhusu kuokoka maafa hasa kuniruhusu mimi kutoa ushahidi kwa ajili Yake. Siwezi kupuuza dhamiri yangu. Ninapoangalia nyuma juu ya jinsi nilivyokuwa na ubinafsi, ukatili, na hali ya kujidai nilivyokuwa awali kwa kawaida nilipokuwa nikitimiza wajibu wangu, ninatambua kuwa sikuhisi kamwe busara ya Mungu ya umuhimu au kushiriki mawazo ya Mungu. Kuanzia sasa kwendelea, napenda kutubu na kubadilika. Nitatumia uzoefu wangu binafsi kuwaleta watu zaidi mbele ya Mungu, na kufanya wajibu wangu katika kazi ya kueneza injili.
kutoka kwa Vita Baina ya Haki na Uovu

Jumatatu, 2 Julai 2018

Swahili Worship Song "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu" | Seeing the Love of God

Swahili Worship Song "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu" | Seeing the Love of God

Wakati hamumwelewi Mungu na hamjui asili Yake, mioyo yenu haiwezi kamwe kufunguka, kufunguka kwa Mungu. Mara utakapomwelewa Mungu wako, utaelewa kile kilicho moyoni Mwake, na kufurahia kile kilicho ndani Yake kwa imani na usikivu wako wote. Unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu, kidogo kidogo, siku baada ya siku, unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu, moyo wako utakuwa wazi Kwake. Moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli, moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli, utaona madharau, utaiona aibu ya maombi yako ya kupita kiasi na yenye ubinafsi. Moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli, moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli, utaona dunia isiyo na mwisho moyoni mwa Mungu, na kuwa katika ulimwengu wa maajabu yasiyosimuliwa. Katika ulimwengu huu hakuna uongo, hakuna udanganyifu, hakuna giza na hakuna uovu. Kuna ukweli na uaminifu tu; haki na ukarimu pekee. Yeye ni upendo, Yeye anajali, ana huruma isiyo na mwisho. Maishani mwako, unahisi furaha, Unapoufungua moyo wako kwa Mungu. Hekima na nguvu Zake vinajaza ulimwengu huu, na vile vile mamlaka na upendo Wake. Unaweza kuona kile Mungu alicho na Alicho nacho, kinachomletea furaha, kinachomletea matatizo, kinachomletea huzuni na hasira, vyote viko wazi kwa kila mmoja kuona, unapoufungua moyo wako kwa Mungu na kumwalika aingie ndani.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Soma Zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo-za-injili,

Jumapili, 1 Julai 2018

Swahili Gospel Full Movie "Fichua Siri Kuhusu Biblia" | Kufichua Hadithi ya Kweli ya Biblia

Swahili Gospel Full Movie "Fichua Siri Kuhusu Biblia" | Kufichua Hadithi ya Kweli ya Biblia

Feng Jiahui na wazazi wake waliamini katika Bwana tangu alipokuwa mdogo. Alipokuwa na umri wa miaka 18 aliingia katika shule ya seminari, na katika miaka yake ya 30 akawa mhubiri katika kanisa la nyumba huko Shanxi, Uchina. Kwa miaka mingi, Feng Jiahui alidumisha imani madhubuti ya kuwa Biblia ilitiwa msukumo na Mungu, na kwamba lazima tuamini katika Mungu kwa mujibu wa Biblia. Aliamini kuwa hakukuwa na maneno yaliyonenwa na Mungu nje ya Biblia, na kwamba kuondoka kutoka kwa Biblia kutakuwa uzushi. Biblia ilikuwa imepata nafasi takatifu moyoni mwake, mahali pa mamlaka ya juu na isiyoweza kushindwa. Hata hivyo, katika kipindi cha miaka michache iliyopita, kanisa lake lilianza kuwa tupu siku baada ya siku, na Feng Jiahui na wafanyakazi wenzake walianza kuhisi giza likiingia ndani ya roho zao, na hawakuweza kuhisi uwepo wa Bwana miongoni mwao.... Aliwaalika wahubiri kutoka katika makanisa mengine ili kusaidia kurejesha kanisa, lakini bila mafanikio …
Wakati mmoja, Ndugu Yuan, mfanyakazi mwenzake Feng Jiahui alimwalika shahidi kutoka kwa Kanisa la Mwenyezi Mungu aje kanisani. Shahidi alipokuwa akifanya ushirika juu ya ukweli kuhusu Biblia, kila kitu alichosema kilikuwa cha utendaji, wazi sana, na waumini waliona kuwa ya faida sana kwao. Hata hivyo, Feng Jiahui aliendelea kushikilia Biblia, akisisitiza kwa uthabiti kwamba imani katika Mungu lazima iwe na msingi katika Biblia, na kuondoka kwa Biblia kulikuwa uzushi. Baadaye, baada ya kuwa na mjadala mkubwa, Feng Jiahui hatimaye alielewa... undani wa Biblia na kiini cha kweli cha Biblia: Biblia ni kumbukumbu tu ya hatua mbili za kwanza za kazi ya Mungu, na Biblia haiwezi kumwakilisha Mungu, sembuse kufanya kazi ya Mungu ya wokovu kwa ajili Yake. Mungu pekee ndiye chanzo cha uzima kwa mwanadamu, na Mungu pekee ndiye anaweza kufanya kazi ya kumwokoa mwanadamu. Kwa hivyo, sisi ambao tunamwamini Mungu lazima tufuate nyayo za Mungu, na wakati huo tu ndiyo tutaweza kufikia njia ya uzima wa milele. Hatimaye, Feng Jiahui aliweza kwenda zaidi ya Biblia, kukubali kazi ya Mungu ya siku zile za mwisho, na kuwaongoza waumini katika kanisa lake kurudi kusimama mbele ya Mwenyezi Mungu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Filamu za Injili  

Jumamosi, 30 Juni 2018

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"

Mwenyezi Mungu alisema, "Ukuu na nguvu ya uhai wa Mungu hauwezi kueleweka na kiumbe chochote. Hii ilikuwa hivyo awali, iko hivyo wakati huu, na itakuwa hivyo wakati ujao. Siri ya pili Nitakayotoa ni hii: chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo. Hata uwe kiumbe hai cha aina gani, huwezi kwenda kinyume na njia ya maisha ambayo Mungu ameweka. Katika hali yoyote, kile Napenda ni kuwa mwanadamu aelewe kwamba bila huduma, utunzaji, na utoaji wa Mungu, mwanadamu hawezi kupokea yote aliyokusudiwa kupokea, haijalishi juhudi au mapambano yake. Bila ruzuku ya uhai kutoka kwa Mungu, mwanadamu hupoteza maana ya thamani katika maisha na kupoteza madhumuni ya kusudi katika maisha."
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Ijumaa, 29 Juni 2018

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.
Filamu hii ni masimulizi ya uzoefu wa kweli wa mateso katika mikono ya Chama Cha Kikomunisti cha China yaliyopitiwa na Chen Wenzhong, Mkristo wa Kichina. Chen Wenzhong alikuwa na mafanikio katika kazi yake na alikuwa na familia nzuri na yenye furaha, lakini kwa sababu alimwamini Mungu na kutekeleza wajibu wake, akawa mtu aliyetakiwa na CCP. Alilazimika kuondoka nyumbani na alikuwa mkimbizi kwa zaidi ya miaka kumi. Ili kupata habari za mahali alikokuwa, polisi wa CCP daima waliifuatia, kuitishia, na kuiogofya familia yake, na hata hawangemhurumia mwanawe mdogo wa kiume, Xiaoyu. Hatimaye, walimlazimisha Xiaoyu kutenda kitendo ambacho hangekiepuka …
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, sinema za Kikristo

Alhamisi, 28 Juni 2018

Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"

Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"

Mwenyezi Mungu alisema, "Wakati nuru ya Mashariki inapong’aa polepole tu ndipo giza kote duniani litaanza kugeuka na kuwa nuru, na hapo tu ndipo mwanadamu atatambua kwamba Nilishatoka Israeli zamani na Nimeanza kuchomoza upya Mashariki. Niliwahi kushuka Israeli na baadaye Niliondoka kutoka huko, Siwezi tena kuzaliwa Israeli kwa mara nyingine, kwa kuwa kazi Yangu inauongoza ulimwengu mzima na, zaidi ya hilo, umeme unamulika moja kwa moja kutoka Mashariki kwenda Magharibi. Hii ndiyo sababu Nimeshuka Mashariki na kuwaletea watu wa Mashariki Kanaani. Ningependa kuwaleta watu kutoka dunia nzima waje katika nchi ya Kanaani, na kwa hiyo Naendelea kutoa maneno Yangu katika nchi ya Kanaani ili kuudhibiti ulimwengu mzima. Kwa wakati huu, hakuna nuru katika dunia nzima isipokuwa katika Kanaani, na watu wote wamehatarishwa na njaa na baridi. Niliipa Israeli utukufu Wangu kisha Nikauchukua na baadaye Nikawaleta Waisraeli Mashariki, na vilevile ubinadamu wote Mashariki. Nimewaleta wote kwenye nuru ili waweze kuungana tena nayo, na kushirikiana na nuru, na wasilazimike kuitafuta tena."
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Jumatano, 27 Juni 2018

Gospel Video Swahili (2018) | "Nuru ya Mapambazuko"

Gospel Video Swahili (2018) | "Nuru ya Mapambazuko"

Kama mtoto, Yangwang aliwafuata wazazi wake katika imani yao kwa Bwana, na kama mtu mzima alihudumia Bwana kanisani. Mnamo 2013, kanisa lake lilijiunga na Baraza la Makanisa Ulimwenguni ambalo hutetea uunganishwaji wa kanisa kote ulimwenguni na wingi wa dini. Akisadiki kwamba kusisitiza kwa wachungaji na baraza la wazee wake katika kujiunga na Baraza kulikuwa kuondoka kwa njia ya Bwana na hakuwiani na moyo wa Bwana, hatimaye aliliacha dhehebu lake na kuanza kulitafuta kanisa lililo na kazi ya Roho Mtakatifu. Lakini, baada ya kuyatembelea makanisa mbalimbali, aligundua kwamba madhehebu yote yalikuwa na ukiwa, na kwamba hakukuwa na nuru katika mahubiri ya wachungaji na mabaraza yao ya wazee. Hakuweza kupata utoaji wa uzima, na roho yake ilikuwa ikinyauka na kugeuka kuwa giza. Kwa maumivu yake, mara nyingi angemuita Bwana, akimwomba Bwana arudiharaka. … Siku moja, alienda mtandaoni kutafutataarifa kuhusu kurudi kwa Bwana, pale alipoiona video ambayo maneno ya Mwenyezi Mungu yalisomwa. Maneno ya Mwenyezi Mungu yaliishtua nafsi yake. Alihisi yalikuwa na mamlaka na nguvu na yalionekana kama sauti ya Mungu. Ili kuamua kama Mwenyezi Mungu ndiye Bwana Yesu aliyerudi, alianza kutafuta na kuchunguza kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Kupitia kwa kulisoma neno la Mwenyezi Mungu na kusikia ushirika wa watoaji ushuhuda, aliutatua mkanganyo wake. Aligundua kwamba neno lote la Mwenyezi Mungu ni la ukweli, kwamba kwa hakika ni sauti ya Mungu, na kwamba Mwenyezi Mungu ndiye Bwana Yesu ambaye kurudi kwake alikuwa akisubiri kwa miaka mingi akiutamani. Kwa kuwa, amelisoma neno la Mungu kila siku, hivyo basi kuilisha nafsi yake yenye kiu, na kupokea kwa kweli maji ya uzima yanayotiririka kutoka kwenye kiti cha enzi.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Maisha ya Kanisa

Jumanne, 26 Juni 2018

New Swahili Gospel Choir Full Album Documentary 2018 | "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu"

New Swahili Gospel Choir Full Album Documentary 2018 | "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu"

Throughout the vast universe, all celestial bodies move precisely within their own orbits. Under the heavens, mountains, rivers, and lakes all have their boundaries, and all creatures live and reproduce throughout the four seasons in accordance with the laws of life…. This is all so exquisitely designed—is there a Mighty One ruling and arranging all this? Since coming into this world crying we have begun playing different roles in life. We move from birth to old age to illness to death, we go between joy and sorrow…. Where does mankind really come from, and where will we really go? Who is ruling our fates? From ancient times to modern days, great nations have risen up, dynasties have come and gone, and countries and peoples have flourished and perished in the tides of history…. Just like the laws of nature, the laws of humanity's development contain infinite mysteries. Would you like to know the answers to them? The documentary The One Who Holds Sovereignty Over Everything will guide you to get to the root of this, to unveil all of these mysteries!
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Jumamosi, 23 Juni 2018

Upendo wa Mungu na wokovu | "Kutanafusi kwa Mwenye Uweza" Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho

Upendo wa Mungu na wokovu | "Kutanafusi kwa Mwenye Uweza" Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho

Mwenyezi Mungu alisema, "Mwanadamu, ambaye aliacha kupokea uzima wake kutoka kwa Mwenye Uweza, hajui ni kwa nini anaishi, na bado anaogopa kifo. Hukuna usaidizi, wala msaada, lakini mwanadamu bado anasita kufumba macho yake, akiyakabili yote bila woga, kuishi katika maisha yasiyokuwa na maana katika ulimwengu ndani ya miili isiyokuwa na utambuzi wa roho. Unaishi hivyo, pasipo tumaini; anaishi hivyo, pasipo kuwa na malengo. Kuna Mmoja tu aliye Mtakatifu katika hadithi hii ambaye atakuja kuwaokoa wale wanaoomboleza kwa kuumia na wanasubiri kwa shauku kubwa kuja Kwake. Imani hii haiwezi kutambulika kufikia sasa kwa watu ambao hawana utambuzi. Hata hivyo, watu watu bado wanaitaka sana. Mwenye Uweza ana rehema kwa watu hawa wanaoteseka sana. Wakati huo huo, Amechoshwa na watu hawa wasio na utambuzi, maana lazima Asubiri sana jibu kutoka kwa wanadamu. Anatamani kuchunguza, kuuchunguza moyo na roho yako. Anataka kukuletea chakula na maji na kukuamsha, ili usipate kiu na kupata njaa tena. Unapokuwa umechoka na unapoanza kuona huzuni katika ulimwengu huu, usifadhaike, usilie. Mwenyezi Mungu, Mlinzi, atakaribisha kuwasili kwako wakati wowote."
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Ijumaa, 22 Juni 2018

Latest Swahili Christian Video "Nuru ya Kweli Yaonekana" | The Good News From God

Latest Swahili Christian Video "Nuru ya Kweli Yaonekana" | The Good News From God

Gangqiang ni Mkristo. Aliona namna upendo wa Bwana na huruma Yake kwa binadamu vilivyo vikubwa, na akaamua mara nyingi kwamba angempenda Bwana, kumridhisha Bwana, kutekeleza neno la Bwana, na kuwa na mwenendo wake binafsi kama mtu anayesifiwa na Bwana. Lakini alipotoa athari ya kimatendo kwa neno la Bwana, aligundua kwamba kwake yeye mwenyewe kulikuwa na mambo mengi potovu na ya uasi-ubinafsi, kiburi, udanganifu, na ulaghai na kadhalika. Tabia hizi potovu zilikuwa zinamrudisha nyuma, na hakuwa na nguvu kamwe za kuyatekeleza maneno ya Bwana. Kwa sababu hii, alikuwa na mfadhaiko kabisa, na mara nyingi alimwita Bwana kwa usadizi. Gangqiang baadaye alienda Marekani kufanya kazi na huko akafahamiana na Dada Zhao wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. Kupitia kwa mawasiliano ya Dada Zhao na kushuhudia kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, na kwa kuyasoma baadhi ya maneno ya Mwenyezi Mungu, Gangqiang alipata kujua kwamba Bwana Yesu alikuwa tayari Amerudi, na kwamba Alikuwa ametekeleza kazi ya kuhukumu na kutakasa binadamu, Akimwelekeza binadamu katika njia ya kuitatua asili yake yenye dhambi. Moyo wa Gangqiang ulikuwa umepata nuru, na alikubali kwa furaha kazi ya Mungu ya siku za mwisho, na akaja mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Kwa kulisoma neno la Mwenyezi Mungu, aliuelewa ukweli fulani, na maisha yake ya huzuni yaliangazwa na maneno ya Mungu …
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kuonekana kwa Mungu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 21 Juni 2018

Swahili Gospel Film "Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari"

Swahili Gospel Film "Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari"

Zhong Xin ni mhubiri kutoka katika kanisa moja la nyumbani katika bara China. Amekuwa muumini katika Mungu kwa miaka mingi na kila mara amepitia kukamatwa na mateso ya CCP. Chuki yake ya CCP ni ya kina sana, na ameona wazi kwa muda mrefu sasa kwamba CCP ni utawala wa kishetani ambao unajiweka katika upinzani na Mungu. Kwa miaka ya hivi majuzi, ameona shutuma, kukamatwa na kuteswa kinyama kwa kanisa la Umeme wa Mashariki na serikali ya CCP na dunia ya kidini. Alichoona kuwa cha ajabu, hata hivyo, kilikuwa kwamba Umeme wa Mashariki halikukosa tu kushindwa, lakini kwa kinyume lilikuwa limenawiri zaidi na zaidi, na hivyo Zhong Xin alianza kutafakari tena: Je, hili Umeme wa Mashariki ni dhihirisho la kuonekana na kazi ya Bwana? Aligundua pia kwamba maneno yaliyotumiwa na CCP na dunia ya kidini kulishutumu Umeme wa Mashariki yote yalikuwa uvumi na uongo na kadhalika, hivyo ili kupata ukweli wa mambo, aliwaongoza ndugu zake kuchunguza Umeme wa Mashariki. Kupitia kusikiliza ushirika wa wale waliotoa ushuhuda katika Kanisa la Mwenyezi Mungu, wengi wao walithibitisha kwamba maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu ni ukweli, kwamba maneno haya ni sauti ya Mungu na kwamba Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerudi. Lakini lilikabiliwa na ukandamizaji na utesaji wa kikatili wa Kanisa la Mwenyezi Mungu na serikali ya CCP, na vilevile uasi na shutuma za wazi kutoka kwa wachungaji na wazee wa dunia ya kidni, watu wengine walishangazwa: Kazi ya Mwenyezi Mungu ni njia ya kweli, hivyo ni kwa nini inakumbana na uasi na shutuma za wazi za nguvu za kisiasa na dunia ya dini? Kwa kusoma maneno ya Mwenyezi Mungu, na kwa kusikiliza ushirika wa wale wanaotoa ushuhuda katika Kanisa la Mwenyezi Mungu, ndugu wanaelewa sababu ya msingi ya uasi wa wanadamu kwa Mungu, wanaona wazi kwa nini njia ya kwenda mbinguni ni yenye hatari sana, na wanapata kuwa na utambuzi kuhusu kiini kipinga Mungu, cha kuchukia ukweli cha utawala ya kishetani ya CCP na viongozi wa dunia ya kidini. Watu kama Zhong Xin kwa uamuzi wametupa vifungo na minyororo ya ushawishi wa Shetani, wamekubali kazi ya siku za mwisho ya Mwenyezi Mungu, na kwa kweli wamerejea mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Filamu za Injili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatano, 20 Juni 2018

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (6) - Mungu Humtumiaje Shetani Kufanya Huduma

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (6) - Mungu Humtumiaje Shetani Kufanya Huduma

Mungu anasema, "Katika Mpango Wangu, Shetani amewahi ondoka katika kisigino cha kila hatua, na, kama foili ya hekima Yangu amejaribu siku zote kutafuta njia na namna ya kuvuruga mpango Wangu wa awali. Lakini Ningeweza kukabiliwa na miradi yake ya udanganyifu? Vyote mbinguni na duniani vinanitumikia—njama za udanganyifu za shetani zingeweza kuwa tofauti? Huku ndiko hasa kukutana kwa hekima Yangu, ndiyo hasa yaliyo ya ajabu kuhusu matendo Yangu, na ni kanuni ambayo mpango Wangu mzima wa usimamizi mzima unafanywa" (Neno Laonekana katika Mwili). Kazi ya Mungu ya siku za mwisho inakitumiaje Chama cha Kikomunisti cha China na nguvu zinazompinga Kristo katika dunia ya kidini kufanya huduma ya kuwafanya watu kukamilika kuwa washindi? Kwa nini inasemwa kwamba hekima ya Mungu inatumika kulingana na njama za ujanja za Shetani? Matokeo ya mwisho ya Chama cha Kikomunisti cha China na nguvu za upinga Kristo katika dunia ya kidini ambazo bila kukoma zimeuchukia ukweli, na kumkataa Mungu kwa fujo yatakuwa yapi? Tunakualika utazame video hii fupi.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hekima ya Mungu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumanne, 19 Juni 2018

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (5) - Kwa Nini Mafarisayo Wanampinga Mungu?

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (5) - Kwa Nini Mafarisayo Wanampinga Mungu?

Mafarisayo wa dunia ya kidini wote wana maarifa nyingi ya Maandiko na wamemtumikia Mungu kwa miaka mingi, na bado hawatafuti na kuchunguza kuonekana na kazi ya Mungu mwenye mwili tu, lakini kinyume na hayo, wanahukumu vikali, kushutumu, na kupinga. Hili hakika ni la kushangaza! Hivyo kwa nini Mafarisayo wa dunia ya kidini wanamshutumu na kumpinga Mungu? Mungu anasema, "Wale wanaosoma Biblia kwa makanisa makubwa hukariri Biblia kila siku, lakini hakuna yeyote anayeelewa madhumuni ya kazi ya Mungu. Hakuna hata mmoja anayeweza kumwelewa Mungu; juu ya hayo, hakuna yeyote anayekubaliana na moyo wa Mungu." "Sababu kwamba mwanadamu humpinga Mungu inatoka, kwa upande mmoja, katika tabia potovu ya mwanadamu, na kwa upande mwingine, kutokana na kutomfahamu Mungu na kutoelewa kanuni za kazi ya Mungu na mapenzi Yake kwa mwanadamu. Vipengele hivi viwili vinaunganishwa katika historia ya upinzani wa mwanadamu kwa Mungu" (Neno Laonekana katika Mwili ).
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Siku ya Hukumu,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 18 Juni 2018

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (4) - Kwa Nini Binadamu Humwasi Mungu?

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (4) - Kwa Nini Binadamu Humwasi Mungu?

Miaka elfu mbili iliyopita, Mungu alipopata mwili kama Bwana Yesu na kuja miongoni mwa wanadamu kuwakomboa binadamu Alikataliwa katika enzi ya giza, hatimaye kusulubiwa msalabani na binadamu waovu wenye upotovu. Bwana Yesu alitabiri kwamba Angekuja tena katika siku za mwisho, Akisema: "Kwa kuwa kama vile umeme, umulikavyo toka upande mmoja chini ya mbingu, na kumulika upande mwingine chini ya mbingu; ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu katika siku yake. Lakini kwanza, ni lazima apate mateso mengi, na kukataliwa na kizazi hiki.” (Luka 17:24-25). Kwa nini Bwana Yesu atakapokuja tena katika siku za mwisho “Atakataliwa na kizazi hiki”? Mungu alipoonekana mara mbili katika mwili kufanya kazi Yake kwa nini alikumbwa na uasi na shutuma kali na binadamu wapotovu? Je, unajua sababu katika hili? Video hii fupi itakufichulia jibu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kurudi kwa Yesu mara ya pili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.