Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumamosi, 15 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kuhusu Maisha ya Petro

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kuhusu Maisha ya Petro

Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye?

Ijumaa, 14 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote

Kama washiriki wa jamii ya binadamu na Wakristo wamchao Mungu, ni jukumu na wajibu wa sisi wote kutoa akili na mwili wetu kwa kutimiza agizo la Mungu, kwani uhai wetu wote ulitoka kwa Mungu, na upo kwa sababu ya ukuu wa Mungu. Kama akili zetu na miili yetu si kwa ajili ya agizo la Mungu na si kwa sababu ya kusudi la haki la mwanadamu,

Alhamisi, 13 Septemba 2018

Filamu za Kikristo "Kumbukumbu Chungu" | Majadiliano Kuhusu Wokovu na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni

Filamu za Kikristo "Kumbukumbu Chungu" | Majadiliano Kuhusu Wokovu na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni

Hasa ni mtu aina gani anayeweza kuingia kwenye ufalme wa mbinguni? Baadhi ya watu hufikiria dhambi zetu zinasamehewa pindi tunaposadiki Bwana, kwamba pindi tunapookolewa basi tunaokolewa milele, na kwamba mtu aina hii anaweza kunyakuliwa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni. Kisha kuna wale wanaosadiki kwamba, ingawa dhambi zetu zinasamehewa pindi tunaposadiki Bwana, bado tunafanya dhambi mara kwa mara na hatujafikia utakatifu, na kwa sababu Biblia inasema kwamba wale ambao si watakatifu hawawezi kumwona Bwana, basi ni vipi tunaweza kunyakuliwa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni wakati hatujafikia utakatifu? Hivyo ni nani aliye sahihi na nani asiye sahihi kutokana na mitazamo hii miwili? Tafadhali tazama pande zote mbili zikishiriki katika majadiliano makali!
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maandiko ya Biblia

Jumatano, 12 Septemba 2018

Swahili Praise and Worship Song "Ushuhuda wa Maisha" | Overcomers' Testimonies

Swahili Praise and Worship Song "Ushuhuda wa Maisha" | Overcomers' Testimonies

Siku moja huenda nikakamatwa na kuteswa na CCP, kuteseka huku ni kwa ajili ya haki, ambayo najua moyoni mwangu. Maisha yangu yakitoweka mara moja ghafla bin vu, bado nitasema kwa fahari kwamba nimemkubali Kristo wa siku za mwisho. Ikiwa siwezi kuona tukio kuu la ukuaji wa injili ya ufalme, bado nitatoa matarajio mazuri zaidi. Ikiwa siwezi kuiona siku ambayo ufalme unafanikishwa, lakini naweza kumwaibisha Shetani leo, basi moyo wangu utajawa na furaha na amani. Maneno ya Mungu yanaenea kote duniani, mwanga umeonekana miongoni mwa binadamu. Ufalme wa Kristo unainuka na unaanzishwa ndani ya dhiki. Giza liko karibu kupita, alfajiri ya haki imewadia. Wakati na uhalisi umemtolea Mungu ushuhuda.
Nikiwa mfia dini, na nisiweze tena kumtolea Mungu ushuhuda, injili ya ufalme bado itaenezwa kama moto wa nyikani na waumini wasiohesabika. Ingawa sijui naweza kuitembea njia hii yenye mabonde kwa umbali gani, bado nitautoa moyo wangu unaompenda Mungu. Nikiishuhudia kazi Yake ya siku za mwisho, nikitenda mapenzi Yake duniani, ni furaha yetu kujitoa wenyewe kueneza ukweli. Bila kutatizwa na dhiki, kama dhahabu safi iliyotengeneza katika tanuu, kutoka kwa ushawishi wa Shetani kunaibuka kikundi cha askari washindi. Maneno ya Mungu yanaenea kote duniani, mwanga umeonekana miongoni mwa binadamu. Ufalme wa Kristo unainuka na unaanzishwa ndani ya dhiki. Giza liko karibu kupita, alfajiri ya haki imewadia. Wakati na uhalisi umemtolea Mungu ushuhuda.
Maneno ya Mungu yanaenea kote duniani, mwanga umeonekana miongoni mwa binadamu. Ufalme wa Kristo unainuka na unaanzishwa ndani ya dhiki. Giza liko karibu kupita, alfajiri ya haki imewadia. Wakati na uhalisi umemtolea Mungu ushuhuda.
Maneno ya Mungu yanaenea kote duniani, mwanga umeonekana miongoni mwa binadamu. Ufalme wa Kristo unainuka na unaanzishwa ndani ya dhiki. Giza liko karibu kupita, alfajiri ya haki imewadia. Wakati na uhalisi umemtolea Mungu ushuhuda. Wakati na uhalisi umemtolea Mungu ushuhuda.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, wimbo wa ibada

Jumanne, 11 Septemba 2018

Wimbo za Injili "Ni Muumba Pekee Anayemhurumia Binadamu Huyu" | The Love of God Is the Truest Love

Wimbo za Injili "Ni Muumba Pekee Anayemhurumia Binadamu Huyu" | The Love of God Is the Truest Love

Muumba yuko miongoni mwa binadamu siku zote, kwamba siku zote Anazungumza na binadamu na uumbaji mzima, na kwamba Anatekeleza matendo mapya, kila siku. Hali Yake halisi na tabia vyote vimeelezewa katika mazungumzo Yake na binadamu; fikira na mawazo Yake vyote vinafichuliwa kabisa kwenye matendo Yake haya; Anaandamana na kufuatilia mwanadamu siku zote. Anaongea kimyakimya kwa mwanadamu na uumbaji wote kwa maneno Yake ya kimyakimya: Mimi niko juu ya ulimwengu, na Mimi nimo miongoni mwa uumbaji Wangu. Ninawaangalia; Ninawasubiri; Niko kando yao….
Muumba pekee ndiye aliye na huruma kwa wanadamu hawa. Muumba pekee ndiye anayeonyesha mwanadamu huyu huruma na huba. Muumba pekee ndiye anayeshikilia huba ya kweli, isiyovunjika kwa mwanadamu huyu. Vilevile, Muumba pekee ndiye anayeweza kumpa huruma mwanadamu huyu na kufurahia viumbe vyake vyote. Moyo wake waruka na kuumia kwa kila matendo ya mwanadamu: Ameghadhibishwa, dhikishwa, na kuhuzunishwa juu ya maovu na kupotoka kwa binadamu; Ameshukuru, amefurahia, amekuwa mwenye kusamehe na mwenye kushangilia kutokana na kutubu na kuamini kwa binadamu; kila mojawapo ya fikira na mawazo Yake vyote vipo juu ya na vinazungukia mwanadamu; kile Alicho na anacho vyote vinaonyeshwa kwa uzima au kwa minajili ya mwanadamu; uzima wa hisia Zake vyote vimeingiliana na uwepo wa mwanadamu.
Kwa minajili ya mwanadamu, Anasafiri na kuzungukazunguka; kwa utaratibu Anatoa kila sehemu ya maisha Yake; Anajitolea kila dakika na sekunde ya maisha Yake…. Hajawahi kujua namna ya kuyahurumia maisha Yake, ilhali siku zote Amehurumia na kufurahia mwanadamu ambaye Yeye Mwenyewe aliumba…. Anatoa kila kitu Alichonacho kwa ubinadamu huu…. Yeye anatoa huruma na uvumilivu Wake bila masharti na bila matarajio ya kufidiwa. Anafanya hivi tu ili mwanadamu aweze kuendelea kuwepo mbele ya macho Yake, kupokea toleo Lake la maisha; Anafanya hivi tu ili mwanadamu siku moja aweze kunyenyekea mbele Yake na kutambua kwamba Yeye ni yule anayetosheleza kuwepo kwa binadamu na kuruzuku maisha ya viumbe vyote. Muumba pekee ndiye aliye na huruma kwa wanadamu hawa. Muumba pekee ndiye anayeonyesha mwanadamu huyu huruma na huba. Muumba pekee ndiye anayeshikilia huba ya kweli, isiyovunjika kwa mwanadamu huyu, huba ya kweli, isiyovunjika kwa mwanadamu huyu.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo za injili

Jumatatu, 10 Septemba 2018

Filamu za Kikristo 2018 | "Kumbukumbu Chungu" | Welcoming the Return of the Lord in Judgement

Filamu za Kikristo 2018 | "Kumbukumbu Chungu" | Welcoming the Return of the Lord in Judgement

Fan Guoyi alikuwa mzee wa kanisa la nyumba kule Uchina. Wakati wa zaidi ya miaka ishirini ya huduma, siku zote alimwiga Paulo, na kufanya kazi kwa bidii na akamtumikia Bwana kwa shauku kubwa. Aidha, alisadiki kabisa kwamba katika kufuata imani yake kwa njia hii, alikuwa akitenda mapenzi ya Baba wa mbinguni, na kwamba wakati Bwana angerudi, angenyakuliwa kwa hakika na kuenda kwenye ufalme wa mbinguni. Hata hivyo, wakati wokovu wa Mwenyezi Mungu wa siku za mwisho ulipomjia, alishikilia kwa dhana zake. Alikataa, akapinga, na kushutumu kazi ya Bwana ya siku za mwisho tena na tena…. Baadaye, baada ya kufanya majadiliano kadhaa na wahubiri kutoka kwenye Kanisa la Mwenyezi Mungu, Fan Guoyi hatimaye alizinduliwa kwa ukweli, alielewa kwa kweli maana ya kutekeleza mapenzi ya Baba wa mbinguni, pamoja na jinsi ya kufuata imani yake kwa njia ambayo ingemwezesha kufikia wokovu na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni…. Kila mara anapokumbuka kile alichokuwa zamani, kumbukumbu hizo huchoma moyo wake kama miiba …
Soma zaidi: Umeme wa Mashariki Video.

Jumapili, 9 Septemba 2018

Matamshi ya Roho Mtakatifu | "Inapofikia Mungu, Ufahamu Wako ni Upi?"

Matamshi ya Roho Mtakatifu | "Inapofikia Mungu, Ufahamu Wako ni Upi?"

Mwenyezi Mungu alivyosema, "Huyu Aitwaye Mungu si Roho Mtakatifu pekee, huyo Roho, Roho aliyoongezeka mara saba, Roho anayehusisha yote, bali pia mtu, mtu wa kawaida, mtu wa kipekee wa kawaida. Si wa kiume pekee, bali pia kike. Wako sawa kwamba wote wanazaliwa kwa binadamu, na tofauti kwamba mmoja anachukuliwa katika mimba na Roho Mtakatifu na mwingine Anazaliwa kwa mwanadamu lakini Anatoka kwa Roho moja kwa moja. Wako sawa kwa namna kwamba wote kupata miili kwa Mungu hutenda kazi ya Baba yao, na kutofautiana kwa namna kwamba mmoja Anafanya kazi ya ukombozi na mwingine anafanya kazi ya ushindi. Wote wanamwakilisha Mungu Baba, lakini mmoja ni Bwana wa Ukombozi aliyejaa upendo, ukarimu na huruma, na yule mwingine ni Mungu wa uhaki Aliyejaa hasira na hukumu. Mmoja ni Jemadari Mkuu Anayeanzisha kazi ya ukombozi na mwingine ni Mungu wa uhaki wa kukamilisha kazi ya kutamalaki. Mmoja ni Mwanzo na mwingine Mwisho. Mmoja ni mwili usio na dhambi na mwingine ni mwili unaokamilisha ukombozi, Anaendelea na kazi hiyo na kamwe hana dhambi hata. Wote ni Roho mmoja lakini wanaishi katika miili tofauti na walizaliwa katika sehemu tofauti. Na wametenganishwa na maelfu kadhaa ya miaka. Ilhali kazi Zao ni kijalizo kwa nyingine, hazina mgongano kamwe na zinaweza kuzungumziwa kwa wakati mmoja. Wote ni watu, lakini mmoja ni mtoto wa kiume na mwingine mtoto mchanga wa kike."
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kuonekana kwa Mungu

Jumamosi, 8 Septemba 2018

Maonyesho ya Mungu | "Unapaswa Kujua kuwa Mungu wa Vitendo ni Mungu Mwenyewe"

Maonyesho ya Mungu | "Unapaswa Kujua kuwa Mungu wa Vitendo ni Mungu Mwenyewe"

Mwenyezi Mungu alivyosema, "Kuonekana kwa Mungu katika mwili kunamaanisha kuwa kazi yote na maneno ya Roho wa Mungu yanafanywa katika ubinadamu wake wa kawaida, na kupitia mwili Wake uliopatikana. Kwa maneno mengine, Roho wa Mungu huelekeza kazi Yake ya ubinadamu na hutekeleza kazi Yake ya uungu katika mwili, na katika Mungu kupata mwili unaweza kuona kazi ya Mungu katika ubinadamu na kazi kamili ya uungu; huu ndio umuhimu hasa wa kuonekana kwa Mungu wa vitendo katika mwili. Ukiweza kuliona hili wazi, utaweza kuhusisha sehemu zote za Mungu, na utaacha kuthamini sana kazi Yake ya uungu, na kuwa mwenye kupuuza sana kazi Yake katika ubinadamu, na hautazidi mipaka wala kupita njia za michepuo. Kwa jumla, maana ya Mungu wa vitendo ni kuwa kazi Yake ya ubinadamu na kazi Yake ya uungu, kama inavyoelekezwa na Roho, inaonyeshwa kupitia mwili Wake, ili watu waone kuwa Yeye ni wazi na mwenye kufanana na kiumbe chenye uhai, na ni halisi na wa hakika."
Sikiliza zaidi:  Umeme wa Mashariki video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maneno ya Mungu

Ijumaa, 7 Septemba 2018

Maneno ya Mungu | "Kumwamini Mungu Lazima Kulenge Uhalisi, Si Tamaduni za Kidini" | Can Your Faith Gain the Praise of God?

Maneno ya Mungu | "Kumwamini Mungu Lazima Kulenge Uhalisi, Si Tamaduni za Kidini" | Can Your Faith Gain the Praise of God?

Mwenyezi Mungu alivyosema, "Je, ni desturi ngapi za kidini unazozizingatia? Ni mara ngapi wewe umeasi dhidi ya neno la Mungu na kwenda kwa njia yako mwenyewe? Ni mara ngapi wewe umetia katika vitendo neno la Mungu kwa sababu wewe kwa kweli unajali mizigo Aliyobeba na unatafuta kutimiza mapenzi Yake? Lielewe neno la Mungu na uliweke katika vitendo. Kuwa mwenye maadili katika vitendo na matendo yako; huku si kutii sheria au kufanya hivyo shingo upande kwa ajili ya kujionyesha. Badala yake, haya ni kutenda ukweli na kuishi kulingana na neno la Mungu. Kutenda kama huku pekee ndiko hutosheleza Mungu. Desturi yoyote inayompendeza Mungu si kanuni bali ni kutenda ukweli."
Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maneno ya Mungu

Alhamisi, 6 Septemba 2018

Swahili Christian Sketch "Onyo Kutoka kwa Historia" (Kichekesho)

Swahili Christian Sketch "Onyo Kutoka kwa Historia" (Kichekesho)

Miaka elfu mbili iliyopita, wakati Bwana Yesu alipotokea na kufanya kazi, Mafarisayo walikwamia sheria na kukashifu kazi Yake, wakisema kuwa kazi Yake ilienda zaidi ya Maandiko.Ili kulinda hali zao na maisha yao, walijitahidi kwa nguvu zao zote ili kuwazuia watu kutafuta kazi ya Bwana Yesu, na kujiunga na serikali ya Kirumi kumsulubisha msalabani. Katika siku za mwisho, wakati Bwana Yesu anapoonekana tena katika mwili ili kufanya kazi, viongozi wa ulimwengu wa kidini wanarudia tukio la janga la kihistoria la upinzani wa Mafarisayo kwa Bwana Yesu. Je, wanapingaaje kazi ya Mungu ya siku za mwisho? Kupitia kwa mchungaji anayeigiza kama Mfarisayo katika tukio, mchezo huu unadhihirisha jinsi wachungaji na wazee wa kisasa wanavyoshikilia Biblia ili kumpinga Mungu, na inaonyesha wazi kwamba njia wanayoitembea ni sawa na ile ya Mafarisayo.
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, kumjua Mungu,

Jumatano, 5 Septemba 2018

Maonyesho ya Mungu | "Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu" | Only Those Who Know God Can Be Perfected

Maonyesho ya Mungu | "Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu" | Only Those Who Know God Can Be Perfected

Mwenyezi Mungu anasema, “Katika kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu kuhusu maisha Yake: Matendo Yake, maneno Yake, mwendo Wake na maonyesho Yake. Alipata ufahamu wa kina kwamba Yesu hakuwa kama binadamu wa kawaida. Ingawa mwonekano Wake wa binadamu ulikuwa wa kawaida kabisa, Alijaa upendo, huruma, na ustahimilivu kwa binadamu. Kila kitu alichokifanya au kusema kilikuwa chenye msaada mkubwa kwa wengine, na akiwa kando Yake, Petro aliona na kujifunza mambo ambayo hakuwahi kuyaona wala kuyasikia awali. ... Haijalishi ni vipi Yesu alivyotenda, Petro alizidi kuwa na upendo na heshima isiyokuwa na mipaka Kwake. Kicheko cha Yesu kilimjaza kwa furaha, huzuni Yake ikamtia simanzi, hasira Yake ikamtetemesha,huku huruma Zake, msamaha na ukali vyote vikamfanya kuja kumpenda Yesu kwa kweli, na akaweza kumcha na kumtamani kwa kweli. Bila shaka, Petro alikuja kutambua haya yote kwa utaratibu baada ya kuishi kando yake Yesu kwa miaka michache.” Tazama zaidi: Maneno ya Roho Mtakatifu | "Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu" (Sehemu ya Pili)
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumanne, 4 Septemba 2018

Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (5) - Ni Mahali Gani Ambapo Bwana Ametutayarishia?

Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (5) - Ni Mahali Gani Ambapo Bwana Ametutayarishia?

Miaka elfu mbili iliyopita, Bwana Yesu aliahidi, "Naenda kuwatayarishia mahali. Na nikienda kuwatayarishia mahali, nitarudi tena na kuwapokea kwangu; ili mahali nipo, muweze kuwa pia" (Yohana 14:2-3). Watu wengi wanasadiki kwamba Bwana alirudi mbinguni, hivyo ni yakini kwamba Anatutayarishia mahali sisi kule mbinguni. Je, ufahamu huu unaenda sambamba na maneno ya Bwana? Je, ni mafumbo yapi yanapatikana kwenye ahadi hii?
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kurudi kwa Yesu mara ya pili

Jumatatu, 3 Septemba 2018

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST THE CHURCH OF ALMIGHTY GOD REFUGEES START IN SOUTH KOREA

Executing a secret plan that Bitter Winter revealed one month ago, the CCP brings to Korea relatives of asylum seekers of The Church of Almighty God and organizes false “spontaneous demonstrations” with the help of pro-Chinese anti-cult activists.

On August 4, 2018, Bitter Winter published a secret document by the Chinese Communist Party calling for harassment in South Korea of the asylum seekers of The Church of Almighty God (CAG), a Chinese Christian new religious movement heavily persecuted in China. The CCP called for the recruitment of the relatives of the asylum seekers who still live in China, if necessary through threats and coercion, who would then call for the “return home” of the refugees (who obviously would not return “home” but, once in China, will be arrested and will thus “return” to jail). The plan also sought the cooperation of pro-Chinese activists in South Korea and anti-cultists hostile to the CAG.
Bitter Winter has now learned that the CCP’s plan is being put into execution. On August 27, Ms. O Myung-ok (吴明玉Wu Mingyu), a pro-Chinese and anti-CAG activist, published several reports on some pro-Chinese and/or anti-cult Korean media, including Religion and Truth, releasing fake news claiming that CAG members are false refugees and are abusing the refugee system, and that the belief in Almighty God leads to family disruption. These reports strongly called for the deportation of CAG members back to China.
As these media disclosed, between August 30 and September 4, more than 50 people, including a dozen of family members of CAG refugees who are in Korea, and congregants from five Korean Christian groups active in campaigns against “cults,” will demonstrate against the CAG outside the Jeju court, Jeju Parliament, the CAG community in Onsu, the CAG worship building (i.e. the place where CAG members offer prayers regularly), the Blue House (Cheong Wa Dae, the executive office and official residence of the South Korean head of state, the President of the Republic of Korea), and other places. They held a press conference on August 31 as well. All this information has been confirmed by confidential sources in Korea and by CAG members Bitter Winter interviewed.
On the afternoon of August 30, one CAG member learned from his mother, who currently lives in China, that CCP officers had gone to his family two months ago, asking his relatives to cooperate with them by going to Korea to get him back to China. At a rough estimate, more than 10 relatives of CAG members were requested by the CCP to do the same thing. The CCP especially opened a WeChat account to have frequent discussions with them about this. This member’s mother also told him that his elder sister and her husband were on the way to Jeju with governmental staff members. They were asked to stay in South Korea for as long as possible. His mother insisted, “Things are getting serious. You’d better come back with them, or else we’ll get into big trouble.”
Another Korean CAG member and her husband, who are Korean Chinese, fled to Korea because of the CCP’s persecution in China. On August 29, when she made a phone call to her mother, who lives in China, she was told that her mother and cousin (male) would come to Korea to visit her and that they were waiting for the plane flying to Jeju at the moment. The CAG member told her mother that they live in Seoul and asked her to fly to Seoul directly. But her mother said she couldn’t do that since they had to stay in Jeju for two days and then go to Seoul later as scheduled, and that their hotel rooms in Jeju had already been booked. The CAG member noticed that her mother hesitated over talking and even left to her cousin the conversation when she couldn’t make herself clear. It is important to note that this cousin is working for a governmental television station in China.
On the afternoon of August 30, Ms. O Myung-ok went to the airport to pick up five cameramen (three males and two females) flying from Seoul. As far as we have learned, some 15 Chinese relatives had arrived in Jeju, while Chinese officers are also coming to Korea to direct the campaign on site. According to their agenda, on August 31 and September 1, they will stage demonstrations at the Jeju court and the Parliament building and organize press conferences; they will stage demonstrations at the CAG community in Onsu on September 2, at the Blue House on September 3, and at the CAG worship building on September 4 respectively.
When CAG refugees learned that their family members were coming to Korea, they asked to meet them as soon as possible. So The Church of Almighty God contacted the Korean police on their behalf, asking for help to arrange meetings with their family members. When the police contacted Ms. O Myung-ok, she said she couldn’t let them meet each other until they finish the demonstrations and press conferences.
We have learned from informed Korean sources that Ms. O and the CCP claim that The Church of Almighty God is trying to prevent its members to meet their relatives coming from China to Korea. This is not the case, and in fact, it is Ms. O who is preventing the relatives to meet the CAG members. Obviously, the CCP and the anti-cultists are interested in their propaganda rather than in the welfare of the families.
Nine international NGOs specialized in the defense of religious liberty, including CAP-LC, which has consultative status at the United Nations’ ECOSOC, have signed an appeal (below), dated August 31, to end this ruthless persecution of harmless refugees, strongly condemning the actions of both the CCP and the Korean anti-cultists.




Ms. O Myung-ok
Ms. O Myung-ok


The Appel of the Nine NGOs
Stop the Persecution of Chinese Refugees of The Church of Almighty God in South Korea
Heavily persecuted in China, with many documented cases of torture and extra-judicial killings, hundreds of members of The Church of Almighty God have escaped to South Korea, where they are seeking refugee status. The Chinese Communist Party (CCP) is pursuing them also in Korea. It has coerced or persuaded with threats their relatives to go to Korea and ask that the refugees “return home,” i.e. go back to China where they would not go “home” but to jail, and is staging false “spontaneous demonstrations” with the help of local organizations against the “cults.”
It is a scandal that for the CCP persecuting religious dissidents in China is not enough. They are pursued even in the countries where they have escaped, with the help of misguided “anti-cultists” and pro-Chinese sympathizers.
We ask the Chinese authorities to immediately stop this campaign of hate against harmless refugees, and the Korean authorities to grant asylum to the believers of The Church of Almighty God who, should they return to China, would face arrest, detention, and probable torture.
August 31, 2018

CAP-LC Coordination des Associations et des Particuliers pour la Liberté de Conscience
CESNUR – Center for Studies on New Religions
EIFRF European Inter-Religious Forum for Religious Freedom
FOB – European Federation for Freedom of Belief
FOREF – Forum for Religious Freedom Europe
HRWF – Human Rights Without Frontiers
LIREC – Center for Studies on Freedom of Belief, Religion and Conscience
ORLIR – International Observatory of Religious Liberty of Refugees


Soteria International
From: Bitter winter

Jumapili, 2 Septemba 2018

Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (4) - Je, Ufalme wa Mbinguni uko Mbinguni au Ulimwenguni?

Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (4) - Je, Ufalme wa Mbinguni uko Mbinguni au Ulimwenguni?

Watu wengi walio na imani kwa Bwana wanasadiki kwamba ufalme wa mbinguni uko mbinguni. Je, hivyo ndivyo ilivyo kwa kweli? Sala ya Bwana inasema: "Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe. Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni" (Mathayo 6:9-10). Kitabu cha Ufunuo kinasema, "Falme za dunia zimekuwa falme za Bwana wetu, na za Kristo wake" (Ufunuo 11:15). "Mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni, … maskani ya Mungu yako pamoja na wanadamu" (Ufunuo 21:2-3). Hivyo, ufalme wa mbinguni uko mbinguni au ulimwenguni?
Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Hukumu ya Kristo,