Jumatano, 3 Oktoba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Inapofikia Mungu, Ufahamu Wako ni Upi?
Watu wamemwamini Mungu kwa muda mrefu, ilhali wengi wao hawaelewi maana ya neno “Mungu”. Wanafuata tu bila kufahamu vyema. Hawajui sababu ya ni kwa nini binadamu anafaa kumwamini Mungu ama Mungu ni nini hasa.
Jumatatu, 1 Oktoba 2018
Neno la Mungu | "Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu"
Neno la Mungu | "Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu"
Mwenyezi Mungu alivyosema, "Yeye ambaye Anafanya kazi katika Uungu Anawakilisha Mungu, ilhali wale wanaofanya kazi katika ubinadamu ni wanadamu wanaotumiwa na Mungu. Yaani, Mungu katika mwili ana utofauti halisi na wanadamu wanaotumiwa na Mungu. Mungu mwenye mwili Anaweza kufanya kazi ya Uungu, lakini wanadamu wanaotumiwa na Mungu hawawezi. Mwanzoni mwa kila enzi, Roho wa Mungu anaongea binafsi kuzindua enzi mpya na kuleta mwanadamu kwenye mwanzo mpya. Wakati Yeye Atamaliza mazungumzo Yake, itaashiria kwamba kazi ya Mungu katika Uungu imekamilika. Baada ya hapo, wanadamu wote hufuata mwongozo wa wale hutumiwa na Mungu kuingia katika uzoefu wa maisha. Vile vile, katika hatua hii Mungu huleta mwanadamu katika enzi mpya na Anampa kila mwanadamu mwanzo mpya. Na hivyo, kazi ya Mungu katika mwili inahitimishwa."
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Jumapili, 30 Septemba 2018
Worship and Praise Dance | "Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu" | The Kingdom of Christ Is Paradise for the Honest (Swahili Subtitles)
Worship and Praise Dance | "Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu" | The Kingdom of Christ Is Paradise for the Honest (Swahili Subtitles)
Safi na mwaminifu kama mtoto, asiye na hatia na mchangamfu, aliyejawa na nguvu za ujana,
wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni.
Hakuna uongo, udanganyifu au hadaa, na moyo ulio wazi na mwaminifu, wanaishi na heshima.
Wanaitoa mioyo yao kwa Mungu, Mungu anawaamini, na wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda.
Wale wanaopenda ukweli wote wana mioyo ya uaminifu.
Watu waaminifu hufurahia kutenda ukweli, na kwa kumtii Mungu mioyo yao ina amani.
Wanamcha Mungu, wanaepuka maovu na wanaishi kulingana na maneno ya Mungu.
Wanaishi katika maneno ya Mungu na wamewekwa huru na kuachiliwa.
Wanakubali uchunguzi wa Mungu na kuishi mbele Yake. Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha na mwenye shangwe.
Ndugu, tumemwamini Mungu tangu tulipokuwa wadogo. Je, tuna furaha?
Ndiyo, tuna furaha!
Nina furaha pia!
Ninapompenda Mungu, moyo wangu una utulivu na una furaha,
na ninaishi kwa urahisi ninapotenda kulingana na maneno ya Mungu.
Moyoni mwangu kuna Mungu tu, kuna ukweli tu, maneno ya Mungu yamekuwa maisha yangu.
Nikiishi chini ya uongozi wa maneno ya Mungu kila siku, ninabarikiwa na Mungu na Roho Mtakatifu ananiongoza.
Wanakubali uchunguzi wa Mungu na kuishi mbele Yake. Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha na mwenye shangwe.
Nikiishi chini ya uongozi wa maneno ya Mungu kila siku, ninabarikiwa na Mungu na Roho Mtakatifu ananiongoza.
Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu,
na ni makao yao ya kupendeza.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Jumamosi, 29 Septemba 2018
Swahili Christian Song "Matendo ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" | Praise the Great Power of God
Septemba 29, 2018Kazi-ya-Mungu, Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, VIDEONo comments
Swahili Christian Song "Matendo ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" | Praise the Great Power of God
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu, na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,
kila hatua ya mwanadamu, kila kitu anachosema na kufanya.
Mungu anamjua mwanadamu kama kiganja cha mkono Wake.
Mahali pa siri ni makao ya Mungu, anga ndicho kitanda Mungu akilaliacho.
Nguvu ya Shetani haiwezi kumfikia Mungu, kwani Yeye amejawa na utukufu, haki, na hukumu.
Mungu amekanyaga vitu vyote na miguu Yake, Yeye ananyosha mtazamo Wake juu ya ulimwengu.
Na Mungu ametembea kati ya wanadamu,
ameonja utamu na uchungu, ladha zote za dunia ya mwanadamu;
lakini wanadamu, kamwe hawakumtambua Mungu kweli, wala hawakumwona Mungu alipokuwa akitembea ughaibuni.
Kwa sababu Mungu alikuwa kimya, na hakufanya matendo yasiyo ya kawaida,
hivyo, hakuna aliyemwona kweli.
Vitu haviko vilivyokuwa awali:
Mungu anaenda kufanya vitu ambavyo, katika enzi zote, ulimwengu haujawahi kuona,
Mungu anaenda kunena maneno ambayo, katika enzi zote, wanadamu hawajawahi kusikia,
kwa sababu Yeye anawataka binadamu wote waje kumjua Mungu katika mwili.
kwa sababu Yeye anawataka binadamu wote waje kumjua Mungu katika mwili.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Alhamisi, 27 Septemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Maneno kwa Vijana na Wazee
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Maneno kwa Vijana na Wazee
Nimetekeleza kazi nyingi sana duniani na Nimetembea kati ya wanadamu kwa miaka mingi sana. Ilhali watu kwa nadra sana huwa na ufahamu wa sura Yangu na tabia Yangu, na watu wachache wanaweza kuelezea kikamilifu kazi Ninayofanya.
Jumatano, 26 Septemba 2018
Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?
Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?
Mwenyezi Mungu alivyosema, "Kwenye Enzi ya Sheria, Yehova Aliweza kuweka wazi sheria nyingi kwa Musa kupitisha kwa wana wa Israeli waliomfuata kutoka Misri. … Yehova Alianzisha sheria Zake na taratibu ili huku Akiyaongoza maisha yao, watu wangeweza kumsikiliza na kuheshimu neno Lake na wala si kuasi neno Lake. Alitumia sheria hizi kuweza kudhibiti kizazi kipya cha binadamu kilichozaliwa, kuweka msingi wa kazi Yake ambayo ingefuata. Na kwa hivyo, sababu ya kazi ambayo Yehova Alifanya, enzi ya kwanza iliitwa Enzi ya Sheria."
Jumanne, 25 Septemba 2018
Matamshi ya Roho Mtakatifu | "Mazungumzo Mafupi Kuhusu 'Ufalme wa Milenia Umefika'"
Septemba 25, 2018Kazi-ya-Mungu, Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mungu, VIDEONo comments
Matamshi ya Roho Mtakatifu | "Mazungumzo Mafupi Kuhusu 'Ufalme wa Milenia Umefika'"
Mwenyezi Mungu alivyosema, "Wakati wa Enzi ya Ufalme wa Milenia, watu tayari watakuwa wamefanywa wakamilifu, na tabia mbovu ndani yao zitakuwa zimetakaswa. Wakati huo, maneno yasemwayo na Mungu yatawaongoza wanadamu hatua kwa hatua, na kufichua siri za kazi ya Mungu tangu uumbaji hadi leo, na maneno Yake yatawaambia watu kuhusu matendo ya Mungu katika kila enzi na kila siku, jinsi Anavyowaongoza watu ndani, kazi Aifanyayo katika ufalme wa kiroho, na yatawaambia watu kuhusu mienendo ya ufalme wa kiroho. Hapo tu ndipo itakuwa Enzi ya kikweli ya Neno; kwa sasa ni mfano tu."
Jumatatu, 24 Septemba 2018
Neno la Mungu "Jinsi ya Kuujua Uhalisi"
Neno la Mungu "Jinsi ya Kuujua Uhalisi"
Mwenyezi Mungu alivyosema, "Mungu ni Mungu wa uhalisi: kazi Zake zote ni halisi, maneno yote Anayoyanena ni halisi, na ukweli wote Anaouonyesha ni halisi. Kila kisicho maneno Yake ni kitupu, kisichokuwepo, na kisicho timamu. Leo, Roho Mtakatifu yupo kwa ajili ya kuwaongoza watu katika maneno ya Mungu. Ikiwa watu wanatafuta kuingia katika uhalisi, basi ni lazima wauandame uhalisi, na waujue uhalisi, baadaye ni lazima wapitie uhalisi, na kuishi kwa kudhihirisha uhalisi. Kadiri watu wanavyoujua uhalisi zaidi, kadiri wanavyoweza kugundua ikiwa maneno ya wengine ni halisi; kadiri watu wanavyojua uhalisi, ndivyo wanavyokuwa na dhana kidogo zaidi; kadiri watu wanavyopitia uhalisi zaidi, kadiri wanavyojua zaidi matendo ya Mungu wa uhalisi, na ndivyo inavyokuwa rahisi kwao kuacha nyuma tabia zao potovu na za kishetani; kadiri watu walivyo na uhalisi mkubwa, ndivyo wanavyomjua Mungu zaidi na kuuchukia mwili zaidi na kupenda ukweli; na kadiri watu walivyo na uhalisi mkubwa, ndivyo wanavyofika karibu na ubora wa mahitaji ya Mungu."
Jumapili, 23 Septemba 2018
Umeme wa Mashariki | Ni Nani Anayejua Moyo wa Kutunza wa Mungu?
Septemba 23, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, makusudi-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VITABUNo comments
Umeme wa Mashariki | Ni Nani Anayejua Moyo wa Kutunza wa Mungu?
Jumamosi, 22 Septemba 2018
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Pitia Hukumu Katika Siku za Mwisho na Upite Katika Mtego wa Shetani
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Pitia Hukumu Katika Siku za Mwisho na Upite Katika Mtego wa Shetani
Biblia inasema, "Kwa maana muda umekuja ambao lazima hukumu ianze katika nyumba ya Mungu..." (1 Petro 4:17). Katika siku za mwisho, Mwenyezi Mungu anaonyesha ukweli wote unaomtakasa na kumwokoa mwanadamu na Anatuonyesha tabia Yake yenye haki, uadhama na isiyokosewa. Kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho imefanywa kumwokoa mwanadamu ili aweze kujinasua kutoka kwa ushawishi wa Shetani na kurudi kwa Mungu. Watu wote wateule wa Mungu ambao wanakubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya hukumu wote polepole huja kuona wazi ukweli wa ukweli kwamba huduma ya wachungaji na wazee kwa Mungu kwa kweli humkataa Mungu, kuona wazi asili zao za unafiki na upinga Kristo na kuchukia ukweli na kwa hivyo kujinasua kutoka kwa kuchanganyikiwa na udhibiti wa wachungaji na wazee na kurudi kwa kweli mbele ya Mungu. Kwa kusikiliza ushuhuda wa uzoefu wa hukumu mbele ya kiti cha Kristo wa watu wateule wa Mungu, utaletwa kwa ufahamu wa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho.
Ijumaa, 21 Septemba 2018
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini?
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini?
Ndani ya dini, kuna watu wengi ambao wanaamini kwamba, ingawa wachungaji na wazee wanashikilia mamlaka katika ulimwengu wa dini na kutembea njia ya Mafarisayo wafiki, ingawa wanakubali na kuwafuata wachungaji na wazee, wanaamini katika Bwana Yesu, si katika wachungaji na wazee, hivyo basi inawezaje kusemwa kuwa njia wanayoyotembea pia ni ile ya Mafarisayo? Je, mtu kweli hawezi kuokolewa kwa kumwamini Mungu ndani ya dini?
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Alhamisi, 20 Septemba 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuzaliwa Upya Kupitia Neno la Mungu
Kanisa la Mwenyezi Mungu | 92. Kuzaliwa Upya Kupitia Neno la Mungu
Wang Gang Mkoa wa Shandong
Mimi ni mkulima na kwa sababu familia yangu ni maskini, daima ilinibidi nisafiri kwenda kote kutafuta kazi za muda ili kupata pesa; nilidhani kuwa ningeweza kujipatia maisha mazuri kupitia kazi yangu ya kimwili.
Jumatano, 19 Septemba 2018
Swahili Christian Variety Show | "Mchungaji wetu alisema …" (Mazungumzo Chekeshi)
Septemba 19, 2018kumwabudu-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, VIDEONo comments
Swahili Christian Variety Show | "Mchungaji wetu alisema …" (Mazungumzo Chekeshi)
Yu Shunfu ni muumini katika ulimwengu wa dini ambaye huenzi na huabudu wachungaji na wazee wa kanisa. Yeye hufikiri "wachungaji na wazee wa kanisa wote walikuzwa na Mungu, na kutii wachungaji na wazee wa kanisa ni kutii Mungu, "kwa hivyo yeye humsikiza mchungaji wake katika yote anayofanya, hata katika mambo ya kukaribisha kuja kwake Bwana. Lakini kupitia kwa mjadala mzuri sana, Yu Shunfu amekuja kuona kuwa kuzingatia dhana za dini ni upuzi na upumbavu, na mwishowe anagundua kuwa kumtukuza Mungu huja kwanza katika imani, na kwamba lazima yeyote asetiri "hekalu" la moyo kwa ajili ya Mungu. Kwa hivyo, anaamua kutafuta na kuchunguza njia ya ukweli kivyake ...
Jumanne, 18 Septemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Tano
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Tano
Kwa sababu ya kanuni za maneno Yangu, kwa sababu ya utaratibu wa kazi Yangu, watu hunikana; hili ndilo kusudi Langu la kuzungumza kwa muda mrefu (imezungumzwa kuhusu wazao wote wa joka kubwa jekundu).