Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumanne, 14 Agosti 2018

Swahili Gospel Video "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (7) - Je, Kufanya Kazi Ngumu Kunamaanisha Tunafuata Mapenzi ya Baba wa Mbinguni?

Swahili Gospel Video "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (7) - Je, Kufanya Kazi Ngumu Kunamaanisha Tunafuata Mapenzi ya Baba wa Mbinguni?

Waumini wengine wa Bwana hufikiria kwamba yote tunayohitaji kufanya ni kuteseka na kulipa gharama ya kueneza injili ya Bwana, kubeba msalaba ili kumfuata Bwana, na kutenda unyenyekevu, subira na uvumilivu, na kwamba kwa kufanya mambo haya yote tunafuata mapenzi ya Baba wa mbinguni, na pia wao huamini kwamba kila mara tukifuatilia imani yetu kwa njia hii, basi hatimaye tutaokolewa na Mungu na kuingia katika ufalme wa mbinguni na kupata uzima wa milele. Lakini je, ni sahihi kuwa na ufahamu wa aina hii na kutenda kwa njia hii? Bwana Yesu alisema, "Wengi wataniita siku hiyo, Bwana, Bwana, hatujafanya unabii kwa jina lako? na kwa jina lako kutoa pepo? na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Halafu nitasema wazi kwao, Sikuwajua nyinyi kamwe: ondokeni mbele yangu, nyinyi watenda maovu" (Mathayo 7:22-23). Kwa nini watu hawa ambao huhubiri na kufanya kazi kwa bidii kwa jina la Bwana hawataingia katika ufalme wa mbinguni pekee, lakini pia wataadhibiwa na Bwana?
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, kumjua Mungu

Jumatatu, 13 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (6) - Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (6) - Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele

Bwana Yesu na Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja. Bwana Yesu hufanya kazi ya ukombozi, Yeye anahubiri njia ya toba. Mwenyezi Mungu wa siku za mwisho anafanya kazi ya hukumu ya kuwatakasa wanadamu, Yeye huleta njia ya uzima wa milele. Sasa, kama unataka kujua tofauti kati ya njia ya toba na njia ya uzima wa milele, tafadhali angalia hii video fupi.
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kazi ya Mungu

Jumapili, 12 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?

Bwana Yesu alisema, "Lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa hatahisi kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji yakibubujika katika uzima wa milele" (Yohana 4:14). Bwana Yesu ndiye chanzo cha maji hai ya uzima, Yeye ndiye njia ya uzima wa milele, lakini, kama ilivyoshudiwa na Umeme wa Mashariki, ni Kristo wa siku za mwisho pekee—Mwenyezi Mungu anaweza kuwapa watu njia ya uzima wa milele. Hivyo, Mwenyezi Mungu na Bwana Yesu wanatoka kwa chanzo kimoja? Je, kazi zao zinatekelezwa na Mungu mmoja? Kwa nini ni Kristo wa siku za mwisho pekee anayeweza kutupa njia ya uzima wa milele?
Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Tabia ya Mungu

Jumamosi, 11 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (4) - Kwa nini Mungu Anatekeleza Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho?

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (4) - Kwa nini Mungu Anatekeleza Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho?

Hata ingawa dhambi zetu husamehewa mara tunapokiri imani yetu katika Bwana, mara nyingi bado sisi hutenda dhambi. Hili ni tatizo ambalo huwakanganya waumini wote. Bila kujali tumeamini katika Bwana kwa miaka mingapi, na bila kujali jinsi tunavyotenda maneno ya Bwana au jinsi tunavyotegemea utashi wetu kujizuia, wakati wote bado hatuwezi kujiweka huru kutokana na udhibiti wa asili yetu ya dhambi. Katika mioyo yetu sote tunateseka sana. Tunaweza kufanya nini ili hatimaye kujiweka huru kutokana na udhibiti wa asili yetu ya kishetani na kufikia wokovu wa kweli? Hii video fupi itakusaidia kujibu swali hilo.
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,  kutenda ukweli

Ijumaa, 10 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu


Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu

Kimsingi unabii wote uliotajwa katika Biblia kuhusiana na kurudi kwa Bwana tayari umetokea. Watu wengi wamehisi kwamba Bwana tayari amerudi, hivyo, tunapaswa kuchunguza vipi ili kuhakikisha kuhusu suala la ikiwa Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerudi au la? Tunapaswa kufanya uamuzi wetu kulingana na unabii wa Biblia au tunapaswa kuchunguza moja kwa moja neno na kazi ya Mwenyezi Mungu? Tunapaswa kuchukua fursa hii adimu sana na kujadiliana kurudi kwa Bwana wetu vipi? Mwenyezi Mungu anasema, "Unachopaswa kufanya ni kukubali, bila haja ya kuthibitisha zaidi kutoka kwa Biblia, kazi yoyote iwapo tu ni ya Roho Mtakatifu, kwani unamwamini Mungu kumfuata Mungu, sio kumchunguza. Hupaswi kutafuta ushahidi zaidi ili Nionyeshe kwamba Mimi ni Mungu wako. Badala yake, unapaswa kupambanua kama Nina faida kwako; hiyo ndiyo muhimu" (Neno Laonekana katika Mwili).
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, unabii wa Biblia

Alhamisi, 9 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?


Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?

Dunia nzima ya dini kwa sasa inapitia njaa kubwa, hawapo tena pamoja na kazi ya Roho Mtakatifu au uwepo wa Bwana, wanafanya mambo maovu zaidi na zaidi na imani na huruma ya waumini inadhoofika na kuwa baridi. Aidha, maafa yanazidi kuwa mabaya zaidi na zaidi kote duniani, unabii kwamba Bwana angerudi katika siku za mwisho tayari umetimia. Hivyo, tunawezaje kutatua chanzo cha ukiwa wa makanisa kwa njia ambayo inawaruhusu wale ambao kweli wanaamini katika Mungu, ambao wanatamani kuonekana kwa Mungu kwa mara nyingine tena waje mbele za Mungu na kutembea kwenye njia ya wokovu? Hii video fupi itachunguza pamoja nawe jinsi ya kutatua tatizo hili la ukiwa wa makanisa.
Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kuonekana kwa Mungu

Jumatano, 8 Agosti 2018

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu

Tunapokabiliana na ukiwa wa makanisa na giza iliyo katika roho, tunapaswa kuanza kutafuta nyayo za Bwana vipi? Tangu nyakati za kale njia ya kweli hupatwa mara kwa mara na mateso, na kuonekana na kazi ya Mungu wa kweli siku zote vitakumbana na ukandamizaji wa kikatili zaidi na mateso na upinzani wa hasira na hukumu ya ulimwengu wa kidini na Mungu serikali. Kama inavyosema katika Biblia, "dunia nzima hukaa ndani ya maovu" (1 Yohana 5:19). Hivyo, popote ambapo Mungu wa kweli huonekana kufanya kazi Yake bila shaka patakuwa ambapo sauti zinazomlaani zi kubwa zaidi. Hii ndiyo njia ya kutafuta nyayo za Bwana.
Sikiliza zaidi: Kanisa la Mwenyezi Mungu video
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, kumfuata Mungu

Jumanne, 7 Agosti 2018

Swahili Christian Video | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"


Swahili Christian Video | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani. Filamu hii inasimulia hadithi ya Gao Yufeng, Mkristo katika China Bara, ambaye alikamatwa na polisi wa CCP na kupewa mateso ya kikatili ya aina zote ambayo hatimaye yalimfanya kujiua katika kambi ya kazi kwa kumwamini Mungu na kutimiza wajibu wake. Filamu hii inaonyesha udhalimu mbaya sana na mateso ya kikatili yaliyowafika Wakristo waliozuiliwa baada ya kukamatwa chini ya utawala muovu wa CCP, ikionyesha asili ya pepo ya chuki ya CCP kwa Mungu na kuuawa kwa Wakristo.
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kufichua Ukweli

Jumatatu, 6 Agosti 2018

Swahili Christian Praise Song "Anga Hapa ni Samawati Sana" | The Kingdom of God Has Already Descended

Swahili Christian Praise Song "Anga Hapa ni Samawati Sana" | The Kingdom of God Has Already Descended

Descended
I
Aa ... hii hapa anga, oh ... anga iliyo tofauti sana! Harufu ya kupendeza inasambazwa kote kwenye nchi, na hewa ni safi. Mwenyezi Mungu alikuwa mwili na anaishi miongoni mwetu, Akionyesha ukweli na kuanza hukumu ya siku za mwisho. Maneno ya Mungu yanaweka wazi ukweli wa upotovu wetu, tunatakaswa na kukamilishwa na kila aina ya jaribio na usafishaji. Tunayaaga maisha yetu maovu na kubadilisha sura yetu ya zamani kuwa sura mpya. Tunatenda na kuzungumza kwa maadili na kuruhusu maneno ya Mungu yatawale. Moto wa upendo wetu kwa Mungu unawashwa mioyoni mwetu. Tunasambaza maneno ya Mungu, kumshuhudia, na kusambaza injili ya ufalme. Tunajitolea nafsi yetu yote kumridhisha Mungu, na tuko tayari kuteseka maumivu yoyote. Shukrani ziwe kwa Mwenyezi Mungu kwa kubadilisha jaala yetu. Tunaishi maisha mapya na tunakaribisha kesho mpya kabisa!
II
Ndugu wanapokutana pamoja, furaha inaonyesha kwenye nyuso zao. Tunasoma maneno ya Mungu na kushirikiana ukweli, tunaungana katika upendo wa Mungu. Sisi ni watu waaminifu, safi na wazi, hakuna ubaguzi kati yetu. Tunaishi kwa ukweli, tukipendana, tukijifunza kutoka kwa nguvu za kila mmoja na kurekebisha upungufu wetu. Kwa akili moja tunatimiza wajibu wetu na kutoa dhabihu yetu. Katika njia ya kwenda katika ufalme, maneno ya Mungu hutuongoza kupita dhiki na taabu. Maneno ya Mungu hufunua uweza Wake, na hushinda na kufanya kundi la washindi. Wateule wa Mungu kutoka katika mataifa yote wanarudi mbele ya Mungu. Watu wa Mungu wanaishi pamoja na Mungu na kumwabudu milele. Mapenzi ya Mungu yanatendwa duniani, ufalme wa Kristo umeonekana. Haki na utakatifu wa Mungu vinadhihirika, mbingu na dunia zinafanywa upya. Watu wa ufalme wanamwogopa Mungu na kuepuka mabaya, na wanaishi katika nuru. Watu wa Mungu wanaishi pamoja na Mungu na kumwabudu milele. Mapenzi ya Mungu yanatendwa duniani, ufalme wa Kristo umeonekana. Haki na utakatifu wa Mungu vinadhihirika, mbingu na dunia zinafanywa upya. Watu wa ufalme wanamwogopa Mungu na kuepuka mabaya, na wanaishi katika nuru. Ee, we … hii ni anga, oh ... anga iliyo tofauti sana!
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo za injili

Jumapili, 5 Agosti 2018

Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"

Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"

Ingawa tumetengwa na maziwa na milima isiyohesabika, sisi tuko pamoja, bila mipaka kati yetu, tukiwa na rangi tofauti za ngozi na kuzungumza ndimi tofauti. Kwa sababu maneno ya Mwenyezi Mungu yanatuita, tunainulia juu mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.
I
Ingawa tumetengwa na maziwa na milima isiyohesabika, sisi tuko pamoja, bila mipaka kati yetu, tukiwa na rangi tofauti za ngozi na kuzungumza ndimi tofauti. Kwa sababu maneno ya Mwenyezi Mungu yanatuita, tunainulia juu mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Kuna wale wakongwe, wenye mvi kila pahali, na wale vijana, werevu na wanaong’aa. Mkono kwa mkono, bega kwa bega, tunatembea pamoja katika upepo na mvua, tukitiana moyo katika dhiki. Kwa akili moja tunatimiza wajibu wetu. Mioyo yetu imeungana, tunakuwa wandani maishani. Upendo wa Mungu hutuleta karibu zaidi pamoja.
II
Maneno ya Mungu ndiyo chemichemi ya kisima cha maji yaishiyo. Tukifurahia maneno ya Mungu, mioyo yetu imejaa utamu. Kuadibu kwa maneno Yake, hukumu ya maneno Yake, hutakasa tabia zetu potovu. Ni kwa kupogolewa na kushughulikiwa pekee ndiyo tunakuwa na umbo la binadamu. Katika uhasi na udhaifu, tunasaidiana. Tuko pamoja katika dhiki. Tukitoa ushahidi katika ushahidi, tunamshinda Shetani. Tunaepa giza na kuishi katika mwangaza. Tukiwa waaminifu na watiifu, sisi ni dhihirisho la utukufu wa Mungu. Tunajua haki na uzuri wa Mungu. Tunapitia njia nyingi zisizohesabika ambazo Mungu anatupenda sisi. Tukiwa tumekumbatiwa kifuani mwa Mungu, maisha yetu duniani ni kama yalivyo mbinguni. Ni pamoja na Mungu pekee ndio kuna upendo, ni pamoja na upendo ndiyo kuna familia. Wote wanaompenda Mungu ni familia moja. Tunakuja pamoja katika upendo wa Mungu. Maneno ya Mungu yako pamoja nasi tunapokua. Tukiishi katika ufalme wa kupendeza, tunamwabudu Mwenyezi Mungu milele na milele. La la la … La la la … La la la … La la la … La la la … La la la … Ni pamoja na Mungu pekee ndio kuna upendo, ni pamoja na upendo ndiyo kuna familia. Wote wanaompenda Mungu ni familia moja. Tunakuja pamoja katika upendo wa Mungu. Maneno ya Mungu yako pamoja nasi tunapokua. Tukiishi katika ufalme wa kupendeza, tunamwabudu Mwenyezi Mungu milele na milele, tunamwabudu Mwenyezi Mungu milele na milele, tunamwabudu Mwenyezi Mungu milele na milele.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,  watu wa Mungu

Jumamosi, 4 Agosti 2018

Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!


Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!

Tao Wei alikuwa mhubiri kutoka kanisa la nyumba. Kanisa lake lilipokuwa na ukiwa zaidi na zaidi siku baada ya siku, wafuasi wake wote wakawa walegevu na wenye roho dhaifu, na roho yake mwenyewe ilikuwa na giza. Yeye hakuweza tena kuhisi uwepo wa Bwana, na Tao Wei alichanganyikiwa, bila kujua la kufanya. Ulimwengu wa dini ulikuwa umepotezaje kazi ya Roho Mtakatifu? Inaweza kuwa kwamba Bwana alikuwa tayari amerudi, na alikuwa ameonekana ili kufanya kazi mahali pengine? ... Tao Wei alipotafuta haraka majibu ya maswali haya, alitamani zaidi na zaidi kufikia utoaji wa hai maji ya uzima kutoka kwa Mungu. Yeye na ndugu zake walitafuta kazi ya Mungu na kuonekana Kwake kwa pamoja, na hatimaye walikuja katika Kanisa la Mwenyezi Mungu, ambapo walianza kuwasiliana na kujadiliana na wahubiri wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. ... Je, wataweza kupata chanzo cha maji yaliyo hai ya uzima katika Kanisa la Mwenyezi Mungu? Je, wataweza kufikia maji ya uzima kutoka kwa mto unaobubujika kutoka katika kiti cha enzi?
Soma Zaidi:  Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kristo wa Siku za Mwisho

Ijumaa, 3 Agosti 2018

Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"

Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"

Go Shoucheng ni mchungaji katika kanisa la nyumbani huko China. Amemwamini Bwana kwa miaka mingi, na amekuwa akishughulikia kwa mahubiri yake kwa uthabiti, na amekuwa kila mahali akihuburu injili. Amekamatwa na kutiwa jelani kwa sababu ya kuhubiri injili, na kukaa miaka kumi na miwili gerezani. Baada ya kuondoka gerezani, Gu Shoucheng aliendelea kufanya kazi kanisani. Hata hivyo, wakati ambapo injili ya Mwenyezi Mungu ya ufalme ililijia kanisa alimo kuwa Gu Shoucheng, hatafuti wala kuichunguza hata kidogo, lakini kwa ukaidi anategemea dhana na mawazo yake mwenyewe kushutumu kazi ya Mungu katika siku za mwisho, na anafanya lote awezalo kueneza mawazo na uongo ili kukatiza na kuzuia waumini dhidi ya kukubali njia ya kweli. Ilikuwa hasa baada ya kusoma maneno ya Mwenyezi Mungu ambapo Gu Shoucheng aligundua kwamba kwa kweli yalikuwa na mamlaka na nguvu na kwamba yeyote aliyeyasikia angeridhika, na akawa na hofu kubwa kwamba yeyote katika kanisa aliyesoma maneno ya Mwenyezi Mungu angemwamini Yeye. Aliogopa kwamba wakati huo hadhi na riziki yake havingeendelezwa. Hivyo, alijadiliana hili na Mzee Wang Sen na wengine katika kanisa na kuamua kuwadanganya watu kwa uvumi uliotumiwa na Serikali ya Komunisti ya China kushambulia na kumshutumu Mwenyezi Mungu. Gu Shoucheng na Wang Sen wanafanya wawezalo kuzingia kanisa na kuzuia watu dhidi ya kukubali njia ya kweli, na hata wanashirikiana na utawala wa kishetani wa CCP kukamata na kutesa wale wanaomshuhudia Mwenyezi Mungu. Matendo yao yanakosea tabia ya Mungu vikali na wanapata laana Yake. Wang Sen akiwa njiani kukamata baadhi ya watu wanaoeneza injili ya ufalme, anapatwa na ajali ya gari na kufa papo hapo. Gu Shoucheng anaishi katika woga na hali ya kukata tamaa na anapatwa na hofu. Anajiambia mara kwa mara: "Je, shutuma yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kumsulubisha Mungu tena?"
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Filamu za Injili

Alhamisi, 2 Agosti 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Matamko ya Arubaini na Nne na Arubaini na Tano

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Matamko ya Arubaini na Nne na Arubaini na Tano

Tangu Mungu alipomwambia mwanadamu kuhusu "upendo wa Mungu”—somo la maana zaidi kati ya yote—Alilenga kuzungumza juu ya mada hii katika "matamko ya Roho mara saba," kusababisha watu wote kujaribu kujua utupu wa maisha ya mwanadamu, na hivyo kuchimbua upendo wa kweli ulio ndani yao. Na wale wanaoishi katika hatua ya sasa wanampenda Mungu kiasi gani? Je, mwajua? Hakuna mipaka kwa somo la "kumpenda Mungu." Na je, zkuhusu ufahamu wa maisha ya mwanadamu ndani ya watu wote? Mtazamo wao kwa kumpenda Mungu ni upi? Wako radhi au hawako radhi? Je, wao hufuata halaiki kubwa, au huchukia sana mwili? Haya yote ni mambo mnayopaswa kuelewa kuyahusu na kuyafahamu, Je, kwa kweli hakuna chochote ndani ya watu? "Nataka mwanadamu anipende kweli, lakini leo, watu bado wanasitasita, wasiweze kunipa upendo wao wa kweli. Katika mawazo yao, wao huamini kwamba iwapo watanipa upendo wao wa kweli, wataachwa bila chochote." Katika maneno haya, "upendo wa kweli" hasa una maana gani? Kwa nini Mungu bado anataka upendo wa kweli wa watu katika enzi hii wakati "watu wote wanampenda Mungu"? Hivyo, kusudi la Mungu ni kumtaka mwanadamu aandike maana ya upendo wa kweli juu ya karatasi ya majibu, na kwa hiyo, haya hasa ni matayarisho ambayo Mungu amempangia mwanadamu. Kuhusu hatua hii ya leo, hata ingawa Mungu hafanyi madai makuu kwa mwanadamu, watu bado hawajafikia matakwa ya Mungu ya asili kwa mwanadamu; kwa maneno mengine, bado hawajaweka nguvu zao zote katika kumpenda Mungu. Hivyo, katikati ya kutokuwa radhi kwao, Mungu bado anatoa matakwa Yake kwa watu, mpaka wakati kazi hii imekuwa na matokeo, na Yeye kutukuzwa katika kazi hii. Kweli, kazi iliyo duniani inahitimishwa kwa upendo wa Mungu. Hivyo, wakati ambapo Mungu anahitimisha kazi Yake tu ndipo Anaashiria kazi muhimu zaidi ya wanadamu wote. Kama, wakati ambapo kazi Yake itaisha, atampa mwanadamu kifo, nini kitamfanyikia mwanadamu, nini kitamfanyikia Mungu, na nini kitamfanyikia Shetani? Ni wakati ambapo upendo wa Mungu duniani unashawishiwa ndio inaweza kusemekana kwamba "Mungu amemshinda mwanadamu." La sivyo, watu wangesema kwamba Mungu humdhulumu mwanadamu, na Mungu angeaibishwa hivyo. Mungu hangekuwa mjinga hivyo kuihitimisha kazi Yake bila mnong'ono. Hivyo, wakati ambapo kazi inakaribia kuisha, shauku ya upendo wa Mungu hutokea, na upendo wa Mungu hugeuka kuwa mada motomoto. Bila shaka, huu upendo wa Mungu haujatiwa mawaa na mwanadamu, ni upendo usio ghushiwa, kama upendo wa mke mwaminifu kwa mme wake, au upendo wa Petro. Mungu hataki upendo wa Ayubu na Paulo, bali upendo wa Yesu kwa Yehova, upendo kati ya Baba na Mwana. "Kufikiria tu kuhusu Baba, bila uzingatiaji wa hasara na faida za mtu binafsi, kumpenda tu Baba, na sio mwingine, na kutotaka kingine chochote"—je, mwanadamu anaweza hili?
Tukilinganisha kile ambacho Yesu alifanya, Yule ambaye Hakuwa na ubinadamu kamili, tunaonaje? Mmefika umbali gani katika ubinadamu wenu kamili? Je, mnaweza kufikia sehemu moja kwa kumi ya kile Yesu alifanya? Mna sifa zinazostahili kwenda msalabani kwa ajili ya Mungu? Je, upendo wenu kwa Mungu unaweza kumwaibisha Shetani? Na mmetoa kiasi gani cha upendo wenu wa mwanadamu? Je, umebadilishwa na upendo wa Mungu? Ninyi hustahamili yote kwa kweli kwa ajili ya upendo wa Mungu? Hebu fikirini kuhusu Petro wa nyakati zilizopita, na mjitazame, ninyi ambao ni wa leo—kuna tofauti kubwa kwa kweli, hamstahili kusimama mbele ya Mungu. Ndani yenu, je, kuna upendo zaidi kwa Mungu, au upendo zaidi kwa ibilisi? Huu unapaswa kuwekwa kwa zamu upande wa kushoto na kulia wa mizani ya kupimia, kuona ni upi uko juu zaidi—je, kiasi gani cha upendo kwa Mungu kiko ndani yenu kwa kweli? Je, ninyi ni wa kufaa kufa mbele ya Mungu? Sababu ya Yesu kuweza kubaki msalabani ilikuwa kwa sababu uzoefu wake duniani ulitosha kumwaibisha Shetani, na ni kwa sababu hiyo tu ndiyo Mungu Baba alimruhusu kwa ujasiri kukamilisha hatua hiyo ya kazi; ilikuwa kwa ajili ya taabu Alizokuwa Amepitia na upendo Wake kwa Mungu. Lakini hamna sifa za kustahili jinsi hiyo. Hivyo, lazima mwendelee kupitia, kutimiza kuwa na Mungu, na si kingine chochote, ndani ya mioyo yenu—je, mnaweza kufanikisha hili? Kutokana na hili inaweza kuonekana unamchukia Mungu kiasi gani, na unampenda Mungu kiasi gani. Si kwamba Mungu anataka mengi sana kwa mwanadamu, lakini kwamba mwanadamu hafanyi kazi kwa bidii. Je, hiki ndicho kinaendelea kwa kweli? La sivyo, ungegundua ndani ya Mungu kiasi gani kilicho cha kupendeza, na ungepata ndani yako kiasi gani kilicho cha kuchukiza sana? Unapaswa kufikiria kwa makini kuhusu mambo haya. Ni haki kusema kwamba ni wachache tu chini ya mbingu wanampenda Mungu—lakini unaweza kuwa mtangulizi, kuvunja rekodi ya dunia, na kumpenda Mungu? Mungu hataki chochote kutoka kwa mwanadamu. Mbona mwanadamu asimheshimu kwa hili? Je, huwezi kutimiza hata hili? Kuna nini lingine la kusema?
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 1 Agosti 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita

Miongoni mwa maneno haya yote, hakuna yasiyoweza kusahaulika zaidi kama yale ya leo. Awali maneno ya Mungu yalifichua hali za mwanadamu au siri za mbinguni, lakini tamko hili halifanani na yale ya wakati uliopita. Halidhihaki wala kufanya mzaha, lakini ni kitu kisichotarajiwa kabisa: Mungu aliketi chini na Akazungumza na watu kwa utulivu. Kusudi Lake ni gani? Unaona nini Mungu anaposema, “Leo, Nimeanza kazi mpya juu ya ulimwengu. Nimewapa watu walio duniani mwanzo mpya, na Nimewaambia wote watoke nyumbani Mwangu. Na kwa kuwa kila mara watu hupenda kujideka, Nawashauri wajijue, na wasiisumbue kazi Yangu kila mara”? Ni huu "mwanzo mpya" ambao Mungu anazungumzia ni upi? Hapo awali Mungu alishawashauri watu waondoke, lakini kusudi la Mungu wakati huo lilikuwa kupima imani yao. Kwa hiyo leo, Anaponena na sauti tofauti—Anakuwa halisi au mwongo? Awali, watu hawakujua Mungu alikuwa Akizungumza kuhusu majaribio gani. Ilikuwa tu kupitia hatua ya kazi ya watendaji-huduma ndipo macho yao yaliona, na wakapitia binafsi majaribio ya Mungu. Hivyo, tangu wakati huo na kuendelea, kwa msaada wa mifano ya mamia ya majaribio ya Petro, mara nyingi watu walifanya kosa la kuamini kwamba "Yalikuwa majaribio ya Mungu." Zaidi ya hayo, katika maneno ya Mungu ukweli ulijitokeza lakini kwa nadra. Kwa hivyo, watu wakawa wa ushirikina kuhusu majaribio ya Mungu, na kwa hiyo katika maneno yote yaliyonenwa na Mungu, hawakuliamini hili kuwa kazi ya ukweli uliotekelezwa na Mungu; badala yake, waliamini kwamba Mungu, kwa sababu hakuwa na lingine la kufanya, Alikuwa hasa Anatumia maneno kuwapima watu. Ilikuwa katikati ya majaribio kama hayo, ambayo hayakuwa na tumaini lakini yalionekana kuleta tumaini, ndipo watu walifuata, na kwa hiyo Mungu aliposema “wote ambao watabaki wataelekea kupitia msiba na ukosefu kidogo mwishowe.” watu bado walijitolea kuzingatia kufuata, na hivyo hawakuwa na nia ya kuondoka. Watu walifuata katikati ya njozi kama hizo, na hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kuwa na hakika kwamba hakukuwa na tumaini—ambayo ni sehemu ya thibitisho la ushindi wa Mungu. Mtazamo wa Mungu unaonyesha kwamba Yeye hukishawishi kila kitu kimhudumie. Njozi za watu huwahimiza kutomwacha Mungu, bila kujali wakati au mahali, na kwa hiyo wakati wa hatua hii Mungu hutumia motisha za watu zenye dosari kuwafanya wawe na ushuhuda Kwake, ambao ni umuhimu mkuu wa wakati ambao Mungu asema, “Nimepata sehemu ya watu.” Shetani hutumia motisha za mwanadamu kusababisha ghasia, ilhali Mungu hutumia motisha za mwandamu kumfanya ahudumu—ambayo ni maana halisi ya maneno ya Mungu kwamba "Wanafikiri kwamba wanaweza kuingia ndani kwa hila, lakini wanaponipa pasi zao za kuingia zisizo halisi, Nazitupa ndani ya shimo la moto papo hapo—na, wanapoona 'juhudi zao za kujitahidi' zikiteketea moto, wanakata tamaa." Mungu huvishawishi vitu vyote kuvifanya vihudumu, na kwa hiyo Haepuki maoni mbalimbali ya mwanadamu, bali huwaambia watu kwa ujasiri waondoke; hii ndiyo ajabu na hekima ya kazi ya Mungu, ikichanganya maneno ya kweli na mbinu kuwa kitu kimoja, ikiwaacha watu wakiwa wenye kuchanganyikiwa na waliokanganywa. Kutokana na hili inaweza kuonekana kwamba Mungu kweli anawataka watu watoke nyumbani Kwake, kwamba haya si aina fulani ya majaribio, na Mungu anachukua nafasi hii kusema, "Hata hivyo Mimi pia huwaambia watu kwamba wanapokosa kupata baraka, mtu yeyote asilalamike kunihusu." Hakuna anayeweza kuelewa kama maneno ya Mungu ni halisi au ya uwongo, lakini Mungu hutumia nafasi hii kuwaimarisha watu, kuwanyanganya hamu yao ya kuondoka. Hivyo, kama siku moja watalaaniwa, watakuwa wameonywa mapema kwa maneno ya Mungu, kama wasemavyo watu kwamba "Maneno yasiyovutia ndiyo mazuri." Leo, upendo wa watu kwa Mungu ni wenye ari na wa kweli, na kwa hiyo katika maneno ambayo hawangeweza kufahamu kama yalikuwa halisi au ya uwongo, walishindwa na wakaja kumpenda Mungu, ndiyo maana Mungu alisema "Tayari nimefanikisha kazi Yangu kuu." Mungu anaposema "Natumaini watapata njia yao wenyewe ya kuendelea kuishi, nami Sina mamlaka katika hili," huu ni uhalisi wa tamko la Mungu kuhusu maneno haya yote—hata hivyo watu hawafikiri hivyo; badala yake, kila mara wamefuata bila kutilia maanani maneno ya Mungu hata kidogo. Kwa hivyo, Mungu anaposema "katika siku za baadaye, hakutakuwa tena na maneno yoyote kati yetu, hatutakuwa tena na jambo la kuzungumzia, hatutaingiliana, kila mmoja wetu atashika njia yake," maneno haya ni ukweli, na hayajatiwa doa hata kidogo. Chochote ambacho watu hufikiria, hivyo ndivyo kutokuwa na urazini kwa Mungu kulivyo. Tayari Mungu amekuwa na ushuhuda mbele ya Shetani, na Mungu alisema kwamba Atawafanya watu wote wasimwache haijalishi wakati au mahali—kwa hivyo hatua hii ya kazi imeshakamilishwa, na Mungu hayasikilizi malalamiko ya mwanadamu. Hata hivyo Mungu amelifafanua hili tangu mwanzo, kwa hivyo watu wanaachwa wakiwa wadhaifu, wanalazimika kuomba radhi. Vita kati ya Mungu na Shetani vinategemea mwanadamu kikamilifu. Watu hawawezi kujidhibiti, wao ni makaragosi kweli, huku Mungu na Shetani ndio wanaovuta kamba bila kuonekana. Mungu anapowatumia watu kuwa na ushuhuda Kwake, Yeye hufanya kila Awezalo kufikiri, Hufanya chochote kiwezekanacho, kuwatumia watu kumfanyia huduma, Akiwasababisha watu kutawaliwa na Shetani, na, zaidi ya hayo, kuongozwa na Mungu. Na wakati ambapo ushuhuda ambao Mungu anataka utolewe umemalizika, Yeye huwatupa watu upande mmoja na kuwaacha wakiteseka, huku Mungu anajifanya kwamba Hana shughuli nao. Wakati ambapo Anataka tena kuwatumia watu, Yeye huwaokota kwa mara nyingine na kuwatumia—na watu hawana ufahamu wa hili hata kidogo. Wao ni kama tu ng'ombe au farasi anayetumiwa jinsi atakavyo bwana wake, hakuna kati yao aliye na mamlaka juu yake mwenyewe. Hili linaweza kuonekana kuwa la kusikitisha kidogo, lakini haijalishi kama watu wana mamlaka juu yao wenyewe au la, kumfanyia Mungu huduma ni heshima, si kitu cha kumfadhaisha mtu. Ni kana kwamba Mungu anapaswa kutenda hivi. Je, kuweza kuridhisa hitaji la Mwenye Uweza si jambo la kujivunia? Kwa hiyo unaonaje? Je, umewahi kufanya azimio lako kutoa huduma kwa Mungu? Yawezekana kwamba bado unataka kushikilia haki yako ya kutafuta uhuru wako mwenyewe?
Hata hivyo, yote afanyayo Mungu ni mazuri, na yanastahili kuigwa, na mwanadamu na Mungu ni, hata hivyo, tofauti. Kwa msingi huu, unapaswa kumpenda Mungu kwa moyo wa utu bila kujali kama Mungu anastahi upendo wako au la. Maneno ya Mungu yanaonyesha kwamba pia kuna huzuni nyingi ndani ya moyo wa Mungu. Ni kwa ajili ya maneno ya Mungu tu ndio watu wanasafishwa. Lakini kazi hii, hata hivyo, ilifanyika jana—na kwa hiyo ni nini hasa ambacho Mungu atafanya kufuatia? Mpaka sasa, hii inabaki kuwa siri, na hivyo watu hawana uwezo wa kuielewea au kuifahamu, na wanaweza tu kufuata mkondo wa Mungu. Hata hivyo, yote ambayo Mungu asema ni kweli, yote hutimia—hili halina shaka!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?