Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana|”Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu”

Kumpenda Mungu, lazima kwanza tutoe moyo wa kweli. Imbeni na kucheza kumsifu Mwenyezi Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumatano, 31 Januari 2018

Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

Mwenyezi Mungu alisema, Mungu alifanyika mwili kwa sababu lengo la kazi Yake si roho ya Shetani, au kitu chochote kisicho cha mwili, ila mwanadamu, ambaye ni wa mwili na ambaye amepotoshwa na Shetani. Ni kwa sababu hii kabisa kwamba mwili wa mwanadamu umeharibiwa ndio maana Mungu akamfanya mwanadamu mwenye mwili kuwa mlengwa wa kazi Yake;

Kuhusu Biblia (4)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Kuhusu Biblia (4)

Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wanaamini kwamba kuelewa na kuwa na uwezo wa kufasiri Biblia ni sawa na kutafuta njia ya kweli—lakini, kimsingi, je, vitu ni rahisi sana? Hakuna anayejua uhalisia wa Biblia: kwamba si kitu chochote zaidi ya rekodi ya kihistoria ya kazi ya Mungu, na agano la hatua mbili zilizopita za kazi ya Mungu, na haikupatii ufahamu wa malengo ya kazi ya Mungu.

Jumanne, 30 Januari 2018

Kuhusu Biblia (3)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Kuhusu Biblia (3)

Mwenyezi Mungu alisema, Sio kila kitu katika Biblia ni rekodi ya maneno aliyoyasema Mungu. Kimsingi Biblia inaandika hatua mbili za awali za kazi ya Mungu, ambapo sehemu moja ni rekodi ya utabiri wa kale wa manabii, na sehemu nyingine ni uzoefu na maarifa yaliyoandikwa na watu waliotumiwa na Mungu katika enzi zote.

Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Mwenyezi Mungu alisema, Huenda ikawa safari yako ya imani katika Mungu imekuwa ndefu zaidi ya mwaka mmoja au miwili, na labda kwa maisha yako umestahimili ugumu mwingi miaka hii yote; au labda haujapitia ugumu na badala yake umepokea neema nyingi. Kuna uwezekano pia kuwa hujapitia ugumu wala kupokea neema, na badala yake umeishi maisha ya kawaida tu. Hiyo haijalishi, kwani wewe bado u mfuasi wa Mungu, kwa hivyo tushirikiane kuhusu mada ya kumfuata Mungu. Lakini, lazima Niwakumbushe wote wanaoyasoma maneno haya kwamba neno la Mungu huelekezwa kwa wale wanaomtambua na wale wanaomfuata Mungu, na sio kwa watu wote wa ulimwengu, wakiwemo wale wasiomtambua Mungu. Ikiwa unaamini kuwa Mungu Anazungumza na halaiki, ya kuwa Anaongelesha watu wote duniani, basi neno la Mungu halitakuwa la mabadiliko kwako. Kwa hivyo, unafaa uyaweke maneno yote karibu na moyo wako, na usijiweke nje ya wigo la maneno haya. Kwa lolote lile, tuzungumze juu ya mambo yanayofanyika katika nyumba yetu.

Mnafaa nyote kufahamu sasa maana kamili ya kumwamini Mungu. Maana ya imani katika Mungu Niliyozungumzia awali inahusiana na kuingia kwenu kwa hali dhahiri. Lakini leo hii si juu ya hayo. Leo hii Ningependa kuchambua umuhimu wa imani yako katika Mungu. Bila shaka, lengo la jambo hili ni kuwaelekeza kutoka kwenye mabaya; Nisipofanya hivyo, basi hamtawahi kuifahamu sura yako kamili na utakuwa ukijisifu kila mara kuhusu kujitolea kwako na uaminifu wako. Kwa maneno mengine, Nisipoangazia uovu uliomo ndani ya mioyo yenu, basi kila mmoja wenu atajitwika taji kichwani na kujipa utukufu wote. Asili zenu za majivuno na kiburi huwaelekeza kusaliti dhamiri zenu wenyewe, kuasi na kumpinga Kristo, na kufichua uovu wenu, hivyo basi kuleta kwenye mwangaza fikra zenu, mawazo, tamaa nyingi na macho yaliyojaa ulafi. Ilhali mnaendelea kukiri kwamba mtajitolea maisha yenu kwa ajili ya kazi ya Kristo, na mnakariri tena na tena mambo ya kweli yaliyosemwa na Kristo zamani zile. Hii ndiyo “imani” yenu. Hii ndiyo “imani yenu isiyokuwa na doa”. Kwa muda huu wote, Nimemweka mwanadamu katika nidhamu ya hali ya juu. Iwapo uaminifu wako unakuja na nia na masharti, basi ni heri Nisijihusishe na huo mnaoita uaminifu wenu hata kidogo, kwa maana Ninachukia wale hunidanganya kupitia kwa nia zao na kunanihadaa na masharti. Mapenzi Yangu ni mwanadamu aniamini Mimi peke Yangu, na afanye mambo yote kwa ajili ya, na kudhibitisha neno hilo moja: imani. Ninachukizwa na matumizi yenu ya maneno matamu ili Unifurahishe Mimi. Kwa maana daima Mimi napenda mtende pia kwa ukweli mtupu na uwazi na hivyo Ningependa pia mfanye matendo yenu Kwangu kwa imani ya kweli. Inapofika katika swala la imani, watu wengi hufikiri kwamba wanamfuata Mungu kwa sababu wako na imani, la sivyo hawangevumilia mateso hayo. Basi Nakuuliza hivi: Ni kwa nini humheshimu Mungu ilhali unaamini kuwepo Kwake? Ni kwa nini, basi, haumchi Mungu moyoni mwako iwapo unaamini kuwa Mungu Yupo? Unakubali kuwa Kristo ni kupata mwili kwa Mungu, basi ni kwa nini uwe na dharau na matendo yasiyo na heshima Kwake? Ni kwa nini unamhukumu wazi wazi? Ni kwa nini unatazama mienendo Yake kila wakati? Mbona usijisalimishe katika mipango Yake? Ni kwa nini hutendi kulingana na neno Lake? Ni kwa nini unamhadaa na kumpokonya matoleo Yake? Ni kwa nini unazungumza katika nafasi ya Kristo? Ni kwa nini unatoa hukumu ya kubaini iwapo kazi Yake na neno Lake ni ya kweli? Mbona unathubutu kumkufuru Yeye kisiri? Ni mambo haya na mengine ndiyo yanayounda imani yenu?

Kila sehemu ya usemi na tabia zenu hufichua dalili za kutoamini katika Kristo ulizobeba ndani yako. Nia na malengo yenu kwa yale mnayoyafanya yamejaa kutoamini; hata hiyo hisi itokayo kwa macho yenu imetiwa doa na dalili hizi. Kwa maneno mengine, kila mmoja wenu, katika kila dakika ya kila siku, amebeba vipengele vyenu vya kutoamini. Hii ina maana kuwa kila wakati mko katika hatari ya kumsaliti Kristo, kwa maana damu iliyo ndani ya mishipa yenu imechanganyika na kutomwamini Mungu Aliyepata mwili. Kwa hivyo, Ninasema kwamba nyayo mnazoziwacha katika njia ya imani katika Mungu si nyingi. Safari yenu katika njia ya kumwamini Mungu haina msingi mzuri, na badala yake mnafanya kazi bila ya kujali matokeo yake. Nyinyi huwa na shaka na neno la Kristo na huwezi kulitia katika matendo mara moja. Hii ndio sababu ya nyinyi kutokuwa na imani katika Kristo, na daima kuwa na fikira kumhusu Kristo ndio sababu nyingine ya nyinyi kutoamini Kristo. Kuwa na shaka kila mara kuhusu kazi ya Kristo, kuacha neno Lake kuangukia sikio lisilosikia, kuwa na maoni kwa kila kazi inayofanywa na Kristo na kutoifahamu vizuri kazi hiyo, kuwa na ugumu wa kutupilia mbali fikira zako hata baada ya nyinyi kupewa sababu za kufanya vile, na kadhalika; hizi zote ni dalili za kutoamini zilizochanganyika ndani ya mioyo yenu. Ingawa mnafuata kazi ya Kristo na kamwe hubaki nyuma, kuna uasi mwingi uliochanganyika ndani ya mioyo yenu. Uasi huu ni doa la uchafu katika imani yenu kwa Mungu. Pengine hamkubaliani na haya, lakini iwapo huwezi kutambua nia yako kutoka kwayo, basi wewe ndiwe utakayeangamia. Kwa maana Mungu hustawisha wale wanaomwamini kwa kweli pekee, wala sio wale walio na shaka na hasa wale wanaomfuata na hawajawahi kuamini kuwa Yeye ni Mungu.

Watu wengi hawapati shangwe ndani ya ukweli, na vile vile katika hukumu. Badala yake, wao hupata furaha kwa nguvu na mali; watu kama hawa huchukuliwa kama wenye dharau. Wanatafuta tu madhehebu yaliyo na ushawishi duniani na wahubiri na waalimu wanaotoka katika seminari. Hata ingawa wameikubali njia ya ukweli, bado wako na shaka ndani yao na hawawezi kujitolea kikamilifu. Wanazungumzia kujinyima kwa sababu ya Mungu, lakini macho yao yamelenga tu wahubiri wakuu na waalimu, na Kristo anasukumwa pembeni. Mioyo yao imejaa umaarufu, mali na utukufu. Hawaamini kamwe kuwa mtu wa kawaida tu anaweza kuwashinda wengi vile, kwamba mtu asiye wa kutambulika kwa macho tu anaweza kukamilisha watu. Hawaamini kuwa hawa watu wasio na sifa, walio kwenye vumbi na vilima vya samadi ni watu waliochaguliwa na Mungu. Wanaamini kuwa kama watu wale wangekuwa vyombo vya wokovu Wake Mungu, basi mbingu na ardhi zitageuzwa juu na chini na watu wote watacheka kupindukia. Wanaamini kuwa iwapo Mungu atawachagua watu wasio na sifa yoyote wafanywe viumbe kamili, basi wao walio na sifa watakuwa Mungu Mwenyewe. Maoni yao yamechafuliwa na kutoamini; hakika, mbali na kutoamini, wao ni wanyama wasio na maana. Kwa maana wao wanathamini tu nyadhifa, hadhi kuu na mamlaka; wanachokithamini sana ni makundi makuu na madhehebu makuu. Hawana heshima hata kidogo kwa wale wanaoongozwa na Kristo; wao ni wasaliti tu waliomgeuka Kristo, kuugeuka ukweli na uhai.

Unachopendezwa nacho sio unyenyekevu wa Kristo, ila ni wale wachungaji wa uongo wenye umaarufu. Hupendi maarifa au kupendeza kwa Kristo, bali unapenda wale watukutu wanaojihusisha na ulimwengu mchafu. Unauchekelea uchungu wa Kristo asiyekuwa na pahali pa kulaza kichwa Chake, na badala yake unatamani maiti zinazokamata sadaka na kuishi katika uasherati. Hauko tayari kupokea mateso pamoja na Kristo, lakini unakimbilia mikononi mwa wapinzani wa Kristo hata ingawa wanakupa nyama za mwili pekee, barua na udhibiti pekee. Hata sasa, moyo wako bado unawaendea, sifa zao, misimamo yao katika mioyo ya mashetani wote, ushawishi wao, na mamlaka yao, ilhali unazidi kuipinga na kuikataa kazi ya Kristo. Hii ndiyo maana Ninasema hauna imani ya kumkubali Kristo. Sababu iliyokufanya Umfuate mpaka leo hii ni kuwa ulilazimishwa. Moyoni mwako milele mna picha nyingi refu; huwezi kusahau kila neno lao na matendo yao, au maneno yao ya ushawishi na mikono. Wao ni, katika moyo wenu, wakuu milele na tena mashujaa milele. Lakini hivi sivyo ilivyo na Kristo wa leo hii. Yeye moyoni mwako kamwe Hana umuhimu na kamwe Hastahili heshima. Kwa maana Yeye ni wa kawaida sana, mwenye ushawishi mdogo zaidi na Yuko mbali na ukuu.

Kwa vyovyote vile, Ninasema kuwa wote wale wasioenzi ukweli ni makafiri na waasi wa ukweli. Watu kama hawa hawatawahi kuipokea idhini ya Kristo. Umeweza sasa kutambua kiasi cha kutoamini kilicho ndani yako? Na kiasi gani cha usaliti kwa Kristo? Kwa hivyo Nakuhimiza hivi; Kwa maana umeichagua njia ya ukweli, basi huna budi ila kujitolea na moyo wote; usiwe na kuchanganyikiwa au wa kusitasita. Unafaa kufahamu kuwa Mungu si wa ulimwengu huu au wa mtu yeyote, bali ni wa wale wote wanaoamini katika Mungu kwa kweli, wote wale wanaomwabudu, na wote wale waliojitolea na wanaoamini katika Mungu.

Kwa wakati huu, kuna kutoamini kwingi sana ndani yenu. Jaribu kuangalia kwa makini ndani yako na kwa hakika mtajionea jibu mwenyewe. Unapopata jibu halisi, basi utakubali kuwa wewe kweli si muumini wa Mungu, bali ni mdanganyifu, unayekufuru, unayemsaliti, na usiye mwaminifu kwa Mungu. Kisha utagundua kuwa Kristo si mwanadamu, ila ni Mungu. Siku hiyo itakapowadia, basi utamheshimu, utamcha na utampenda kwa dhati Kristo. Kwa sasa, imani yenu ni asilimia thelathini tu ya moyo wenu, ilhali asilimia sabini zimekumbwa na shaka. Tendo lolote likifanywa na sentensi yoyote ikitamkwa na Kristo vyaweza kusababisha muwe na fikira na maoni kumhusu Yeye. Fikira na maoni haya hutokana na kutokuwa na imani kabisa ndani Yake. Mnamtamani na kumcha tu Mungu msiyemwona aliye mbinguni lakini hauna haja na Kristo Anayeishi duniani. Hii pia si ni ukosefu wa imani? Mnamtamani tu Mungu Aliyefanya kazi kitambo kile lakini hutaki kukumbana na Kristo wa leo. Hizi ndizo huwa “imani” zilizochanganyika katika mioyo yenu isiyomwamini Kristo wa leo. Sikuchukulii kwa hali ya chini kwa maana ndani yako mna kutoamini kwingi, ndani yenu mna uchafu mwingi sana ambao lazima uchunguzwe kwa kina. Madoa na uchafu huu ni ishara kuwa huna imani hata kidogo; ni alama za ninyi kumkana Kristo na huonyesha kuwa nyinyi ni msaliti wa Kristo. Hiyo ni kama kitambaa kinachofunika ufahamu wenu wa Kristo, kizuizi cha nyinyi kupatwa na Kristo, kitu kinachowakinga kulingana na Kristo, na dhihirisho kuwa Kristo Hawatambui. Huu ndio wakati wa kuchunguza kila sehemu ya maisha yenu! Kufanya hivyo kutakufaidi kwa njia zote ambazo mnaweza kufikiria!

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Tufuate: App ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumatatu, 29 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu

I Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara. Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza. Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri! Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa, nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo. Halafu natambua ni Mwenyezi ambaye nilipigana naye. Najichukia mwenyewe, kwa majuto makubwa, fikiria niliyoyafanya. Nimepotoka kwa kina, hakuna wanadamu, sasa nauona ukweli. Pamoja na mwanzo mpya, kujiingiza katika maisha halisi, kutimiza wajibu wangu. Kwa hali, kushindana na Mungu, mimi siheshimiki. Mungu bado Mungu, mtu ni mtu—mimi ni mjinga sana. Mjinga na mwenye kiburi kiasi cha kutoijua nafsi yangu halisi. Nilikosa aibu na kutahayarika; moyo wangu umejaa majuto. Najichukia mwenyewe, bila kujua kile ninachoishia. Shetani alinikanyaga kwa miaka mingi sana, nikawa mdharauliwa. Wakishapewa sumu na yule Mwovu, wanadamu wamepotea. Kama sitabadilishwa na kuzaliwa upya, sina maisha ya kweli.
II Tabia yangu potovu hunisumbua, huduma yangu bado i bure. Ni mjinga wa kumjua Mungu, na kujawa na dhana; jinsi gani mimi singepinga? Mungu hunihukumu, kwa uasi wangu, na ukosefu wa uadilifu. Nimeuona upendo wa kweli wa kuadibu na kuhukumu. Mungu ni mwenye haki, mimi nina hakika kabisa. Niko ana kwa ana naye. Wokovu wa vitendo wa Mungu umenisaidia kufika umbali huu. Uhalisi wa Mungu na uweza wake, vimefichuliwa kikamilifu kwa mtu. Kwa kuishi katika mwanga, namjua Mungu na kuuona uzuri wake. Nikiwa na nia ya kutimiza wajibu, Nitamtosheleza Mungu na kumpenda.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , kumjua Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana

Sio rahisi kwa vijana kuendeleza kazi; wengi wao hawadumishi mwendo. Ni lazima moyo wako uwe mtulivu, lazima uweze kudumisha mwendo na uwe tayari kutumia muda kwake. Wengine hujiburudisha au kuwachezea wengine, lakini wewe unasema, "Siwezi, sina wakati. Biashara yangu ina shughuli sana. Nendeni mkajiburudishe.

Jumapili, 28 Januari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

I Juu ya miti, nikiukwea mwezi wa amani. Kama mpendwa wangu, wa haki na mzuri. Ee mpendwa wangu, Uko wapi? Sasa mimi nina machozi. Je, Wanisikia nikilia? Wewe Ndiwe hunipa upendo. Wewe Ndiwe Unayenitunza. Wewe Ndiwe unayeniwaza daima, Wewe Ndiwe unayeyatunza maisha yangu. Mwezi, nyuma ya upande wa pili wa anga. Usimfanye mpendwa wangu asubiri muda mrefu sana. Tafadhali mwambie Yeye ninamkosa sana. Usisahau kuubeba pamoja nawe upendo wangu, pamoja nawe upendo wangu.
II Bata bukini pori katika jozi, wapuruka mbali sana. Je, watarudi na neno kutoka kwa mpendwa wangu? O tafadhali, tafadhali niazime mbawa yako. Naweza kupuruka kurudi kwa mji wangu vuguvugu. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Jinsi ninavyopenda ninaweza kuwa mzima karibuni, kuwa huru kutoka maisha machungu, ya kutangatanga. O mpendwa wangu, tafadhali nisubiri. Nitaruka mbali na anasa za dunia hii. Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni! Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure. Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , mapenzi ya Mungu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa

Wengine Je, mna uzoefu wowote wa kuwa waaminifu? (Ni vigumu kuwa mwaminifu). Na mbona ni vigumu? (Ninapotafakari juu yangu kila siku, nagundua kuwa najua vyema kujifanya, na kwamba nimesema mengi ambayo si sahihi.

Jumamosi, 27 Januari 2018

Ni Wale tu Wanaomjua Mungu na Kazi Yake ndio Wanaoweza Kumridhisha Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Ni Wale tu Wanaomjua Mungu na Kazi Yake ndio Wanaoweza Kumridhisha Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya Mungu katika mwili inajumuisha sehemu mbili. Mara ya kwanza Alipofanyika kuwa mwili, watu hawakumwamini au kumfahamu na kumsulubisha Yesu msalabani. Mara ya pili, pia, watu pia hawakuamini ndani Yake, wala kumfahamu, na kwa mara nyingine wakamsulubisha Kristo msalabani.

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,muziki-kwa-maisha

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

I Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo. Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu. Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi. Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa, sina ukweli au uhalisi. Mila na sheria, zikifungia imani yangu; sikubaki na kitu ila utupu. Kushindwa kuishi kama binadamu, sistahili upendo wa Mungu kwa ajili yangu.
II Moyo wangu umeamshwa sasa, ukiniambia ni lazima nilipe upendo wa Mungu. Najichukia kwa kuwa sikuwa na dhamira, kutomtii Mungu na kuvunja moyo wake. Kamwe sijawahi kuutunza moyo wa Mungu; kamwe sikuwahi kujishughulisha na maneno Yake. Bila dhamiri, kutokuwa na hisi, ni jinsi gani naweza kuorodheshwa kama mtu? Hukumu ya Mungu hunifanya nione, nilikuwa nimepotoshwa na Shetani kabisa. Maovu, dunia hii, iliyojaa mitego, Ukweli ndio muumini lazima achague. Ee Mungu mpenzi, Unanipenda sana, kufanya kila Unaloweza kunifanya niokolewe. Kile Ulichonifanyia, nitakiweka kwa kumbukumbu! Kamwe sitasahau milele. Utunzaji wa moyo wa Mungu, hayo ni mapenzi yangu yote. Nina kusudio la kufuata ukweli. Najishughulisha kugharimia rasilmali kwa ajili ya Mungu, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Ijumaa, 26 Januari 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko La Tano

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko La Tano

Wakati Roho Wangu anatoa sauti, Anaonyesha hali nzima ya tabia Yangu. Je, wewe unalifahamu hili? Kutolifahamu hili katika hatua hii itakuwa sawa na kunipinga moja kwa moja. Je umeona umuhimu ulioko humu? Je, unajua juhudi kiasi gani, kiasi gani cha nguvu, Ninatumia juu yako? Je, unaweza thubutu kuweka wazi kila ulichofanya mbele Yangu?

Alhamisi, 25 Januari 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Amri za Enzi Mpya

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Amri za Enzi Mpya

Mmeambiwa kuwa mjiandae kwa maneno ya Mungu, ya kuwa pasipo kujali kilichoandaliwa juu yenu, yote yamepangwa kwa mkono wa Mungu, na kwamba hakuna haja ya kuomba kwa bidii au kusali kwenu—haina maana. Ilhali kulingana na hali ya sasa, shida za kiutendaji mnazokumbana nazo hazitafakariki kwenu. Kama mnasubiri mipango ya Mungu tu, basi hatua zenu zitakaa zaidi, na kwa wale wasiojua kupitia kutakuwa na kulaza damu kwingi. Kwa hivyo, ikiwa umeshindwa kabisa kuyalewa mambo haya, basi umechanganyikiwa na kuwa mpumbavu katika uzoefu wako. Kama huna ukweli lakini maneno tu, je, si hii ni ishara ya makosa? Makosa mengi yanaonekana ndani yenu, kundi hili. Hivi leo, hamna uwezo wa kutimiza majaribu kama vile “watenda-huduma,” ama vinginevyo hamwezi kutafakari au kutimiza usafishaji mwingine unaohusiana na maneno ya Mungu. Lazima mzingatie mambo mengi ambayo mnahitajika kuyaweka katika matendo. Ambayo ni kusema kuwa watu lazima wafuate majukumu mengi wanayostahili kuyatekeleza. Hili ndilo watu wanalopaswa kufuata, na wanalostahili kufanya. Mruhusu Roho Mtakatifu afanye linalostahili kufanywa na Roho Mtakatifu; mwanadamu hawezi kuchangia lolote. Mwanadamu sharti atende yale ambayo lazima yatendwe na mwanadamu, ambayo hayana uhusiano na Roho Mtakatifu. Si lolote bali lile ambalo lazima litendwe na mwanadamu, na lazima lifuatwe kama amri, kama ufuasi wa sheria za Agano la Kale. Ingawa sasa si Enzi ya Sheria, kuna maneno mengi yanayoambatana na Enzi ya Sheria ambayo yanahitaji kufuatwa, na hayatendwi tu kwa kutegemea kuguswa na Roho Mtakatifu, lakini ni yale yanayostahili kufuatwa na wanadamu. Kwa mfano: Hupaswi kuihukumu kazi ya Mungu wa vitendo. Hupaswi kumpinga mtu aliyeshuhudiwa na Mungu. Mbele za Mungu, utahifadhi nafasi yako, na hutakuwa mwovu. Matamshi yako yanapaswa yawe wastani, na maneno yako na matendo yako yanapaswa kufuata mpangilio wa mwanadamu aliyeshuhudiwa na Mungu. Unapaswa kuheshimu ushuhuda wa Mungu. Usipuuze kazi ya Mungu wala maneno ya kinywa chake. Usiige sauti na malengo ya matamshi ya Mungu. Kwa nje, usifanye lolote linalodhihirisha kumpinga mtu anayeshuhudiwa na Mungu. Haya na mengine ndiyo yanayopaswa kufuatwa na kila mmoja. Katika kila enzi, Mungu hutaja amri nyingi zinazoambatana na amri na zinazopaswa kufuatwa na mwanadamu. Kupitia hili, anashurutisha tabia ya mwanadamu, na kugundua ukweli wake. Tazama maneno “Onyesha heshima kwa baba na mama yako” kutoka kwa nyakati za Agano la Kale, kwa mfano. Maneno haya hayatumiki hivi leo; wakati huo, yalizuia tabia zingine za mwanadamu tu, yalitumika kuonyesha ukweli wa imani ya mwanadamu kwa Mungu, na yalikuwa alama ya wale waliomwamini Mungu. Ingawa sasa ni Enzi ya Ufalme, bado kuna amri nyingi ambazo mwanadamu lazima azifuate. Amri za kale hazitumiki; leo, kuna mazoea mengi, mwafaka kwa mwanaadamu kutekeleza, na ambayo ni muhimu. Hayahusiani na kazi ya Roho Mtakatifu na lazima yatendwe na mwanadamu.

Katika Enzi ya Neema, mazoea mengi ya Enzi ya Sheria yaliondolewa kwa sababu sheria hizi hazikufanikisha hasa kazi ya wakati huo. Baada ya kuondolewa, mazoea mengi yaliwekwa ambayo yalifaa enzi hiyo, na ambayo yamekuwa amri nyingi za sasa. Mungu wa wakati huu alipokuja, kanuni hizi zilitupiliwa mbali, na hazikuhitajika kufuatwa tena, na mazoea mengi ambayo yalifaa kazi ya wakati huu yakawekwa. Leo, mazoea haya si kanuni, lakini ili kuwa na athari; ni mazuri kwa ajili ya leo–na kesho, pengine, yatakuwa kanuni. Kwa ujumla, unafaa kufuata yale ambayo yatafanikisha kazi ya leo. Usizingatie kesho: Yanayofanywa leo ni kwa ajili ya leo. Pengine kesho kutakuwa na mazoea mazuri ambayo utahitajika kutekeleza—lakini usizingatie hayo sana, yafuate yanayofaa kufuatwa leo ili uepuke kumpinga Mungu. Leo, hakuna lolote muhimu analopaswa kufuata mwanadamu zaidi ya yafuatayo: Usimdanganye au kumficha Mungu lolote lililoko mbele ya macho yako. Usizungumze uchafu ama matamshi ya kiburi mbele ya Mungu aliye mbele yako. Usimdanganye Mungu mbele ya macho yako kwa maneno mazuri wala kwa maneno ya kuridhisha ili uweze kujipatia uaminifu Wake. Usitende kinyume na maadili mbele za Mungu. Tii yote yatokayo kinywani mwa Mungu, wala usikatae, usipinge, ama kubisha maneno Yake. Usitafsiri unavyoona kuwa sawa, maneno yanayonenwa kutoka kinywani mwa Mungu. Chunga ulimi wako ili usikutie katika mtego wa yule mwovu. Unapaswa kulinda nyayo zako ili kuepuka kupita mipaka uliowekewa na Mungu. Kufanya hivyo kutakufanya uzungumze maneno ya majivuno na yenye fahari kuu kulingana na mtazamo wa Mungu, na hivyo kufanya uchukiwe na Mungu. Usirudierudie maneno ya kinywa cha Mungu bila mpango, usije ukadhihakiwa na wengine na kufanywa kuwa mjinga na mapepo. Tii kazi yote ya Mungu wa leo. Hata ikiwa hauifahamu, usiihukumu; unachoweza kufanya ni kutafuta na kushiriki. Hakuna mtu anayestahili kupatendea dhambi mahali pa Mungu pa asili. Huwezi kufanya lolote ila kumhudumia Mungu wa leo kwa mtazamo wa mwanadamu. Huwezi kumfunza Mungu wa leo kwa mtazamo wa mwanadamu—kufanya hivyo ni kupotoka. Hakuna anayeweza kusimama kwa niaba ya mtu aliyeshuhudiwa na Mungu; katika maneno yako, matendo, na mawazo yako ya ndani, unasimama katika nafasi ya mwanadamu. Hili ni la kufuatwa, ni wajibu wa mwanadamu, hakuna anayeweza kulibadilisha, na kufanya hivyo ni ukiukaji wa amri za utawala. Inapaswa kukumbukwa na kila mtu.

Muda mrefu ambao Mungu ametumia kuzungumza na kutamka kumemfanya mwanadamu kufikiria kusoma na kukariri maneno ya Mungu kuwa ndio wajibu wake wa kimsingi. Hakuna anayezingatia kuyatenda, ama hata yale mnayopaswa kufuata hamyafuati, kwa hivyo hili limeleta ugumu na matatizo mengi kwa huduma yenu. Ikiwa, kabla ya kutenda maneno ya Mungu, hujayafuata yale unayopaswa kufuata, basi wewe ni mmoja wa wale wanaochukiwa na kukataliwa na Mungu. Kwa kufuata matendo haya, unapaswa kuwa na bidii na uaminifu. Hufai kuyachukua kuwa kama minyororo, ila uyafuate kama amri. Leo, hupaswi kuzingatia athari ambazo zinatarajiwa kufikiwa; kwa ufupi, hivi ndivyo Roho Mtakatifu anavyofanya kazi, na yeyote atakayefanya kosa lazima afe. Roho Mtakatifu hana hisia, na hazingatii ufahamu wako wa sasa. Ukimkosea leo, basi Atakuadhibu. Ukimkosea ndani ya wigo wa mamlaka Yake, basi Hatakuachilia bure. Hajali jinsi gani ulivyo makini katika kufuata maneno ya Yesu. Leo, ukifanya maovu utahukumiwa kifo. Je, itakubalika vipi kwako wewe kutofuata? Lazima ufuate—hata kama italeta mateso na uchungu! Bila kujali ni dini, kundi, taifa, ama dhehebu gani, katika siku zijazo lazima wote wafuate mazoea haya. Hakuna yaliyosamehewa, na hakuna yatakayoachwa! Kwa sababu ndiyo yatakayotekelezwa na Roho Mtakatifu leo, na hayawezi kukosewa kwa wote. Ingawa si mambo makuu, lazima yatendwe na kila mtu, na ni amri zilizowekwa kwa mwanadamu na Yesu, aliyefufuka na kupaa mbinguni. Je, “Njia … (7)” haisemi kuwa ufafanuzi wa Yesu, ya kama wewe ni mwenye haki au mwenye dhambi, ni kwa mujibu wa mtazamo wako kwa Mungu leo? Hakuna anayefaa kupuuza suala hili. Katika Agano la Kale, kizazi baada ya kizazi cha Mafarisayo kilimwamini Mungu, lakini katika ujio wa Enzi ya Neema, hawakumfahamu Yesu, na walimpinga. Hivyo basi, yote waliyoyafanya yakawa hayana maana na ikawa kazi bure na Mungu hakuyakubali. Ukiweza kuelewa hili basi hutakuwa mwepesi wa kutenda dhambi. Watu wengi, pengine, wamejipima dhidi ya Mungu. Je, kumpinga Mungu kuna ladha ipi, chungu au tamu? Unapaswa kuelewa hili—usijifanye kuwa hujui. Mioyoni mwao, pengine, wengine wamesalia kutoshawishika. Bali Nakushauri, ulijaribu na kuona—hisi jinsi ladha yake ilivyo. Hili litawazuia wengi kuwa na shaka kulihusu. Watu wengi husoma maneno ya Mungu lakini wanampinga mioyoni mwao kwa siri. Baada ya kumpinga hivi, je, huhisi kama kisu kimepindwa moyoni mwako? Kama si utengano wa familia, basi ni usumbufu wa mwilini, ama mateso ya wana wa kiume na mabinti. Ingawa mwili wako umeepushwa na kifo, mkono wa Mungu kamwe hautakuacha. Je, unafikiri linaweza kuwa duni hivyo? Hasa, ni muhimu hata zaidi kwa wengi waliomkaribia Mungu kuzingatia hili. Muda unapoendelea, utalisahau, na, pasipo kujua, utaingia majaribuni, utaghafilika kwa kila kitu, na huu utakuwa mwanzo wako wa kutenda dhambi. Je, hili linaonekana duni kwako? Ikiwa utaweza kufanya hili vyema, basi una nafasi ya kufanywa mkamilifu—kupokea mwongozo kutoka kwa kinywa cha Mungu mbele za Mungu. Ikiwa huoni kama hili ni la muhimu, basi utakuwa taabani—utamwasi Mungu, maneno yako na matendo yatakuwa maovu, na punde au baadaye, utabebwa na dhoruba na mawimbi makuu. Mambo haya yanapaswa kuzingatiwa na kila mmoja wenu. Mtu aliyeshuhudiwa na Mungu anaweza akakosa kuwalaani, lakini Roho wa Mungu hajamalizana na wewe. Hatakuhurumia. Je, unadhania kwamba una uwezo wa kufanya makosa? Kwa hivyo, lolote Asemalo Mungu, lazima utie katika vitendo maneno yake, na kuyafuata kwa njia zozote unazoweza. Hili si jambo duni!

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Swahili Christian Movie "Maskani Yangu Yako Wapi" | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Swahili Christian Movie "Maskani Yangu Yako Wapi" | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Wazazi wa Wenya walitengana alipokuwa na umri wa miaka miwili, na baada ya hapo aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mamake wa kambo hakuweza kumvumilia na daima alikuwa akibishana na baba yake. Alikuwa na chaguo dogo — alilazimika kumpeleka Wenya nyumbani kwa mama yake, lakini mama yake alilenga kikamilifu kuendesha biashara yake na hakuwa na muda wa kumtunza Wenya, hivyo mara nyingi alipelekwa nyumbani kwa jamaa na marafiki zake kupata ulezi. Baada ya miaka mingi sana ya maisha ya kutunzwa na walezi, Wenya alihisi upweke na asiyejiweza, na alitamani ukunjufu wa nyumbani. Ni wakati tu ambapo baba yake na mama wa kambo walitangua ndoa ndipo alirudi upande wa baba yake, na kuanzia hapo na kuendelea alikuwa na nyumbani, wakati mzuri au mbaya. Mara Wenya alipokua, alikuwa mwangalifu na mtiifu sana, na alisoma kwa bidii. Lakini wakati ule ule alipokuwa akitia bidii ili kujiandaa kwa ajili ya mitihani yake ya kuingilia chuo, msiba ulimfika: mama yake alikuwa na hemoraji ya ubongo na akapooza na kuwa mgonjwa kitandani. Babake wa kambo alimtelekeza mama yake na hata kuchukua udhibiti juu ya mali yake yote, na kisha babake akapelekwa hospitalini kwa ajili ya saratani ya ini... Wenya hangeweza kabisa kujitwisha mzigo wa kaya, hivyo yote ambayo angeweza kufanya ni kuwasihi jamaa na marafiki, lakini alikataliwa. …
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumatano, 24 Januari 2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,wimbo wa Kikristo

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

I Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah … Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu. Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu. Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu. Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja. Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …
II Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni. Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja. Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo. Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro. Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
III Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana. Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu. Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana. Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho. Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza. Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumanne, 23 Januari 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 39. Tofauti Kati Ya Mabadiliko Ya Nje Na Mabadiliko Katika Tabia

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 39. Tofauti Kati Ya Mabadiliko Ya Nje Na Mabadiliko Katika Tabia

Ni nini mnafahamu kuhusu mabadiliko katika tabia? Asili ya mabadiliko katika tabia na mabadiliko katika mwenendo ni tofauti, na mabadiliko katika matendo pia ni tofauti—yote ni tofauti kwa asili. Watu wengi wanaweka mkazo maalum kwa tabia yao katika imani yao kwa Mungu, matokeo yakiwa mabadiliko yanayofanyika katika mienendo yao.

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kama Nisingeokolewa na Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kama Nisingeokolewa na Mungu

I Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu, nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani, kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje. Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
II Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumatatu, 22 Januari 2018

Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo


Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo

Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini. Ninapoasi, Unauficha uso Wako, giza likinifunika. Ninaporudi Kwako, Unaonyesha neema, Unatabasamu ili kukumbatia. Shetani anaponipiga, Unatibu vidonda vyangu, Unaupa joto moyo wangu. Shetani anaponiumiza, Uko nami kuanzia mwanzo hadi mwisho wa majaribu. Alfajiri itafika karibuni, na anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami.
Wewe ni uhai wangu, Wewe ni Bwana wangu. Mwenzi wa kila siku, kivuli cha karibu kando yangu. Ukinifunza jinsi ya kuwa binadamu na kunipa ukweli na uhai. Pamoja na Wewe maisha yangu yanasonga mbele kwa utukufu . Bila chaguo langu, natii amri Yako. Kuwa kiumbe wa kweli, narudi upande Wako. Kuishi katika uwepo Wako, nazungumza na Wewe na kusikia sauti Yako. Hutangoja tena katika umbali mpweke. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari au matatizo, naweza kuvikabili. Pamoja na Wewe, safari hazitakuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali, wakati Uko nami. Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba tena. Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena. Pamoja na Wewe kando yangu, hatari na matatizo, naweza kuvikumba. Pamoja na Wewe, safari haziwezi kuwa ngumu sana. Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo, zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza. Alfajiri itafika karibuni, anga itang’aa samawati kama awali. Niko pamoja na Wewe.
kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Uimbe Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki ,nyimbo za injili
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Umekuwa Hai Tena?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Umekuwa Hai Tena?

Baada ya kutimiza kuishi kulingana na ubinadamu wa kawaida, na umefanywa mkamilifu, ingawa utakuwa huwezi kunena unabii, wala siri zozote, utakuwa unaishi kulingana na kufichua taswira ya mwanadamu. Mungu alimuumba mwanadamu, baada ya hapo mwanadamu akaharibiwa na Shetani, na uharibifu huu umewafanya watu wawe maiti—na hivyo, baada ya kuwa umebadilika, utakuwa tofauti na maiti hizi.

Jumapili, 21 Januari 2018

Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki , Mwenyezi Mungu,

Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu

Mwenyezi Mungu alisema, Katika kipindi kile ambacho Petro alikuwa na Yesu, aliona sifa nyingi za kupendeza ndani ya Yesu, hali nyingi zenye za kustahili kuigwa, na nyingi ambazo zilimkimu. Ingawa Petro aliona nafsi ya Mungu ndani ya Yesu katika njia nyingi, na kuona sifa nyingi za kupendeza, mara ya kwanza hakumjua Yesu. Petro alianza kumfuata Yesu alipokuwa na umri wa miaka 20, na akaendelea kufanya hivyo kwa miaka sita. Katika kipindi hiki cha muda, hakuwahi kupata kumjua Yesu, lakini alikuwa radhi kumfuata kutokana na kuvutiwa na Yeye tu. Wakati Yesu alipomwita kwanza kwenye ufuko wa Bahari ya Galilaya, Aliuliza: “Simioni, mwana wa Yona, je, utanifuata?” Petro akasema: “Lazima nimfuate yeye aliyetumwa na Baba wa mbinguni. Lazima nimtambue yule aliyechaguliwa na Roho Mtakatifu. Nitakufuata.” Wakati huo, Petro alikuwa amesikia kuhusu mwanamume mmoja aliyeitwa Yesu, nabii mkubwa zaidi kuliko wote, Mwana mpendwa wa Mungu, na Petro alikuwa akitumai kila wakati kumpata, akitumai kupata fursa ya kumwona Yeye (kwa sababu hivyo ndivyo alivyoongozwa wakati huo na Roho Mtakatifu). Ingawa alikuwa hajawahi kumwona Yeye na alikuwa amesikia tu uvumi kuhusu Yeye, kwa utaratibu tamanio na kivutio cha kumwabudu Yesu vyote vikaongezeka katika moyo wake, na mara nyingi alitamani siku ile atakayomtazama Yesu. Na Yesu alimwitaje Petro? Yeye pia alikuwa amesikia habari za mwanamume aliyeitwa Petro, na si kwamba Roho Mtakatifu alimwagiza: “Nenda katika Bahari ya Galilaya, pale ambapo kunaye bwana mmoja anayeitwa Simioni, mwana wa Yona.” Yesu alimsikia mtu akisema kwamba kulikuwa na bwana mmoja aliyeitwa Simioni, mwana wa Yona, na kwamba watu walikuwa wamesikia mahubiri yake, kwamba yeye pia alihubiri injili ya ufalme wa mbinguni, na kwamba watu waliomsikiliza waliguswa kiasi cha wote kutokwa na machozi. Baada ya kusikia haya, Yesu alimfuata mtu huyu, na kuelekea kwenye Bahari ya Galilaya; wakati Petro alipoukubali mwito wa Yesu, alimfuata.
Katika kipindi hiki akimfuata Yesu, alikuwa na maoni mengi kuhusu Yeye na siku zote Alimhukumu kutokana na mtazamo wake. Ingawa alikuwa na kiwango fulani cha ufahamu wa Roho Mtakatifu, Petro hakuwa ametiwa nuru sana, na haya yanaonekana katika maneno yake aliposema: “Lazima nimfuate yeye aliyetumwa na Baba wa mbinguni. Lazima nimtambue yule aliyechaguliwa na Roho Mtakatifu.” Hakuelewa mambo yale ambayo Yesu alifanya na wala hakupata nuru yoyote. Baada ya kumfuata kwa muda fulani alivutiwa kwa kile alichofanya Yeye na kusema, na kwa Yesu Mwenyewe. Alikuja kuhisi kwamba Yesu alivutia upendo na heshima; alipenda kujihusisha na Yeye na kuwa kando Yake, na kusikiliza maneno Yake Yesu kulimpa ruzuku na msaada. Katika kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu kuhusu maisha Yake: Matendo Yake, maneno Yake, mwendo Wake na maonyesho Yake. Alipata ufahamu wa kina kwamba Yesu hakuwa kama binadamu wa kawaida. Ingawa mwonekano Wake wa binadamu ulikuwa wa kawaida kabisa, Alijaa upendo, huruma, na ustahimilivu kwa binadamu. Kila kitu alichokifanya au kusema kilikuwa chenye msaada mkubwa kwa wengine, na akiwa kando Yake, Petro aliona na kujifunza mambo ambayo hakuwahi kuyaona wala kuyasikia awali. Aliona kwamba ingawa Yesu hakuwa na kimo kikubwa wala ubinadamu usio wa kawaida, Alikuwa na umbo la ajabu na lisilo la kawaida kwa kweli. Ingawa Petro hakuweza kuyafafanua kabisa, aliweza kuona kwamba Yesu alikuwa na mwenendo tofauti na kila mtu mwingine, kwani Aliyafanya mambo yaliyokuwa tofauti kabisa na yale yaliyofanywa na binadamu wa kawaida. Tangu wakati huo akiwa na Yesu, Petro alitambua pia kwamba hulka Yake ilikuwa tofauti na ile ya binadamu wa kawaida. Siku zote alikuwa na mwenendo dhabiti na hakuwahi kuwa na haraka, hakupigia chuku wala kupuuza chochote, na aliyaishi maisha Yake kwa njia iliyokuwa ya kawaida na ya kuvutia. Katika mazungumzo, Yesu alikuwa mwenye madaha na uzuri, mwenye uwazi na mchangamfu ilhali pia mtulivu, na Hakuwahi kupoteza heshima Yake katika utekelezaji wa kazi Yake. Petro aliona kwamba Yesu wakati mwingine alikuwa mnyamavu, ilhali nyakati nyingine alizungumza kwa mfululizo. Wakati mwingine Alikuwa na furaha sana kiasi cha kwamba aligeuka na kuwa mwepesi na mchangamfu kama njiwa, na ilhali nyakati nyingine Alihuzunika sana kiasi cha kwamba hakuzungumza kamwe, ni kana kwamba alikuwa mama aliyeathirika na hali ya hewa. Nyakati nyingine Alijawa na hasira, kama askari jasiri anayefyatuka kuwaua adui, na wakati mwingine hata kama simba anayenguruma. Nyakati nyingine Alicheka; nyakati nyingine aliomba na kulia. Haijalishi ni vipi Yesu alivyotenda, Petro alizidi kuwa na upendo na heshima isiyokuwa na mipaka Kwake. Kicheko cha Yesu kilimjaza kwa furaha, huzuni Yake ikamtia simanzi, hasira Yake ikamtetemesha, huku huruma Zake, msamaha na ukali vyote vikamfanya kuja kumpenda Yesu kwa kweli, na akaweza kumcha na kumtamani kwa kweli. Bila shaka, Petro alikuja kutambua haya yote kwa utaratibu baada ya kuishi kando yake Yesu kwa miaka michache.
Petro alikuwa ni binadamu mwenye akili, aliyekuwa na akili za asili, ilhali aliyafanya mambo mengi ya kijinga alipokuwa akimfuata Yesu. Mwanzoni kabisa, alikuwa na fikira fulani kuhusu Yesu. Aliuliza: “Watu wanasema kuwa Wewe ni nabii, kwa hiyo ulipokuwa na umri wa miaka minane na mkomavu vya kutosha kutambua mambo, je ulijua kuwa Wewe ni Mungu? Je ulijua kwamba mimba Yako ilitungwa na Roho Mtakatifu?” Yesu alijibu: “La, Sikujua! Kwani Sionekani kama mtu wa kawaida tu kwako? Mimi niko sawa na mtu yeyote mwingine yule. Yule mtu Baba hutuma ni mtu wa kawaida, na wala si mtu asiyekuwa wa kawaida. Na Ingawa kazi Ninayofanya inawakilisha Baba Yangu wa mbinguni, taswira Yangu, hulka Yangu na mwili Wangu haviwezi kuwakilisha kikamilifu Baba Yangu wa mbinguni, ni sehemu moja tu Yake. Ingawa Nilitoka kwenye Roho, Mimi Ningali mtu wa kawaida, naye Baba Yangu alinituma Mimi hapa ulimwenguni kama mtu wa kawaida, wala si mtu asiyekuwa wa kawaida.” Ni wakati tu Petro aliposikia haya ndipo alipopata ufahamu kidogo kuhusu Yesu. Na ilikuwa tu baada ya kupitia saa nyingi zisizohesabika za kazi ya Yesu, mafunzo Yake, uchungaji Wake, na ruzuku Yake, ndipo alipopata ufahamu wa kina zaidi. Katika mwaka Wake wa 30, Yesu alimwambia Petro kuhusu kusulubishwa Kwake kujako, kwamba Alikuwa amekuja kufanya kazi ya kusulubishwa ili kukomboa wanadamu wote. Alimwambia pia kwamba siku tatu baada ya kusulubishwa Kwake, Mwana wa Adamu angefufuka tena, na baada ya kufufuka Angeonekana kwa watu kwa siku 40. Petro alikuwa na huzuni baada ya kusikia maneno haya, lakini akawa karibu zaidi na Yesu huku akiathiriwa na maneno Yake.
Baada ya kushuhudia mambo haya kwa muda fulani, Petro alikuja kutambua kwamba kila kitu Yesu alichofanya kilitokana na nafsi ya Mungu, na akaja kufikiria kwamba Yesu alikuwa wa kupendeka ajabu. Pale tu alipokuja kuwa na uelewa huu ndipo Roho Mtakatifu alimtia nuru kutoka ndani yake. Kisha Yesu akawageukia wanafunzi wake na wafuasi wengine na kusema: “Yohana, wewe unasema Mimi ni nani?” Yohana akajibu: “Wewe ni Musa.” Kisha akamgeukia Luka: “Na wewe, Luka, wewe unasema Mimi ni nani?” Luka akajibu: “Wewe ndiwe mkubwa zaidi kati ya manabii.” Kisha akamwuliza mtawa: “Wewe nawe unasema Mimi ni nani?” Mtawa akajibu: “Wewe ndiwe nabii mkubwa zaidi anayeongea maneno mengi kutoka milele hadi milele. Hakuna unabii wa yeyote yule mwingine ambao ni mkubwa kama Wako, wala hekima ya yeyote yule mwingine kubwa kama Yako; Wewe ni nabii.” Kisha Yesu akamgeukia Petro na kuuliza: “Petro, wewe nawe unasema Mimi ni nani?” Petro akajibu: “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Aliye hai. Unatoka mbinguni, Wewe si wa ulimwenguni, Wewe si sawa na viumbe wa Mungu. Sisi tuko ulimwenguni na Wewe u pamoja nasi hapa, lakini Wewe ni wa mbinguni, Wewe si wa ulimwengu, na Wewe si wa ulimwengu.” Ni kupitia katika uzoefu wake ndipo Roho Mtakatifu alipomtia nuru, hali iliyomwezesha kuwa na uelewa huu. Baada ya nuru hii, alivutiwa na kila kitu ambacho Yesu alikuwa amefanya hata zaidi, alimfikiria Yeye kuwa wa kupendeka hata zaidi, na siku zote alikuwa moyoni mwake asitake kutengana na Yesu. Kwa hiyo, mara ya kwanza Yesu alipojifichua kwake Petro baada ya kusulubishwa na kufufuka Petro alilia kwa furaha ya kipekee: “Bwana! Umefufuka!” Kisha, huku akilia, alimvua samaki mkubwa ajabu, akampika na kumpakulia Yesu. Yesu alitabasamu, lakini hakuongea. Ingawa Petro alijua Yesu alikuwa amefufuka, hakuelewa fumbo hilo. Alipompa Yesu samaki yule kumla, Yesu hakukataa na ilhali hakuongea wala kuketi chini kula, lakini badala yake alitoweka ghafla. Huu ulikuwa ni mshtuko wa ajabu kwake Petro, na hapo tu ndipo alipoelewa ya kwamba yule Yesu aliyefufuka alikuwa tofauti na yule Yesu wa awali. Baada ya kutambua hili, Petro alihuzunika, lakini pia akapata tulizo kwa kujua kwamba Bwana alikuwa amekamilisha kazi Yake. Alijua kwamba Yesu alikuwa amekamilisha kazi Yake, kwamba muda Wake wa kukaa na binadamu ulikuwa umeisha, na kwamba binadamu angelazimika kutembea kwa njia yake mwenyewe kuanzia hapo kuendelea. Yesu aliwahi kumwambia: “Lazima pia unywe kutoka kwenye kikombe kikali nilichonywea Mimi (hili ndilo alilomwambia baada ya kufufuka), lazima wewe pia utembee njia niliyotembea Mimi, lazima uyapoteze maisha yako kwa ajili Yangu.” Tofauti na sasa, kazi wakati huo haikuchukua mfumo wa mazungumzo ya uso kwa uso. Katika Enzi ya Neema, kazi ya Roho Mtakatifu ilikuwa fiche sana, naye Petro aliteseka katika ugumu mwingi, na wakati mwingine angefikia kiwango cha kumaka: “Mungu! Sina chochote ila maisha haya. Ingawa hayana thamani nyingi Kwako, ningependa kuyatoa Kwako. Ingawa binadamu hawastahili kukupenda, na upendo wao na mioyo yao haina thamani, naamini kwamba unaweza kuona nia iliyomo ndani ya mioyo ya binadamu. Na hata ingawa miili ya binadamu haifikii ridhaa Yako, ningependa Wewe uweze kuukubali moyo wangu.” Baada ya kutamka maombi haya angetiwa moyo, haswa wakati alipoomba: “Nitautoa moyo wangu wote kwa Mungu. Ingawa siwezi kumfanyia Mungu chochote, nitamtosheleza Mungu kwa utiifu na kujitolea Kwake kwa moyo wangu wote. Ninaamini Mungu lazima auangalie moyo wangu.” Alisema: “Siombi chochote katika maisha yangu ila fikira zangu za upendo kwa Mungu na tamanio la moyo wangu kuweza kukubaliwa na Mungu. Nilikuwa naye Bwana Yesu kwa muda mrefu, ilhali sikuwahi kumpenda Yeye, hili ndilo deni langu kubwa zaidi. Ingawa niliishi na Yeye, sikumjua, na hata nilizungumza maneno yasiyofaa kama Hayupo. Kufikiria kuhusu mambo haya kunanifanya kuhisi ni kana kwamba napaswa kumshukuru zaidi Bwana Yesu.” Siku zote aliomba kwa njia hii. Alisema: “Mimi ni duni kuliko vumbi. Siwezi kufanya chochote ila kuutoa moyo huu mtiifu kwa Mungu.”
Kulikuwepo na kilele katika yale Petro alipitia, wakati mwili wake ulikuwa karibu kunyenyekea kabisa, lakini Yesu akamtia moyo ndani. Na akajitokeza kwake mara moja. Wakati Petro alikuwa katika mateso makuu na alisikitika, Yesu alimwelekeza: “Ulikuwa na Mimi ulimwenguni, na Nilikuwa na wewe hapa. Na Ingawa awali tulikuwa pamoja mbinguni, hata hivyo, ni ya ulimwengu wa kiroho. Sasa Nimerudi katika ulimwengu wa kiroho, na wewe umo ulimwenguni. Kwani Mimi si wa ulimwengu, na Ingawa wewe pia si wa ulimwengu, lazima utimize kazi yako hapa ulimwenguni. Kwani wewe ni mtumishi, lazima uwajibike kwa njia bora zaidi uwezayo.” Petro alipata tulizo, kwa kusikia kwamba angeweza kurudi kwa upande wa Mungu. Wakati Petro alipokuwa katika masumbuko hayo kiasi kwamba karibu awe mahututi kitandani, alisikitika kiasi cha kusema hivi: “Nimepotoka kwelikweli, siwezi kumtosheleza Mungu.” Yesu alijitokeza kwake na kusema: “Petro, huenda ikawa umesahau azimio ulilowahi kutoa mbele Yangu? Je, kwa kweli umesahau kila kitu Nilichosema? Umesahau azimio ulilonitolea?” Petro aliona kwamba alikuwa Yesu na akainuka kutoka kitandani, naye Yesu akamfariji : “Mimi si wa ulimwengu, tayari Nimekuambia wewe—hili lazima uelewe, lakini umesahau kitu kingine Nilichokuambia? ‘Wewe pia si wa ulimwengu, si wa dunia.’ Sasa hivi kunayo kazi unayohitaji kufanya, huwezi kuhuzunika namna hivi, huwezi kuteseka hivi. Ingawa binadamu na Mungu hawawezi kuishi pamoja katika ulimwengu mmoja, Ninayo kazi Yangu na wewe unayo yako, na siku moja wakati kazi yako imekamilika, tutakuwa pamoja katika himaya moja, nami Nitakuongoza wewe kuwa pamoja Nami milele na milele.” Petro alipata tulizo na hakikisho baada ya kuyasikia maneno hayo. Alijua kwamba kuteseka huku kulikuwa ni jambo ambalo lazima angevumilia na kupitia, na akatiwa msukumo kuanzia hapo kuendelea. Yesu alijitokeza haswa kwake katika kila muda muhimu, akimpa nuru na mwongozo maalum, na akifanya kazi nyingi ndani yake. Na ni nini ambacho Petro alijutia zaidi? Yesu alimwuliza Petro swali jingine (ingawa haijarekodiwa katika Biblia kwa njia hii) si kipindi kirefu baadaye Petro alikuwa amesema “Wewe ndiwe Mwana wa Mungu aliye hai,” nalo swali lenyewe lilikuwa: “Petro! Umewahi kunipenda?” Petro alielewa kile alichomaanisha, na kusema: “Bwana! Niliwahi kumpenda Baba wa mbinguni, lakini nakubali sijawahi kukupenda Wewe.” Yesu naye akasema: “Kama watu hawampendi Baba wa mbinguni, watawezaje kumpenda Mwana hapa ulimwenguni? Na kama watu hawampendi Mwana aliyetumwa na Mungu, Baba, wanawezaje kumpenda Baba aliye mbinguni? Kama kweli watu wanampenda Mwana aliye ulimwenguni, basi kwa kweli wanampenda Baba aliye mbinguni.” Wakati Petro alipoyasikia maneno haya aligundua upungufu wake. Siku zote alihisi huzuni hadi kiwango cha kulia kutokana na maneno yake “niliwahi kumpenda Baba wa mbinguni, lakini sikuwahi kukupenda Wewe.” Baada ya ufufuo na kupaa angani kwa Yesu alihuzunika na kuwa na simanzi zaidi kwa yale yote yaliyokuwa yamefanyika. Huku akikumbuka kazi yake iliyopita na kimo chake cha sasa, mara nyingi angekuja mbele ya Yesu kwa maombi, siku zote akiwa na hisia za majuto na masikitiko kwa kutoweza kwake kutosheleza tamanio la Mungu, na kutoweza kufikia viwango vya Mungu. Masuala haya yakawa ndiyo mzigo wake mkubwa. Alisema: “Siku moja nitatoa kila kitu nilicho nacho na kila nilicho, nitakupa kile chenye thamani zaidi.” Alisema: “Mungu! Ninayo imani moja tu na upendo mmoja tu. Maisha yangu hayana thamani, na mwili wangu hauna thamani. Ninayo imani moja tu na upendo mmoja tu. Ninayo imani kwako Wewe katika akili yangu na upendo Kwako wewe katika moyo wangu; mambo haya mawili tu ndiyo niliyonayo kukupatia Wewe, na wala sina kingine chochote.” Petro alihimizwa pakubwa na maneno yake Yesu, kwa sababu kabla ya Yesu kusulubishwa alikuwa amemwambia: “Mimi si wa ulimwengu huu, na wewe pia si wa ulimwengu huu.” Baadaye, wakati Petro alipofikia hali ya maumivu makali, Yesu alimkumbusha: “Petro, je, umesahau? Mimi si wa ulimwengu huu, na ni kwa ajili tu ya kazi Yangu ndipo Niliondoka mapema. Wewe pia si wa ulimwengu huu, umesahau? Nimekuambia mara mbili, kwani hukumbuki?” Petro alimsikia na kumwambia: “Sijasahau!” Yesu naye akasema: “Uliwahi kuwa na wakati mzuri ukiwa umekusanyika pamoja na Mimi kule mbinguni na kwa kipindi fulani kando Yangu mimi. Unanidata Mimi, na Mimi ninakudata. Ingawa viumbe hawa hawastahili kutajwa machoni Pangu, ninawezaje kukosa kupenda yule ambaye hana hatia na anapendeka? Je, umesahau ahadi Yangu? Lazima ulikubali agizo Langu hapa ulimwenguni, lazima utimize kazi Niliyokuaminia. Bila shaka siku moja Nitakuongoza kuwa kando Yangu.” Baada ya kuyasikia haya, Petro akahimizwa zaidi, na kupata msukumo mkubwa zaidi, kiasi cha kwamba alipokuwa msalabani, aliweza kusema hivi: “Mungu! Siwezi kukupenda vya kutosha! Hata ukiniomba nife, siwezi bado kukupenda vya kutosha! Popote Utakapotuma nafsi yangu, utimize au ukose kutimiza ahadi Zako, chochote ufanyacho baadaye, ninakupenda na ninakuamini.” Kile alichoshikilia kilikuwa imani yake, na upendo wa kweli.
Jioni moja, wanafunzi mbalimbali, akiwemo Petro, walikuwa kwenye mashua ya kuvulia samaki. Walikuwa pamoja naye Yesu, naye Petro akamwuliza Yesu swali la kijinga sana: “Bwana! kunalo swali ambalo nimekuwa nalo kwa muda mrefu sana ambalo ningependa kukuuliza Wewe.” Yesu akajibu: “Basi uliza tafadhali!” Petro naye akauliza: “Je, kazi iliyofanywa kwenye Enzi ya Sheria ilitokana na Wewe?” Yesu akatabasamu, kana kwamba alikuwa akisema: “Huyu mtoto, jinsi alivyo mjinga!” Kisha akaendelea kwa kusudio: “Haikuwa kazi Yangu hiyo, ilikuwa kazi ya Yehova na Musa.” Petro akasikia haya na kushangaa: “Salaale! Kwa hivyo haikuwa kazi Yako.” Punde tu Petro aliposema hayo, Yesu hakuongea tena. Petro akajiwazia: “Si Wewe uliyefanya kazi hiyo, kwa hiyo ndiyo maana umekuja kuiangamiza sheria, kwani hiyo haikuwa kazi Yako.” Moyo wake ukapata tulizo pia. Baadaye, Yesu akatambua kwamba Petro alikuwa mjinga kiasi, lakini kwa sababu hakuwa na utambuzi wowote wakati huo, Yesu hakusema chochote kingine au kumkemea waziwazi. Siku moja Yesu alihubiri kwenye sinagogi, na watu wengi walikuwepo, akiwemo Petro, ili waweze kumsikiliza akihubiri. Yesu akasema: “Yule atakayekuja kutoka milele hadi milele atafanya kazi ya ukombozi katika Enzi ya Neema, kuwakomboa wanadamu wote kutoka kwa dhambi, lakini, hatazuiliwa na taratibu zozote katika kumwongoza binadamu nje ya dhambi. Atatembea kutoka kwa sheria na kuingia katika Enzi ya Neema. Atakomboa wanadamu wote. Atapiga hatua mbele kutoka kwa Enzi ya Sheria hadi kwa ile Enzi ya Neema, ilhali hakuna atakayemjua Yeye, Yule aliyekuja kutoka kwa Yehova. Kazi aliyofanya Musa alipewa na Yehova; Musa aliziandika sheria kwa sababu ya ile kazi ambayo Yehova alikuwa amefanya.” Baada ya kusema hili, aliendelea: “Wale watakaotupilia mbali mafundisho ya Enzi ya Neema katika Enzi ya Neema watakumbana na janga. Lazima wasimame katika hekalu na kupokea maangamizo ya Mungu, nao moto utawajia.” Baada ya Petro kumaliza kusikiliza haya, alikuwa na mwitikio wa aina fulani. Katika kipindi cha kile alichopitia, Yesu alichunga na kumtunza Petro, huku akiongea naye kwa dhati, jambo ambalo lilimpatia Petro ufahamu bora zaidi kiasi kuhusu Yesu. Wakati Petro alipokuwa akifikiria kuhusu mahubiri ya Yesu ya siku hiyo, kisha swali alilowahi kumwuliza Yesu walipokuwa kwenye mashua ya kuvua samaki nalo jibu alilopewa na Yesu, pamoja na vile alivyocheka, ndipo alipoelewa kila kitu. Baadaye, Roho Mtakatifu alimtia nuru Petro, na kupitia kwa haya tu ndipo alipoelewa kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu aliye hai. Ufahamu wa Petro ulitokana na kutiwa nuru na Roho Mtakatifu, lakini kulikuwepo na mchakato katika uelewa huu. Ilikuwa kupitia kwa kuuliza maswali, kusikiliza mahubiri ya Yesu, kisha kupitia kupokea ushirika maalum wa Yesu na uchungaji Wake maalum, ndipo Petro alipokuja kutambua Yesu kuwa Mwana wa Mungu Aliye hai. Haya yote hayakufikiwa usiku kucha; ulikuwa ni mchakato, na huu ukawa ni msaada kwake katika yale yote aliyopitia baadaye. Kwa nini Yesu hakufanya kazi ya kukamilisha kwa watu wengine, lakini Petro tu? Kwa sababu Petro tu ndiye aliyeelewa kwamba Yesu ndiye aliyekuwa Mwana wa Mungu aliye hai na hakuna mwingine aliyejua hili. Ingawa kulikuwa na wanafunzi wengi waliojua mengi wakati walipomfuata, maarifa yao yalikuwa ya juujuu tu. Na ndiyo maana Petro alichaguliwa na Yesu kuwa mfano wa kukamilishwa. Kile Yesu alichomwambia Petro wakati huo ndicho anachowaambia watu leo, ambao maarifa yao na kuingia kwao katika maisha lazima yafikie yale ya Petro. Ni kulingana na mahitaji haya na njia hii ndiyo Mungu atakapofanya kila mtu kuwa mkamilifu. Kwa nini watu leo wanahitajika kuwa na imani halisi na upendo wa kweli? Kile Petro alichopitia pia nyinyi lazima mpitie, yale matunda ambayo Petro alipata kutoka kwa yale aliyoyapitia pia lazima yaonyeshwe ndani yenu, na maumivu aliyoteseka Petro, nyinyi pia lazima mtayapitia kwa kweli. Njia mnayotembelea ndiyo ile ile ambayo Petro alitembelea. Maumivu mnayoteseka ndiyo maumivu ambayo Petro aliteseka. Mnapopokea utukufu na mnapoishi kwa kudhihirisha maisha halisi, basi mnaishi kwa kudhihirisha taswira ya Petro. Njia ni ileile, na kulingana na haya ndipo mtu anafanywa kuwa timilifu. Hata hivyo, ubora wa tabia wa watu wa leo kwa kiasi fulani unao upungufu ukilinganishwa na ule wa Petro, kwani nyakati zimebadilika, na ndivyo pia kiwango cha kupotoka. Na pia kwa Yudea kulikuwepo ufalme wa kipindi kirefu uliokuwa na utamaduni wa kale. Kwa hiyo lazima mjaribu kuboresha ubora wenu wa tabia.
Petro alikuwa mtu mwenye akili razini, makini kwa kila kitu alichofanya, na pia mwaminifu kupindukia. Alikumbana na vipingamizi vingi. Alikumbana na jamii akiwa na umri wa miaka 14, huku akihudhuria shule na mara nyingi akienda kwenye sinagogi. Alikuwa na shauku nyingi na siku zote alikuwa radhi kuhudhuria mikutano. Wakati huo, Yesu alikuwa hajaanza rasmi kazi Yake; huu ulikuwa ni mwanzo tu wa Enzi ya Neema. Petro alianza kukumbana na wahusika wa kidini alipokuwa na umri wa miaka 14; kufikia wakati alipokuwa na umri wa 18 aliwasiliana na wajuzi wa kidini, lakini baada ya kushuhudia machafuko ya dini yaliyotendeka kisiri, aliondoka. Kwa kuona watu hao walivyokuwa wenye hila, wajanja, na waliojaa mabishano, aliudhika kabisa (hivi ndivyo Roho Mtakatifu alivyofanya kazi wakati huo, ili kumfanya kuwa mkamilifu. Roho Mtakatifu alimsukuma haswa na akaweza kufanya kazi maalum ndani yake), na hivyo basi akaondoka kwenye sinagogi akiwa na umri wa miaka 18. Wazazi wake walimtesa na wasingemruhusu kuamini (walikuwa wa shetani, na hawakuwa na imani yoyote). Hatimaye, Petro alitoka nyumbani na kusafiri kwa mapenzi yake, huku akivua samaki na kuhubiri kwa miaka miwili, kipindi ambacho aliweza pia kuwaongoza watu wachache kiasi. Sasa unafaa uweze kuona waziwazi njia iliyochukuliwa na Petro. Kama umeiona waziwazi, basi huenda umejua kazi inayofanywa leo, kwa hiyo usingelalamika au kuwa kukaa tu, au kutamani chochote. Unafaa kupitia hali halisi aliyopitia Petro wakati huo: Alikumbwa na huzuni; hakuomba tena kuwa na mustakabali au baraka yoyote. Hakutafuta faida, furaha, umaarufu, au utajiri wa ulimwengu na alitafuta tu kuishi maisha yenye maana zaidi, ambayo yalikuwa ya kulipiza upendo wa Mungu na kujitolea kile alichokuwa nacho cha thamani zaidi kwa Mungu. Kisha angetosheka katika moyo wake. Mara nyingi aliomba kwa Yesu akitumia maneno haya: “Bwana Yesu Kristo, niliwahi kukupenda Wewe, lakini sikukupenda Wewe kwa kweli. Ingawa nilisema nina imani kwako Wewe, sikuwahi kukupenda kwa moyo wa kweli. Nilikuwa nakutazamia Wewe tu, nikikuabudu Wewe, na kukudata Wewe, lakini sikuwahi kukupenda Wewe au kuwa na imani ya kweli kwako Wewe.” Siku zote aliomba ili kutoa azimio lake, alihimizwa kila wakati na maneno Yake Yesu[a] na kuyageuza kuwa motisha. Baadaye, baada ya kipindi cha kile alichopitia, Yesu alimjaribu yeye, akimchochea kumtaka Yeye zaidi. Alisema: “Bwana Yesu Kristo! Ninakudata kweli, na kutamani kukutazamia. Ninakosa mengi mno, na siwezi kufidia upendo Wako. Ninakusihi kunichukua hivi karibuni. Utanihitaji mimi lini? Utanichukua lini? Ni lini nitakapoutazama uso Wako tena? Sitamani kuishi tena katika mwili huu, kuendelea kupotoka, na vilevile sitamani kuasi zaidi ya nilivyoasi. Niko tayari kujitolea vyote nilivyonavyo Kwako punde iwezekanavyo, na sitamani kukuhuzunisha Wewe zaidi ya hivi nilivyofanya.” Hivi ndivyo alivyoomba, lakini hakujua wakati huo kwamba Yesu angemfanya kuwa mkamilifu. Katika makali ya majaribio yake, Yesu alijitokeza kwake tena na kusema: “Petro, Ningependa kukufanya kuwa mkamilifu, ili uwe kipande cha tunda ambacho ni dhihirisho la Mimi kukukamilisha, ambacho Nitafurahia. Unaweza kweli kunishuhudia Mimi? Umefanya kile Nilichokuomba kufanya? Umeishi kwa kudhihirisha yale maneno Niliyoyaongea? Uliwahi kunipenda Mimi, lakini Ingawa ulinipenda Mimi, umeishi kwa kunidhihirisha? Ni nini ulichonifanyia Mimi? Unatambua kwamba wewe hufai upendo Wangu, lakini wewe umenifanyia nini?” Petro aliona kwamba alikuwa hajamfanyia Yesu chochote na akakumbuka kiapo cha awali cha kumpa Mungu maisha yake. Na kwa hiyo, hakulalamika tena, na maombi yake baadaye yakazidi kuwa bora zaidi. Akaomba, akisema: “Bwana Yesu Kristo! Niliwahi kukuacha Wewe, na Wewe pia uliwahi kuniacha mimi. Tumekuwa mbalimbali kwa kipindi cha muda, na muda kiasi tukiwa pia pamoja. Ilhali unanipenda mimi zaidi ya kila kitu kingine. Nimekuasi Wewe mara nyingi na nikakuhuzunisha mara nyingi. Ninawezaje kusahau mambo kama haya? Kazi uliyofanya ndani yangu mimi na kile ambacho umeniaminia nazingatia daima, sikisahau kamwe. Pamoja na kazi uliyonifanyia mimi nimejaribu kadri ya uwezo wangu. Unajua kile ninachoweza kufanya, na unajua zaidi wajibu ninaoweza kutekeleza. Nitafanya lolote utakalo na nitajitolea kila kitu nilichonacho Kwako. Wewe tu ndiwe unayejua kile ninachoweza kukufanyia Wewe. Ingawa Shetani alinidanganya sana na nikakuasi Wewe, ninaamini kwamba Hunikumbuki mimi kwa ajili ya dhambi hizo, kwamba hunichukulii mimi kutokana na hizo dhambi. Ningependa kuyatoa maisha yangu yote kwa ajili Yako wewe. Siombi chochote, na wala sina matumaini au mipango mingine; ningependa tu kuchukua hatua kulingana na nia Zako na kutimiza mapenzi Yako. Nitakunywa kutoka kwenye kikombe Chako kichungu, na mimi ni Wako wa kuamuru.”
Lazima muwe wazi kuhusu njia mnayotembelea; lazima muwe wazi kuhusu njia mtakayotumia katika siku za usoni, ni nini haswa ambacho Mungu atafanya kuwa mkamilifu na ni nini ambacho mmeaminiwa nacho. Siku moja, pengine, mtajaribiwa, na kama wakati huo mtaweza kutiwa msukumo kutoka kwa yale aliyopitia Petro, yatawaonyesha kwamba kwa kweli mnatembea njia ya Petro. Petro alipongezwa na Mungu kwa ajili ya imani na upendo wake wa kweli, na kwa ajili ya utiifu wake kwa Mungu. Na ilikuwa kutokana na uaminifu wake na kutamani kwake Mungu katika moyo wake ndiposa Mungu akamkamilisha kuwa timilifu. Kama kweli unao upendo na imani kama hiyo ya Petro, basi Yesu kwa kweli atakufanya kuwa timilifu.
kutoka kwa Neno Laonekana Katika Mwili